Nishati
1 Mei 2026, 2:26 um
Wanahabari tunapaswa kufanya kazi bila kubugudhiwa-Meena
Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Vijijini Tanzania (RUJAT), Neville Meena, amesema kuwa siku ya uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu kwani huwakutanisha wadau mbalimbali na wanahabari na kuwakubumbusha wanapaswa kufanya kazi kwa uhuru na bila kubugudhiwa.…
Aprili 28, 2026, 3:21 um
Semagogwa aibuka kinara sekta ya habari 2026
Semagogwa ameahidi kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kuitendea haki tuzo hiyo, huku akisisitiza dhamira yake ya kuiwakilisha vyema sekta ya habari pamoja na wanawake na wanaume wa Kanda ya Ziwa na Tanzania kwa ujumla. MWANZA Mwandishi wa habari wa…
16 Aprili 2026, 14:45
Wananchi walia umeme kutokuwa na nguvu Kagunga
Upatikanaji wa umeme wa kutosha ni moja ya nguzo muhimu katika maendeleo ya kisasa ya jamii yoyote na Umeme unapokuwa wa uhakika na wa kutosha, huchochea ukuaji wa uchumi, huboresha huduma za kijamii, na kuinua kiwango cha maisha ya watu.…
15 Aprili 2026, 8:20 um
Mashujaa FC yajipanga kuivaa Singida Black Stars
Kila mchezaji yuko focused kuelekea mchezo huu. Tunatambua utakuwa mgumu kwa sababu tunaiheshimu Singida Black Stars kama wapinzani wetu, lakini nasi tuna kikosi imara chenye wachezaji bora wazawa wenye uwezo wa kupambana na kupata matokeo chanya Na. Abdunuru Shafii Afisa…
26 Machi 2026, 16:39
AWF, IUCN wapunguza migogoro ya tembo Udzungwa
Jitihada hizo zimefanikiwa kwa kuungwa mkono na (AWF) kupitia mradi wa Sustain-Eco wanaoutekeleza kwa kushirikiana na IUCN Na Hospice lipipa/Kuruthumu Mkata Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa imendelea kuchukua hatua za kupunguza mwingiliano kati ya binadamu na tembo kwa…
13 Januari 2026, 10:38
Suheil apongeza mazingira wezeshi kwa wawekezaji
“Mazingira ya uwekezaji yakiwa mazuri lazima wawekezaji waongeze uzalishaji wa bidhaa” Na Hafidh Ally Serikali ya imepongezwa kwa kufanya mageuzi makubwa na kuweka mazingira rafiki na wezeshi kwa wawekezaji jambo linalochochea ukuaji wa shughuli za uzalishaji, kuongeza ajira na kupanua…
8 Januari 2026, 10:18
Polisi Zanzibar kuendelea kuimarisha ushirikiano na wananchi
Na Denis Mtamwega Jeshi la Polisi nchini limesema litaendelea kuimarisha ushirikiano wake na wananchi kupitia miradi mbalimbali ya Polisi jamii ili kuhakikisha usalama wa raia na mali zao unaendelea kuimarika huku wahalifu wakichukuliwa hatua kali za kisheria. Kamishna wa Polisi…
20 Novemba 2025, 3:02 um
Muziki wawaongezea utulivu ng’ombe wakati wa kukamuliwa
Asajile amekuwa akiwasoma Ng’ombe wake tabia hii humsaidia kupata maziwa kwa wingi zaidi Na Anyisile Fredy MKAZI na mfugaji wa ng’ombe wa maziwa mjini Vwawa Mbozi Mkoani Songwe, Mikaya Asajile amesema amewagundua ng’ombe wake kwamba wanapenda muziki wakati wa kukamuliwa.…
25 Oktoba 2025, 14:45
Vikundi vya Jogging Mtwara vyahamasisha uchaguzi wa Amani
Vikundi kumi vya jogging Mtwara Mikindani vimeshiriki mbio fupi kuhamasisha ushiriki wa wananchi katika Uchaguzi Mkuu Oktoba 29, 2025, zikiwa na kaulimbiu “Mazoezi kwa Afya, Uchaguzi wa Amani ni Msingi wa Maendeleo.” Na Musa Mtepa MTWARA-Vikundi kumi vya jogging kutoka…
21 Septemba 2025, 8:56 um
Machifu Songwe waombea uchaguzi
Umoja wa Machifu umefanya dua maalumu kusisitiza amani, utulivu na mshikamano Na Devi Mgale UMOJA wa Machifu Mkoa wa Songwe umefanya dua maalumu ya kuombea uchaguzi wa mwaka huu uwe wa amani na utulivu. Dua hiyo imefanyika Septemba 20, katika…