mawasiliano
3 April 2023, 5:02 pm
CCM Bahi haijaridhishwa na Ujenzi wa kituo cha mabasi
kamati ya siasa ya chama cha mapinduzi ccm wilayani humo imetembelea na kukagua zaidi ya miradi 26 ya maendeleo ikiwemo miradi ya afya, elimu, maji, na miundombinu ya barabara ili kuona namna ILANI ya ccm inavyotekelezwa. Na Benard Magawa. Chama…
3 April 2023, 12:24 pm
Jamii yatakiwa kusaidia watoto wenye usonji
Kuna haja ya kuwajumuisha watu wenye ulemavu ikiwemo wenye usonji ili kutimiza azma ya Malengo ya Maendeleo Endelevu SDGs ya kutomuacha yeyote nyuma. Na Seleman Kodima. Jamii imetakiwa kushirikia kikamilifu kusaidia kutatua changamoto zote zinazowakumba watoto wenye usonji bila kutazama…
29 March 2023, 2:11 pm
Wananchi Ndogowe walalamika kuuziwa mahindi bei ghali
Mfumo huu wa usambazaji wa mahindi ya Bei nafuu unalenga kukabiliana na janga la njaa ambalo pia huchangia kupanda kwa bei ya vyakula. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa pamoja na jithada za Serikali kusambaza msaada wa mahindi ya Bei…
27 March 2023, 3:10 pm
Kanisa la Pentekoste Mtakuja lamtaka Mkuu wa wilaya kutatua mgogoro wa a…
Huu ni Muendelezo wa kanisa hilo katika harakati za kuomba serikali ya wilaya ,mkoa na wizara ya Ardhi Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuweza kumaliza mgogoro huo ambao wameshindwa kujua ni lini utapata ufumbuzi. Na Seleman Kodima. Uongozi wa kanisa la…
16 March 2023, 3:39 pm
DC Gondwe apiga marufuku wanafunzi kuchunga mifugo siku za masomo
ni vema wazazi kupunguza tabia ya kuwa wakali kwa watoto wao na badala yake wajenge urafiki kwa kuzungumza nao mara kwa mara ili wasiwaogope , bali wawe huru kwa wazazi wao kueleza changamoto mbalimbali. Na Benard Magawa Mkuu wa Wilaya…
6 March 2023, 4:46 pm
Tembo wafanya uharibifu wa ekari zaidi ya 100
Tembo hao wamesababisha uharibifu mkubwa katika mashamba hayo na kuwaacha wananchi na sintofahamu. Na Alfred Bulahya Kundi la Tembo wanaokadiriwa kuwa zaid ya 300 wamevamia mashamba ya wananchi katika kijiji cha Magungu Kubi katika kata ya Mpendo walayani Chemba na…
20 February 2023, 4:20 pm
Mashekhe watakiwa kufanya kazi kwa weledi
Baadhi ya mashekhe wa kata wameshindwa kuwa na fikra ya utatuzi wa baadhi ya changamoto katika jamii ikiwemo masuala ndoa, migogoro ya kifamilia na kuwa na njia ya kuhakikisha ofisi za kata zinapatikana Na Seleman Kodima. Baraza la Waislamu Tanzania(BAKWATA)…
20 February 2023, 9:29 am
Jamii yatakiwa kuendelea kuwasaidia watu wenye mahitaji maalumu
kituo cha tumaini kilichopo Ihumwa kina jumla ya watoto 150 wanaolelewa kituoni hapo na wajane 100 ambao wamesaidiwa katika kujiendeleza na miradi mbalimbali ya maendeleo. Na Fred Cheti Jamii imeshauriwa kuendelea kuwasaidia watu wenye uhitaji ndani ya jamii hata kwa…
15 February 2023, 2:11 pm
PrecisionAir yashindwa kutua Dodoma
Leo Wakati tunasafiri kutokea Dar kwenda Dodoma kutumia ndege ya Precission PW 600, kuna jambo limetokea. Na Joseph Rwegasira Samson. tupo hewani nilikuwa nimekaa dirishani, wakati tunakaribia kushuka Dodoma nikaona engine imezima, tupo hewani OMG…Rubani akatangaza kurudi Dar kwa dharula…
10 February 2023, 1:45 pm
Huduma za kijamii zazidiwa na ongezeko la watu
Waziri wa Nishati na Madini Januari Makamba mwaka jana dec 25 alisema kuwa Wizara inaanza program ya kupeleka umeme kwenye vitongoji. Kwani tayari serikali imefikia asilimia 75 katika kufikisha umeme vijijini Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa ongezeko la watu…