mawasiliano
7 September 2023, 1:00 pm
Maafisa ustawi jamii watakiwa kutoa elimu ya afya ya akili
Mkutano wa Maafisa ustawi wa jamii umefunguliwa jana jijini Dodoma ambao utadumu kwa muda wa siku mbili na kuwakutanisha maafisa ustawi wa jamii Nchi nzima ili kujadili namna ya kuendelea kufanya kazi kwa ufanisi. Na Yussuph Hassan. Maafisa ustawi wa…
5 September 2023, 3:35 pm
Watoto wasaidiwe kuvuka barabara ili kuepusha ajali
Kundi la watoto ni miongoni mwa makundi yanayohitaji misaada hususani pale wanapokuwa katika maeneo ya barabara ili kuepukana na ajali zinazoweza kutokea. Na Thadei Tesha. Jamii imetakiwa kushiriki katika suala la kuwasadia watoto pale wanapoelekea shuleni na maeneo mengine ya…
17 August 2023, 3:40 pm
Nani anapaswa kumlipa dalali kati ya mpangaji na mwenye nyumba?
Biashara ya udalali inekuwa ikifanywa na baadhi ya watu kwa lengo la kujipatia kipato na kuendesha maisha yao. Na Aisha Alim. Utaratibu wa upatikanaji wa nyumba za biashara na nyumba za kuishi kupitia madalali umekuwa ukihusisha gharama za ulipwaji wa…
1 August 2023, 4:52 pm
Wadau watakiwa kufahamu mwongozo wa taifa wa wajibu wa wazazi, walezi
Mwongozo huo wa Malezi Bora umetokana na utafiti uliofanywa na serikali kwa kushirikiana na Shirika la Umoja wa Mataifa la Kuhudumia Watoto duniani UNICEF, ambapo nguzo kuu tatu zitazingatiwa kwenye mwongozo huo za Kujali, Kulinda na Kuwasiliana na mtoto. Na…
31 July 2023, 6:33 pm
Wazazi, walezi watakiwa kutowaficha watoto wenye ulemavu
Jamii imeendelea kusisitizwa kutowaficha watoto wenye changamoto ya ulemavu wowote bali iwaweke wazi ili waweze kupatiwa mahitaji ya msingi ikiwemo elimu. Na Pius Jayunga. Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga amewataka wazazi na…
25 July 2023, 3:46 pm
Wananchi watakiwa kuunga mkono juhudi za kupinga vitendo visivyo na maadili
Mara kadhaa jamii imeendelea kuhamasishwa na serikali pamoja na taasisi mbalimbali juu ya umuhimu wa kufundisha maadili mema ndani ya jamii ili kujenga kizazi chenye misingi bora ya malezi. Na Aisha Shaban. Wananchi jijini Dodoma wametakiwa kuunga mkono juhudi za…
19 July 2023, 7:42 pm
Jamii yatakiwa kushirikiana na wadau kuibua changamoto zilizopo katika shule
AFNET limendelea kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati za shule Mkoani Dodoma kuhusu uendeshaji na usimamizi wa shule.Picha na George John. Shirika lisilo la kiserikali linalopinga ukatili wa kijinsia na watoto AFNET limendelea kuwajengea uwezo wajumbe wa kamati za shule mkoani…
4 July 2023, 7:28 pm
Mitaala mipya ni chachu ya vijana kujiajiri
Serikali ilitoa fursa kwa wananchi kutoa maoni yao juu ya maboresho ya rasimu ya Sera ya Elimu na Mafunzo ya Mwaka 2014 Toleo la 2023 na rasimu ya Mitaala ya elimu ya Awali, Msingi, Sekondari na Ualimu. Na Aisha Shaban.…
28 June 2023, 4:25 pm
Serikali kuzitumia ripoti za uwajibikaji kukuza utawala bora
Taasisi ya Wajibu wamezindua Ripoti za Uwajibikaji ambapo ni nne ikiwemo Ripoti ya viashiria vya Rushwa, ubadhirifu na Udanganyifu katika Taasisi za Umma, Ripoti ya uwajibikaji wa Vyombo vya Usimamizi kwa Taasisi za Umma. Na Seleman Kodima. Naibu katibu mkuu…
28 June 2023, 2:30 pm
Jamii inaamini nini kuhusu waraibu wa dawa za kulevya?
Maadhimisho ya kupinga matumizi ya dawa za kulevya yalifanyika kitaifa mkoani Arusha Juni 25 mwaka huu. Na Respishas Lopa. Baadhi ya wakazi wa jiji la Dodoma wameonesha utayari wao wa kuwapokea waraibu wa dawa za kulevya na kushirikiana nao katika…