Radio Tadio

Ulinzi

23/07/2023, 14:30

Wakumbwa na mshangao kijana kufariki kwa kuchomwa kisu

Matukio ya kiuhalifu na kujichukulia sheria mkononi yamekithiri katika baadhi ya mitaa mkoani Geita, jambo linalosababisha baadhi ya vifo kutokea, huku wananchi wakishindwa kutoa taarifa katika vyombo husika juu ya uhalifu huo. Na Zubeda Handrish- Geita Katika hali ya kusikitisha…

19/07/2023, 10:33

Polisi kata hewa wachukuliwe hatua

Matukio ya uhalifu yakiwemo ya wizi na udokozi yameendelea kuwa changamoto katika baadhi ya mitaa na vijiji, jambo lililopelekea Kamanda Jongo kuwataka Polisi kata kuwajibika ipasavyo. Na Said Sindo- Geita Kamanda wa Jeshi la Polisi mkoa wa Geita ACP Safia…

11 Julai 2023, 13:39

Vijana wa JKT Bulombora wametakiwa kuwa wazalendo kwa Taifa

Vijana wa Kikosi cha Jeshi la kujenga Taifa JKT Bulombora kilichopo Mkoani Kigoma wametakiwa kuendelea kuwa wazalendo kwa kulitumikia Taifa na kulinda amani ya Nchi. Na, Kadislaus Ezekiel Jeshi la Kujenga Taifa JKT, kikosi cha Jeshi 821 KJ Bulombora Kimesema…

23 Mei 2023, 10:34 mu

Wanne Wakamatwa na Meno ya Tembo Katavi

KATAVI Jeshi la Polisi Mkoa wa Katavi kwa kushirikiana na Askari wa Hifadhi ya Taifa ya Katavi wamewakamata watu wanne wakiwa na meno ya Tembo vipande 13 yenye thamani ya zaidi ya shilingi Milioni 247. Kamanda wa Polisi wa Mkoa…

22 Aprili 2023, 9:38 mu

Ulinzi Waimarishwa Sikukuu za Eid El Fitr

KATAVI Katika kuelekea sikukuu ya Eid El Fitri Jeshi la polisi mkoa wa Katavi limepanga kuimarisha ulinzi ili kupunguza uvunjifu wa sheria kipindi cha sikukuu. Akizungumza na waandishi wa habari kamanda wa jeshi la Polisi mkoani Katavi Ali Makame Hamad…

1 Febuari 2023, 11:59 mu

Watano Wahukumiwa Kunyongwa Katavi

KATAVIWatu watano wamehukumiwa kunyongwa hadi kufa Mkoani Katavi mara baada ya kukutwa na hatia ya mauaji katika matukio mawili tofauti . Jeshi la polisi Mkoa wa katavi Limesema limepata mafanikio mahakamani kutokana na kesi za watuhumiwa wa makosa ya mauaji…