Radio Tadio

Utalii

Januari 27, 2025, 11:52 mu

Mahakama ya wilaya Kahama yazindua wiki ya sheria

kauli mbiu ya mwaka huu ‘‘Tanzania ya 2025 nafasi ya Taasisi zinazosimamia haki madai katika kufikia malengo mkuu ya dira ya Taifa ya maendeleo’’ Na Sebastian Mnakaya Wananchi wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kujitokeza kwa wingi katika viwanja…

Januari 17, 2025, 2:06 um

Wananchi fanyeni makubaliano ya kimkataba

Maonesho ya Wiki ya sheria yataanza January 27 mwaka huu, hadi siku January 31 mwaka huu katika viwanja vya mahakama ya wilaya Kahama Na Sebastian Mnakaya Wananchi wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuwa na tabia ya kufanya makubaliano ya kimkataba…

3 Januari 2025, 17:42

TAKUKURU Manyara kuendeleza mapambano ya rushwa 2025

mkuu wa TAKUKURU mkoa wa Manyara Bahati Haule amesema wataendelea kutoa elimu kwa wananchi kupitia TAKUKURU rafiki, lengo ikiwa ni kuitoa TAKUKURU ofisini na kuwafikia wananchi. Na Mzidalfa Zaid Taasisi ya kuzuia na kupambana na rushwa TAKUKURU mkoa wa Manyara,…

28 Agosti 2024, 17:43

Wananchi wahimizwa kutunza miundombinu ya barabara Kyela

Mwenge WA Uhuru unaendeleaje kukagua miradi mbalimbali inayotekelezwa katika halmashauri ya wilaya ya Kyela mkoani Mbeya Na Hobokela Lwinga Kiongozi wa Mbio za Mwenge wa Uhuru Kitaifa 2024 Godfrey Mnzava Pamoja na timu yake ya Vijana Sita wamewaasa Wananchi hasa…

1 Januari 2024, 21:10

Serengeti yaendelea kung’ara hifadhi bora barani Afrika

Hifadhi ya Taifa ya Serengeti imejipanga kuendelea kuboresha huduma mbalimbali ili kuwavutia watalii na kuifanya kuendelea kuwa hifadhi bora ya kwanza barani Afrika. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Hifadhi ya Taifa ya Serengeti, Kamishna Msaidizi wa Hifadhi Moronda B. Moronda…