Miundombinu
29 February 2024, 4:06 pm
Ubovu wa mitaro wapelekea maji kutuama kwa wingi Kizota
Ni mtaro ambao ulitengenezwa pasipo kuzingatia vigezo vya ujenzi. Na Mariam Kasawa. Wakazi wa Mtaa wa Relini Kata ya kizota wamelalamika kutuama kwa maji ya mvua kutokana na ubovu wa mitaro ya kutiririsha maji. Ni mtaro ambao ulitengenezwa pasipo kuzingatia…
16 February 2024, 5:13 pm
Halmashauri zatakiwa kuanza ujenzi miradi ya Afya na Elimu
Katika shule ya Msingi Makulu, mkuu wa mkoa amekagua mradi wa ujenzi wa vyumba Vitano vya madarasa, ofisi 2 za walimu uliogharimu kiasi cha Shilingi Milioni 100 na ujenzi wa matundu ya vyoo 12 kwa ajili ya wanafunzi wenye ulemavu…
7 February 2024, 5:29 pm
Shule ya msingi Iboni yawezeshwa ujenzi wa mabweni
Shule ya msingi Iboni ni shule pekee mkoani dodoma inayotoa elimu ya kawaida na elimu ya vitengo maalumu wakiwemo wanafunzi wasiiona, viziwi, usonji na ulemavu wa akili na viungo huku baadhi yao wakitembea umbali mrefu kufika shuleni. Na Nizar Mafita.Shule…
7 February 2022, 4:26 pm
Ubovu wa barabara Chitabuli wapelekea akina mama wajawazito kujifungulia njiani
Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Chitabuli kilichopo katika wilaya ya Chamwino jijini Dodoma wameiomba serikali iwaboreshee miundombinu ya barabara ambayo imekuwa ni changamoto kubwa kwao. Wakizungumza na taswira ya habari wananchi hao wamesema ubovu wa…
4 February 2022, 3:55 pm
Ubovu wa barabara wakwamisha baadhi ya shuguli za maendeleo
Na; Victor Chigwada. Kutokana na mvua zinazo endelea kunyesha Jijini hapa maeneo mengi yenye barabara za kawaida hususani vijijini yamekuwa yakiathirika kwa kiasi kikubwa na hata kukwamisha baadhi ya shughuli za maendeleo. Wananchi wa Kata ya Loje ni miongoni mwa…
2 February 2022, 4:20 pm
Wakazi wa Zuzu waomba serikali iboreshe miundombinu ya barabara.
Na; Neema Shirima. Wananchi wa mtaa wa Pinda katika kata ya Zuzu jijini Dodoma wameiomba serikali iwaboreshee miundombinu ya barabara katika mtaa huo . Wamesema hali ya barabara hasa kwa kipindi cha mvua imekuwa changamoto kwani wakati mwingine wanashindwa kupita…
26 January 2022, 4:16 pm
Wakazi wa Nzuguni waiomba Serikali iwaboreshee barabara
Na; Neema Shirima. Baadhi ya wananchi katika Kata ya Nzuguni jijini Dodoma wameiomba Serikali iwaboreshee miundombinu ya barabara pamoja na daraja katika mto unaotenganisha Nzuguni A na B ambapo umekuwa changamoto wakati wa mvua. Wakizungumza na Taswira ya habari wananchi…
24 January 2022, 3:30 pm
DUWASA kufichua waharibifu wa miundombinu ya maji
Na; Benard Filbert. Mamlaka ya maji safi na usafi wa mazingira jijini Dodoma DUWASA inaendelea na kampeni yake ya kufichua waharibifu wa miundombinu ya maji ili kukomesha vitendo hivyo. Hayo yanajiri kufuatia kuwepo kwa uharibifu wa baadhi ya miundombinu ya…
13 January 2022, 2:44 pm
Wakazi wa Mlowa bwawani waipongeza serikali kwa kufanya ukarabati wa barabara
Na; Benard Filbert. Wakazi wa kata ya Mlowa Bwawani wameipongeza serikali kwa kufanya ukarabati wa baadhi ya barabara katika kata hiyo. Hayo yameelezwa na wakazi wa kata hiyo wakati wakizungumza na taswira ya habari kuhusu hali ya barabara katika kata…
16 December 2021, 1:57 pm
Wakazi wa Ntyuka wametakiwa kuacha kupitisha mifugo barabarani
Na; Benard Filbert. Wafugaji katika Kata ya Ntyuka jijini Dodoma wametakiwa kuacha kupitisha mifugo yao barabarani ili kuepuka uharibifu wa barabara. Hayo yameelezwa na Diwani wa Kata hiyo Bw.Yona Mrema wakati akizungumza na taswira ya habari kuhusu utunzaji wa miundombinu…