
Vijana

8 June 2022, 2:28 pm
Vijana watakiwa kuchangamkia fursa
Na; Lucy Lister . Vijana jijini Dodoma wametakiwa kuwa mstari wa mbele katika kuchangamkia fursa mbalimbali zinazojitokeza na kuacha tabia ya kuchagua kazi. Akizungumza na Dodoma fm Bw. Charles Mathias ambaye anajishughulisha na suala la kuongeza thamani kupitia biashara ya…

18 May 2021, 7:41 am
Wazazi: Vijana wageuze elimu zao kuwa chanzo cha ajira
Na; Alfredy Sanga Baadhi ya vijana wameeleza jinsi ambavyo kijana anaweza kujiajiri na kutafuta fursa mbali mbali katika kujikwamua kimaisha, badala ya kutegemea kuajiriwa kutokana na ukosefu wa ajira nchini. Wakizungumza na taswira ya habari vijana hao wamesema kitu kikubwa…

17 May 2021, 1:22 pm
kujengwa kwa soko la kimataifa Kongwa kutaongeza fursa za ajira
Na; Benard Filbert Kujengwa kwa chuo cha kilimo pamoja na soko la mazao la kimataifa katika Kata ya Mtanana Wilaya ya Kongwa imeelezwa itaongeza fursa nyingi za ajira kwa wananchi wa eneo hilo. Hayo yameelezwa na diwani wa Kata hiyo…