Ulinzi
29 Januari 2026, 2:18 um
Waziri Mkuu aonya kupandisha bei za vyakula
Dkt. Mwigulu amesema pia kuwa serikali kupitia Wakala wa Taifa wa Hifadhi ya Chakula (NFRA) inaendelea kusambaza chakula katika maeneo yenye uhitaji ili kuhakikisha Watanzania wanapata chakula cha kutosha. Na Mariam Kasawa. Waziri Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, amewaagiza wafanyabiashara wa…
21 Januari 2026, 5:23 um
90% ya wanawake hujitokeza kwenye fursa za ujasiriamali
Mara nyingi kwenye mafunzo kama haya wanawake hufika asilimia 90 huku wanaume na vijana huwa ni asilimia 10. Na Adelinus Banenwa Wito umetolewa kwa vijana na akina mama kuchangamkia fursa za kujifunza ujuzi utakaowasaidia kujikwamua kiuchumi. Haya yamesemwa na Sarah…
24 Julai 2025, 2:12 um
Moto wateketeza karakana ya useremala Geita
Majanga ya moto yameendelea kuwa mwimba mchungu kwa wajasiriamali Geita huku sababu za majanga hayo nyingi zikiwa hazijulikani. Na Mrisho Sadick: Moto ambao chanzo chake hakijajulikana umeteketeza karakana moja ya useremala katika Mtaa wa Nyerere Road Manispaa ya Geita Mkoani…
5 Febuari 2024, 5:04 um
Mwizi wa kuku aua, atokomea kusikojulikana
Wananchi wataka sungusungu kurudishwa ili kukabiliana na vitendo vya uharifu pamoja na wizi wa kuku unaoendelea kutokea kata ya Sungamile Wilayani Sengerema. Na:Emmanuel Twimanye Mwanamme mmoja mwenye umri wa miaka 40 ameuawa kwa kudaiwa kuchomwa na kisu na mtu anayedaiwa…
26 Januari 2024, 21:45
Mwalimu mbaroni kwa tuhuma za unyang’anyi Mbeya
Na mwandishi wetu Jeshi la Polisi Mkoa wa Mbeya linawashikilia watuhumiwa watatu akiwemo Mwalimu wa Shule ya Msingi Mwaselela Azimio Gerald [31] Mkazi wa ZZK mji mdogo wa Mbalizi na wenzake wawili Furaha Issa [32] na Goodluck Mwakajisi [25] wote…
16 Januari 2024, 14:34
Serikali kuendelea kuimarisha ulinzi kwa kutoa vitendea kazi
Na Mwandishi wetu Mkuu wa Wilaya ya Mbeya Mhe.Benno Malisa ameahidi kuendelea kushirikiana na Jeshi la Polisi kwa kuhakikisha linapata vitendea kazi ikiwemo magari kwa ajili ya kufanya kazi kwa ufanisi. Ametoa kauli hiyo wakati akikabidhi magari mapya matatu kwa…
15 Januari 2024, 13:23
Polisi Kigoma yakamata silaha 16 zinazomilikiwa kinyume na sheria
Jeshi la Polisi Mkoani kigoma limefanikiwa kukamata silaha 16 zilizokuwa zinamilikiwa kinyume na sheria huku washatakiwa 2 wa kesi za kupatikana na hatia wakihukumiwa kifungo cha kwenda jela miaka 20 kila mmoja baada ya kupatikana na hatia ya kumiliki silaha…
25 Disemba 2023, 9:54 mu
Siha watakiwa kusheherekea sikukuu kwa amani
Wananchi wilayani Siha Mkoani Kilimanjaro watakiwa kusheherekea sikukuu za Christmass na mwaka mpya kwa amani na utulivu. Na Elizabeth Mafie Mkuu wa Wilaya ya Siha mkoani Kilimanjaro Dkt Christopher Timbuka amesema wamejipanga kuhakikisha usalama wa raia na mali zao katika…
22 Disemba 2023, 17:03
Wazazi, walezi watakiwa kuimarisha ulinzi kwa watoto kipindi cha sikukuu
Na Orida Sayon Wito umetolewa kwa wazazi na walezi mkoani Kigoma kuimarisha ulinzi na usalama kwa watoto katika kipindi hiki cha sikukuu za Kristmas na Mwaka Mpya ili kuwalinda dhidi ya vitendo vinavyowaweka katika mazingira hatarishi. Wito huo umetolewa na…
12 Disemba 2023, 16:48
Kibanda:Tumejipanga kuhakikisha kila raia anasherehekea kwa usalama krismasi na…
Jeshi la polisi wilayani Kyela limewataka wananchi wote kusherehekea sikukuu za krismasi na mwaka mpya kwa utulivu na amani. Na James Mwakyembe Kuelekea sikukuu za mwisho wa mwaka krimasi na mwaka mpya Jeshi la Polisi wilayani Kyela limewataka wananchi wote…