Radio Tadio

Nishati

26 June 2025, 10:59 am

Washauriwa kutumia uzi kusafishia meno baada ya kula

“Matumizi ya vijiti visivyofaa kuondolea mabaki ya chakula huchangia maambukizi ya bakteria katika fizi ya binadamu.” JAMII yashauriwa kutumia uzi maalumu wa kusafishia mabaki ya chakula katika meno tofauti na matumizi ya Vijiti visivyofaa. Hayo yameelezwa na mtaalamu wa afya…

21 June 2025, 5:36 pm

Nyumba ya milioni 73 yateketea kwa moto Maswa

“Tuendelee kuwakumba wenye uhutaji katika kurudisha faraja kutokana na familia hizo kupitia kwenye changamoto kwa kipindi hicho na hii ni ibada kubwa sana kwa Mungu wetu kwa kutoa sadaka kwa wenye changamoto mbalimbali”. Na, Daniel Manyanga  Jamii wilayani Maswa mkoani…

June 14, 2025, 10:52 am

Wakulima bora wa tumbaku wapewa zawadi ya pikipiki

Wakulima wa zao la Tumbaku wamekabidhiwa pikipiki baada ya kufanya vizuri katika uzalishaji wa zao la Tumbaku Na Leocadia Andrew Kampuni ya ununuzi wa tumbaku Tanzania ya Alliance One imetoa pikipiki kwa wakulima bora wa zao la Tumbaku kwa mkoa…

14 June 2025, 10:09 am

Bodaboda Maswa wakiri kutozijua sheria za barabarani

Imebainishwa kuwa ongezeko la ajali za barabarani wilayani Maswa mkoani Simiyu,umetajwa kusababishwa na waendesha bodaboda wasiojua sheria za usalama barabarani hali iliyomlazimu mkuu wa Wilaya hiyo kukutana na bodaboda hao. Na Alex Sayi Baadhi ya waendesha bodaboda wilayani Maswa mkoani…

6 June 2025, 3:27 pm

RC Katavi awasihi bodaboda kutunza amani

Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko akitoa neno kwa bodaboda. Picha na Samwel Mbugi “Nyie ni nguzo kubwa ya usalama katika mkoa wetu” Na Samwel Mbugi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka bodaboda mkoa wa…

22 May 2025, 2:02 pm

Wananchi Maswa watoa kilio kwa DC  Anney

Migogoro mingi ya Wanandoa inasababishwa na kutokuandika Wosia inapotokea mume amefariki Dunia ndugu wa mwanaume wanakuja juu na kumdhurumu mali mjane aliyeachwa na marehemu wakati mali hizo wamezitafuta wawili hao. ” Dc Dkt Vicent Anney “ Wananchi  wa  kata  za …