
Ujenzi

15 December 2022, 4:47 pm
Wilaya ya Maswa kuandikisha Watoto wa Darasa la Awali 13,000 kwa Mwaka…
Imeelezwa kuwa Wilaya ya Maswa Mkoa wa Simiyu hadi kufikia mwezi Novemba , 2022 Imefanikiwa Kuandikisha Watoto wa Darasa la Awali Elfu Saba (7000) Sawa na Asilimia Hamsini na Mbili (52%) ya Makisio yote ya Watoto Elfu kumi na tatu…

15 December 2022, 10:17 am
Majengo mapya kujengwa katika makao makuu ya tarafa Tanganyika
TANGANYIKA Katika kuimarisha huduma za kimahakama mkoani Katavi Serikali imejipanga kujenga majengo mapya katika makao makuu ya tarafa zote wilayani Tanganyika. Hayo yamesemwa na naibu waziri wa katiba na sheria Geofrey Pinda wakati wa ziara ya waziri Mkuu Kassim Majaliwa…

8 November 2022, 8:52 am
Mkurugenzi Halmashauri ya Meatu amwamuru Mkandarasi kubomoa Msingi aliojenga …
SIMIYU: Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Meatu Mkoani Simiyu Msoleni Dakawa, ameamuru kubomolewa kwa msingi wa madarasa manne, uliokuwa unaendelea kujengwa katika Shule ya Sekondari Sakasaka iliyopo wilayani hapo baada ya kubaini umejengwa chini ya kiwango. Aidha Mkurugenzi…

11 October 2022, 5:03 pm
Wananchi wa kijiji cha Zebeya Wamemshukuru Rais Samia kwa kutoa Fedha Za…
Wananchi wa kijiji cha Zebeya kilichopo Kata ya Senani Wilayani Maswa Mkoani Simiyu Wamemshukuru Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh Samia Suruhu Hasani kwa kutoa Fedha Zaidi ya Shilingi Bilioni 1.6 kwa Ajili ya Ujenzi na Ukarabati wa …

31 May 2022, 10:48 pm
Serikali inaendelea kuwaboreshea mazingira ya kazi.
Na mwandishi wetu. Serikali kupitia wizara ya Afya, inaendelea na mkakati wa kuboresha miundombinu ya huduma za afya, unaoenda sambamba na ujenzi wa nyumba za watumishi wa Afya, ili wahudumu kuwa na makzi katika maeneo yao ya kazi pamoja…

30 April 2021, 12:01 pm
TACAIDS yawajengea uwezo wasichana kutambua haki zao
Na; Mariam Matundu. Tume ya kudhibiti Ukimwi nchini TACAIDS chini ya uratibu wa masuala ya ukimwi kwa mtazamo wa kijinsia imetoa mafunzo kwa wasichana na wanawake wanaoishi na virusi vya ukimwi ili kuwapatia utambuzi wa haki zao za msingi katika maeneo yao. Akizungumza…