Afya
23 June 2026, 07:09
Vijana 50 wapatiwa mafunzo mbasa
Vijana 50 wa Kata ya Mbasa, Halmashauri ya Mji Ifakara, wamepatiwa mafunzo ya ujasiriamali, afya ya uzazi na stadi za maisha na Shirika la WISE, yakilenga kuwawezesha kujiajiri na kuboresha maisha yao kiuchumi. Na: Isidory Mtunda Vijana wapatao 50 kutoka…
22 June 2026, 20:23
CRDB yazindua kampeni ya bonge la Wakala Kilombero
Lengo ni kuhakikisha huduma za kifedha zinawafikia wananchi kwa urahisi zaidi kupitia mawakala wetu waliopo karibu na maeneo Na Katalina Liombechi Benki ya CRDB imezindua kampeni ya miezi sita ya “Bonge la Wakala” kupitia huduma ya Simbanking kimpango wako inayolenga…
19 June 2026, 22:06
Uvinza yajiandaa ununuzi wa pamba msimu wa 2025/2026
Mpango huo umetajwa na kuwa na manufaa kwa wakulima iwapo utasimamiwa vizuri na kuhakikisha wakulima wanapata faida Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Uvinza, Mh. Dinah Mathamani, ameongoza kikao cha wadau wa zao la pamba kilichofanyika Juni 19, 2025…
8 June 2026, 11:15 am
Sagayika alaani tukio la mwanafunzi kubakwa Chato
Jeshi la Polisi limeeleza kuwa uchunguzi wa tukio hilo unaendelea huku likiwataka wananchi kuendelea kushirikiana na vyombo vya dola katika kutoa taarifa zitakazosaidia kukamilisha uchunguzi na kuhakikisha haki inatendeka. Na Mrisho Sadick: Mjumbe wa Baraza Kuu la UVCCM Taifa ambae…
4 June 2026, 11:48 am
Kasulu washauriwa kutumia mamlaka kusuluhisha migogoro ya ardhi
Mkaguzi msaidizi wa polisi ( A/Insp.) Willy Lupa ambaye ni Polisi kata ya Nyamunyusi amesema wananchi wanaokumbana na migogoro ya aridhi kusuluhisha katika mamalaka husika kabla ya kufikishana polisi. Na; Paulina Majaliwa Wananchi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameshauriwa kusuluhisha migogoro…
3 June 2026, 1:38 pm
CCM Geita yalaani tukio la binti kubakwa kisha mtuhumiwa kuomba malipo
Ili kukabiliana na changamoto ya watoto wa kike kukumbana na matukio kama hayo wakazi wa kijiji hicho wameomba serikali ikamilishe ujenzi wa shule ya sekondari eneo hilo ambayo ipo katika hatua nzuri. Na: Mrisho Sadick Mwanafunzi wa shule ya sekondari…
19 May 2026, 16:01
Wanunuzi wa mazao wakutana na changamoto ya mizani Kigoma
Siku ya Vipimo duniani huadhimishwa kila tarehe 20 Mei kila mwaka na siku hii inalenga kuhamasisha matumizi sahihi ya vipimo katika biashara, viwanda na maisha ya kila siku na vipimo sahihi vina mchango mkubwa katika maendeleo ya uchumi na kulinda…
14 May 2026, 12:50
UKICU yapokea mizani kidigitali 70
Chama Kikuu cha Ushirika Ulanga Kilombero (UKICU) kimepokea mizani 70 za kidigitali kutoka kampuni ya ROTAI kwa lengo la kuboresha usahihi wa vipimo vya mazao na kuongeza uwazi kwa wakulima kupitia mfumo wa kidigitali unaotuma taarifa moja kwa moja kwenye…
13 May 2026, 12:27 pm
Wakazi Londoni Wafunguka Maumivu ya Umeme na Miundombinu
Suala la umeme jazilizi na ukarabati wa miundombinu ya barabara. Na Stephano Simbeye LONDONI: WAKAZI wa kitongoji Cha Londoni kata ya Hasanga, wilaya ya Mbozi mkoani Songwe wamemkumbusha diwani wa kata ya Hasanga, Mh.Malick Nzowa suala la umeme jazilizi na…
12 May 2026, 6:18 pm
9 mbaroni mauaji ya kijana aliyeshindwa kulipia pombe Mwanza
Kufuatia kukithili kwa watu kujichukulia sheria mkono Jeshila Polisi Mwanza lawakamata watu tisa kwa mauaji. Na, Emmanuel Twimanye Jeshi la Polisi mkoani Mwanza linawashikilia watu tisa wakiwemo Mabaunsa wa baa ya Rasvegas kwa tuhuma za mauwaji ya mtu mmoja aliyefahamika…