Nishati
26 June 2025, 10:59 am
Washauriwa kutumia uzi kusafishia meno baada ya kula
“Matumizi ya vijiti visivyofaa kuondolea mabaki ya chakula huchangia maambukizi ya bakteria katika fizi ya binadamu.” JAMII yashauriwa kutumia uzi maalumu wa kusafishia mabaki ya chakula katika meno tofauti na matumizi ya Vijiti visivyofaa. Hayo yameelezwa na mtaalamu wa afya…
21 June 2025, 5:36 pm
Nyumba ya milioni 73 yateketea kwa moto Maswa
“Tuendelee kuwakumba wenye uhutaji katika kurudisha faraja kutokana na familia hizo kupitia kwenye changamoto kwa kipindi hicho na hii ni ibada kubwa sana kwa Mungu wetu kwa kutoa sadaka kwa wenye changamoto mbalimbali”. Na, Daniel Manyanga Jamii wilayani Maswa mkoani…
16 June 2025, 2:40 pm
Watoto waomba sheria kali itungwe kwa mzazi anayefanya ukatili Maswa
“Tuwalinde ,tuwapende ,tuwatimizie mahitaji ya msingi watoto wetu hii ni njia pekee ya kukomesha ukatili kwa watoto hivyo kumaliza changamoto ya watoto mitaani ambao baadae hujeuga na kuwa wezi,vibaka na chokoraa tukifanya hivyo kila mzazi au mlezi kwa nafasi yake…
June 14, 2025, 10:52 am
Wakulima bora wa tumbaku wapewa zawadi ya pikipiki
Wakulima wa zao la Tumbaku wamekabidhiwa pikipiki baada ya kufanya vizuri katika uzalishaji wa zao la Tumbaku Na Leocadia Andrew Kampuni ya ununuzi wa tumbaku Tanzania ya Alliance One imetoa pikipiki kwa wakulima bora wa zao la Tumbaku kwa mkoa…
14 June 2025, 10:09 am
Bodaboda Maswa wakiri kutozijua sheria za barabarani
Imebainishwa kuwa ongezeko la ajali za barabarani wilayani Maswa mkoani Simiyu,umetajwa kusababishwa na waendesha bodaboda wasiojua sheria za usalama barabarani hali iliyomlazimu mkuu wa Wilaya hiyo kukutana na bodaboda hao. Na Alex Sayi Baadhi ya waendesha bodaboda wilayani Maswa mkoani…
6 June 2025, 3:27 pm
RC Katavi awasihi bodaboda kutunza amani
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko akitoa neno kwa bodaboda. Picha na Samwel Mbugi “Nyie ni nguzo kubwa ya usalama katika mkoa wetu” Na Samwel Mbugi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka bodaboda mkoa wa…
22 May 2025, 3:27 pm
Sendiga aboresha taarifa zake katika daftari la kudumu la mpiga kura
Wananchi mkoani Manyara ambao hawajaboresha taarifa zao wametakiwa kufika kwenye vituo vilivyopangwa kwa ajili ya kuboreshe taarifa zao kwa muda uliobaki ili kupata fursa ya kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara…
22 May 2025, 2:02 pm
Wananchi Maswa watoa kilio kwa DC Anney
Migogoro mingi ya Wanandoa inasababishwa na kutokuandika Wosia inapotokea mume amefariki Dunia ndugu wa mwanaume wanakuja juu na kumdhurumu mali mjane aliyeachwa na marehemu wakati mali hizo wamezitafuta wawili hao. ” Dc Dkt Vicent Anney “ Wananchi wa kata za …
May 8, 2025, 3:49 pm
Halmashauri ya Msalala imepokea dozi 82,000 ya chanjo ya Sokota
”watumishi idara ya Mifugo na kilimo katika halmashauri ya Msalala wametakiwa kwenda kutekeleza utoaji wa chanjo hiyo kwa mifugo yote” Na Sebastian Mnakaya Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga imepokea zaidi ya dozi 82,000 ya chanjo ya Sokota kwa…
6 May 2025, 5:39 pm
Sillo awaasa wananchi Babati kushiriki uchaguzi mkuu Oktoba 2025
Serikali ya awamu ya sita kwa kushirikiana na taasisi ya Karimu Foundation na shirika lisilokuwa la Kiserikali la So They Can Tanzania (STC) imefanikisha miradi mbali mbali ya kimaendeleo ikiwemo ujenzi wa vituo vya fya. Na Marino kawishe Naibu waziri…