
Nishati

June 14, 2025, 10:52 am
Wakulima bora wa tumbaku wapewa zawadi ya pikipiki
Wakulima wa zao la Tumbaku wamekabidhiwa pikipiki baada ya kufanya vizuri katika uzalishaji wa zao la Tumbaku Na Leocadia Andrew Kampuni ya ununuzi wa tumbaku Tanzania ya Alliance One imetoa pikipiki kwa wakulima bora wa zao la Tumbaku kwa mkoa…

14 June 2025, 10:09 am
Bodaboda Maswa wakiri kutozijua sheria za barabarani
Imebainishwa kuwa ongezeko la ajali za barabarani wilayani Maswa mkoani Simiyu,umetajwa kusababishwa na waendesha bodaboda wasiojua sheria za usalama barabarani hali iliyomlazimu mkuu wa Wilaya hiyo kukutana na bodaboda hao. Na Alex Sayi Baadhi ya waendesha bodaboda wilayani Maswa mkoani…

6 June 2025, 3:27 pm
RC Katavi awasihi bodaboda kutunza amani
Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko akitoa neno kwa bodaboda. Picha na Samwel Mbugi “Nyie ni nguzo kubwa ya usalama katika mkoa wetu” Na Samwel Mbugi Mkuu wa Mkoa wa Katavi Mwanamvua Hoza Mrindoko amewataka bodaboda mkoa wa…

22 May 2025, 3:27 pm
Sendiga aboresha taarifa zake katika daftari la kudumu la mpiga kura
Wananchi mkoani Manyara ambao hawajaboresha taarifa zao wametakiwa kufika kwenye vituo vilivyopangwa kwa ajili ya kuboreshe taarifa zao kwa muda uliobaki ili kupata fursa ya kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara…

22 May 2025, 2:02 pm
Wananchi Maswa watoa kilio kwa DC Anney
Migogoro mingi ya Wanandoa inasababishwa na kutokuandika Wosia inapotokea mume amefariki Dunia ndugu wa mwanaume wanakuja juu na kumdhurumu mali mjane aliyeachwa na marehemu wakati mali hizo wamezitafuta wawili hao. ” Dc Dkt Vicent Anney “ Wananchi wa kata za …

May 8, 2025, 3:49 pm
Halmashauri ya Msalala imepokea dozi 82,000 ya chanjo ya Sokota
”watumishi idara ya Mifugo na kilimo katika halmashauri ya Msalala wametakiwa kwenda kutekeleza utoaji wa chanjo hiyo kwa mifugo yote” Na Sebastian Mnakaya Halmashauri ya Msalala wilayani Kahama mkoani Shinyanga imepokea zaidi ya dozi 82,000 ya chanjo ya Sokota kwa…

6 May 2025, 5:39 pm
Sillo awaasa wananchi Babati kushiriki uchaguzi mkuu Oktoba 2025
Serikali ya awamu ya sita kwa kushirikiana na taasisi ya Karimu Foundation na shirika lisilokuwa la Kiserikali la So They Can Tanzania (STC) imefanikisha miradi mbali mbali ya kimaendeleo ikiwemo ujenzi wa vituo vya fya. Na Marino kawishe Naibu waziri…

May 6, 2025, 1:58 pm
Uzalishaji wa zao la pamba umeendelea kuimarika nchini
”Zao la pamba umeendelea kuimarika nchini, ambapo hadi sasa umeongezeka kutoka tani 180,000 hadi kufikia tani 400,000” Na Sebastian Mnakaya Serikali imesema uzalishaji wa zao la pamba umeendelea kuimarika nchini, ambapo hadi sasa umeongezeka kutoka tani 180,000 hadi kufikia tani…

14 April 2025, 13:49
UNIDO yahamasisha matumizi ya nishati safi ya kupikia
Mkuu wa Mkoa Kigoma Thobias Andengenye amesema Serikali itaendelea kushirikiana na wadau wa maendeleo katika kuhamasisha jamii kutumia nishati safi ya kupikia. Na Josephine Kiravu Wadau mkoani kigoma wametakiwa kuendelea kutoa elimu kwa jamii kuhusu matumizi ya nishati safi ya…

2 April 2025, 8:04 pm
Fisi wavamia na kuua kondoo wa mahari Bariadi
“Hivi hatuwezi kumaliza kabisa suala la fisi mkoani hapa? Siku chache zilizopita matukio kama haya yaliripotiwa katika wilaya za Itilima na Maswa leo hii wameingia mjini Bariadi je, ni kweli hatuwezi au ndiyo kusema bado hatujaamua kufanya hivyo? Naomba kwenye…