Siasa
11 July 2026, 23:06
Zaidi ya washiriki 250 kukutana Zanzibar kwenye kongamano la NADOGCE
Zanzibar ipo tayari kuwa mwenyeji wa Kongamano la Pili la Mafuta na Gesi Afrika (NADOGCE 2026) litakalofanyika Julai 25 hadi 27, likiwakutanisha zaidi ya washiriki 250 kutoka nchi zaidi ya 20 kujadili maendeleo ya sekta ya mafuta, gesi na nishati…
10 July 2026, 7:10 pm
Kituo cha mafuta chateketea kwa moto Geita
Muonekano wa Kituo cha mafuta Lake Energies kilivyo teketea kwa moto. Picha na Kale Chongela Chanzo cha moto huo kilitokana na gari aina ya Center lenye namba za usajili T799 BEB, ambalo lilikuwa limeingia katika kituo hicho kujaza mafuta. Na…
20 June 2026, 5:31 pm
Mabasi yagongana na kuua mtu mmoja Geita
Jumla ya watu 9 wamejeruhiwa na wengine kunusurika huku mtu mmoja akifariki dunia kutokana na ajali hiyo ambayo ilitokea katika kata ya Nyamigota iliyopo wilaya ya Geita. Na: Ester Mabula Mtu mmoja amefariki dunia na wengine 9 kujeruhiwa katika ajali…
12 June 2026, 4:15 pm
Wataka sheria kali dhidi ya watoto wanaowatelekeza wazazi
Wazee wamesema kumekuwa na ongezeko la vitendo vya kutelekezwa kwa wazazi wenye umri mkubwa, hali inayowafanya kukosa huduma muhimu ikiwemo chakula, matibabu na makazi bora. Na Adelinus Banenwa Wazee wa Wilaya ya Bunda mkoani Mara wameiomba Serikali kutunga sheria itakayowalazimisha…
1 June 2026, 5:35 pm
Familia za wachimbaji waliofukiwa na kifusi Bukombe zaiangukia serikali
Tukio la kufukiwa wachimbaji hao limetokea May 28, 2026 majira ya saa Alasiri ambapo Jeshi la zimamoto na uokoaji wilaya ya Bukombe limeendelea na zoezi la uokoaji kwa kushirikiana na wachimbaji wadogo. Na: Edga Rwenduru Familia za wachimbaji watatu wa…
4 May 2026, 17:26
Uroa gizani kwa wizi wa transfoma, serikali yachukua hatua
Meneja wa ZECO, Haji Haji, amewataka wananchi kuacha mara moja kuharibu miundombinu ya umeme visiwani Zanzibar akibainisha kuwa vitendo hivyo vinaleta hasara kubwa kwa serikali. Na Mary Julius. Meneja wa Shirika la Umeme Zanzibar ZECO Haji Haji amewataka wananchi kuacha…
April 30, 2026, 6:11 pm
Sekta binafsi Geita wafungua fursa za ajira
Serikali inathamini nafasi ya sekta binafsi ambayo ni asilimia 70 kwenye pato la taifa na kwamba itaendelea kutekeleza malengo ya Dira ya Taifa ya Maendeleo 2050 ili kupiga hatua zaidi. Na Clement Shawishi- GEITA. Serikali imesema kuwa uwekezaji unaofanywa na…
3 April 2026, 09:11
Polisi Iringa yawadaka watuhumiwa genge la utapeli
Katika operesheni maalum, Jeshi la Polisi limefanikiwa kuokoa wahanga 75 waliorubuniwa na mtandao wa utapeli, ambao walikuwa wakidanganywa kwa ahadi za ajira ndani na nje ya Tanzania. Na Hafidh Ally Jeshi la Polisi mkoani Iringa limewakamata watuhumiwa wawili wanaodaiwa kuwa…
25 March 2026, 16:32
Changamoto ya umeme Zanzibar kubaki historia
Waziri wa Fedha na Mipango Zanzibar, Dk Juma Malik Akil, amesema Zanzibar itapata umeme wa uhakika ndani ya miezi michache ijayo kutokana na miradi mipya ya nishati. Amesema serikali inawekeza katika umeme wa jua na upepo ili kuongeza uzalishaji hadi…
20 February 2026, 16:44
Mtwara kuadhimisha kitaifa siku ya Skauti Duniani
Mkoa wa Mtwara utaadhimisha Siku ya Skauti Duniani Februari 22, 2026, kumuenzi Robert Baden-Powell. Maadhimisho hayo yatajumuisha mafunzo, huduma za jamii na kampeni za uzalendo, huku vijana 400 wakitarajiwa kunufaika na elimu mbalimbali. Wananchi wamealikwa kushiriki katika viwanja vya Nangwanda…