mawasiliano
1 November 2023, 11:21 am
Jamii yatakiwa kushiriki kutokomeza rushwa ya ngono
Rushwa ya ngono inaweza kusababisha athari kubwa kwa mtu mmoja mmoja na jamii kwa ujumla. Na Aisha Alim. Jamii imetakiwa kushirikaiana katika kuhakikisha vitendo vya rushwa ya ngono makazini vinatokomezwa kwani ni miongoni mwa vitendo vya ukatili vinavyomnyima mtu haki…
25 October 2023, 1:02 pm
Watendaji wa serikali watakiwa kutatua kero za wananchi
Katika Mkutano huo Mkuu wa wilaya ya Bahi Mh Godwin Gondwe aliambatana na kamati ya usalama ya wilaya hiyo. Na Bernad Magawa Mkuu wa wilaya ya Bahi Mheshimiwa Godwin Gondwa amewaagiza watendaji wa Serikali katika ngazi zote wilayani humo kuhakikisha…
25 October 2023, 9:28 am
Wananchi Dodoma wakemea tabia ya baadhi ya watu kuwatetea wahalifu
Hayo yanajiri kutokana na matukio mbalimbali ya kihalifu yanayoendelea katika mitaa ya jiji la Dodoma. Na Aisha Shaban. Baadhi ya wanachi wamezungumzia tabia ya baadhi ya watu katika mitaa kupenda kuwatetea wahalifu na kwenda kuwawekea dhamana wakikamatwa hali inayosababisha uhalifu…
16 October 2023, 6:24 pm
Viongozi wa mitaa watakiwa kushirikiana na viongozi wa dini
Pamoja na hayo, kanisa hilo linategemea kupitia ushirikiano waliongia na Foundation for Hope utaongeza hali ya upatikanaji huduma za kiroho kwa ujenzi wa makanisa, sambamba na huduma za kijamii ikiwemo zahanati, uchimbaji wa visima vya maji na mahitaji mengine .…
11 October 2023, 10:46 am
Jamii yaeleza inavyojihusisha kumkomboa mtoto wa kike
Mkutano Mkuu wa Umoja wa Mataifa tarehe 19 Desemba 2011 ulipitisha Azimio na kutangaza kwamba, kila tarehe 11 Mwezi Oktoba itakuwa ni Siku ya Kimataifa ya Mtoto wa Kike Duniani kote, dhamira ikiwa ni kutambua haki za mtoto wa kike…
21 September 2023, 3:15 pm
Katazo la unyago laungwa mkono na baadhi ya wananchi
Inaelezwa kuwa baadhi ya tamaduni zimekuwa zikiwafundisha mabinti katika unyago mambo ambayo hayastahili. Na Khadija Ayoub. Wananchi jijini Dodoma wameonesha kuunga mkono katazo la mh. Rais Samia Suluhu Hassan kuwapelekea watoto wa kike katika unyago kwani ni kuwaonea na kuwanyima…
19 September 2023, 2:46 pm
Serikali yaombwa kutunga sheria kali dhidi ya wanaotelekeza familia
Hayo yamaebainishwa na wananchi wilayani Bahi wakati wakizungumza katika mdahalo wa wazi ulioandaliwa na kipindi cha Sakuka na kufanyika mwishoni mwa wiki iliyopita. Na Alfred Bulahya. Wananchi wilayani Bahi mkoani Dodoma wameiomba serikali na bunge kutunga sheria kali kuhusu watu…
18 September 2023, 4:52 pm
Jamii yatakiwa kuwajali yatima na wajane
Katika tukio hilo Jumuiya ya wanawake wakiislamu Tanzania JUWAKITA wilaya ya Dodoma ililenga kuwa pamoja na Wajane 50 na Yatima 100 ikiwa ni muendelezo wa Kutenda Matendo Mema kwa Jamii . Na Seleman Kodima. Jamii imekumbushwa kuwajali,Kuwasaidia na kuwatazama zaidi…
15 September 2023, 8:02 am
Taasisi, viongozi wa dini washirikishwe kutoa elimu anuani za makazi
Ufunguzi wa mafunzo ya kujenga uwezo kuhusu mfumo wa anuani za makazi kwa maafisa tarafa watendaji wa kata,na wenyeviti wa mitaa umefunguliwa leo katika ukumbi wa chuo cha mipango jijini Dodoma ambapo unatarajia kufanyika kwa muda wa siku mbili. Na…
13 September 2023, 4:59 pm
Nini kinapelekea baadhi ya wazazi kutelekeza familia
Leo mchanyato upo Bahi kuzungumza na Jane Mgidange ambaye ni mratibu wa Elimu jumuishi Wilaya Ya Bahi Kufahamu zaidi nini sababu za kutelekeza familia. Na Leonard Mwacha. leo tunaangazia sababu za kutelekeza familia ambapo jamii inahusika moja kwa moja kabla…