mawasiliano
3 May 2023, 5:11 pm
Wananchi kibaigwa wafunguka kero wanazo pata katika huduma za jamii
Shilingi milioni 150 imetengwa kwaajili ya kuongeza vifaa tiba ambapo kabla ya kufika mwezi wa Saba mwaka huu kituo cha afya kibaigwa kitaanza kutoa huduma za upasuaji. NA, Bernadetha Mwakilabi. Wakazi wa Mamlaka ya Mji Mdogo wa Kibaigwa ulioko wilayani…
3 May 2023, 4:39 pm
Vijana waonywa kuporomoka kwa Maadili
Wamewashauri wazazi kukagua matumizi ya vipindi vya Televisheni majumbani mwao ili kuwaepusha watoto na vipindi viovu vinavyoweza kuharibu maadili yao. Na Bernad Magawa. Katika kuhakikisha kuwa Taifa linaendelea kuwa na vijana wenye maadili, baadhi ya wazee Wilayani Bahi wameiomba serikali…
1 May 2023, 3:45 pm
Serikali kuboresha Ranchi ili kupanua soko nje ya nchi
Akisoma taarifa meneja wa Ranchi ya Kongwa bwana Elisa Binamungu amesema shilingi bilioni 4.65 zilitengwa Kwa mwaka wa fedha 2022/2023 kuboresha ranchi hiyo ikiwa ni pamoja na kutengeneza Barabara, kuondoa vichaka hekari 8000 kwaajili ya kustawisha mifugo. NA Bernadetha Mwakilabi.…
21 April 2023, 3:02 pm
Wanufaika Tasaf walalamika malipo kuchelewa
Mpaka sasa miradi hiyo ipo katika hatua nzuri za utekelezaji kwani hadi kufikia julai mwaka huu wataanza kutekeleza awamu ya pili ya miradi hiyo. Na Bernadetha Mwakilabi Wanufaika wa mfuko wa kusaidia kaya masikini TASAF wilayani Kongwa wamelalamikia Kuchelewa kwa…
21 April 2023, 1:40 pm
Waislamu watakiwa kusheherekea sikukuu kwa amani na upendo
Waislamu Duniani Kote wanatarajia kusheherekea sikukuu ya EID siku ya kesho siku ya jumamosi . Na Fred Cheti. Kuelekea sikukuu ya Eid El Fitr wito umetolewa kwa waumini wa dini ya kiislamu pamoja na wananchi wote Mkoani Dodoma kusheherekea siku…
18 April 2023, 3:39 pm
Dc kongwa akerwa na ubadhirifu wa fedha 6,394,000/=
Katika taarifa iliyosomwa inaonyesha kiasi cha shilingi milioni 6,394,000 hazijathibitika matumizi yake NA Bernadetha Mwakilabi, Kongwa Mkuu wa wilaya ya Kongwa Mheshimiwa Remidius Mwema Emmanuel ameagiza ofisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa TAKUKURU wilaya ya Kongwa kufanya uchunguzi juu…
17 April 2023, 2:20 pm
Yafahamu maajabu na ishara za mnyama adimu Kakakuona
Mnyama huyu anapo onekana katikajamii nini huwa kinafanyika. Na Yussuph Hassan. Jamii nyingi huamini ishara za mnyama huyo kwani anapo onekana wanajamii huwa na hamu ya kufamamu ni nini ambacho atatabiri katika jamii hiyo hivyo hufanya mila ikiwemo kupiga ngoma…
11 April 2023, 1:34 pm
Jamii yatakiwa kuchukua mikopo kwa malengo
Wananchi wengi wamekuwa wakijiingiza kwenye mikopo ambayo baadae huwa changamoto kwao. Na Leonard Mwacha. Jamii imepaswa kuepuka mikopo ambayo hugeuka kuwa changamoto kwao badala yake wafuate utaratibu wa kifedha ili kuweza kukopa kwa malengo.
7 April 2023, 5:51 pm
Kakakuona aonekana katika kijiji cha Makang’wa wilayani Chamwino
Mnyama huyu wa ajabu ana uwezo wa kujiviringisha kama mpira hasa anapokuwa hatarini, mgongo wake umefunikwa na magamba makubwa na magumu. Na Mindi Joseph. Mnyama Kakakuona ambaye ni nadra sana kuonekana hadharani ameonekana katika kijiji cha makang’wa iliyopo katika wilaya…
5 April 2023, 5:57 pm
Serikali yatenga billioni 15 kwaajili ya kukamilishaji zahanati 300
Mbunge wa Jimbo la Rorya, Mhe. Jafari Wambura alitaka kujua Je, nini mpango wa Serikali wa kumaliza ujenzi wa Zahanati kwa vijiji vilivyokamilisha ujenzi wa maboma. Na Pius Jayunga. Naibu Waziri Ofisi ya Rais – TAMISEMI, Dkt. Festo Dugange amesema…