
Nishati

11 March 2025, 15:11
REA yatoa majiko banifu kwa wanufaika TASAF Kasulu
Uhamasishaji na utoaji elimu endelevu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia ni muhimu katika utekelezaji mpango wa serikali kwa mtanzania kutumia nishati hiyo ifikapo 2034 Na Hagai Ruyagila Serikali kuu kupitia Wakala wa Nishati Vijijini REA imetoa majiko banifu…

5 March 2025, 21:50 pm
SDA,TASA, SSDM na tamasha la usawa wa kijinsia Mtwara
Kila ifikapo March 8 ya kila mwaka Dunia huadhimisha siku ya Mwanamke Duniani dhamira ikiwa kutambua mchango mkuu unaotolewa na Mwanake katika jamii hivyo kuelekea siku hiyo shirika la SDA,TASA na SSDM wamefanikisha kupeleka ujumbe juu ya haki ,usawa na…

27 February 2025, 1:41 pm
Kifahamu kijiji cha Chikopelo kilichopitiwa na bonde la ufa
Wakazi wa kijiji hiki wengi wanajihusisha na kilimo . Na Yussuph Hassan. Karibu kwenye mfululizo wa makala hii ya Fahari ya Dodoma kuufahamu uzuri wa mkoa wa Dodoma ambapo leo tunakitazama kijiji cha Chikopelo kinachopatikana katika kata ya Chali wilayani…

17 February 2025, 19:06 pm
Simba SC yatua Mtwara, kuwakabili Namungo Feb 19 Ruangwa
Katika misimu miwili iliyopita simba sc haijawahi kushinda mchezo wowote wa ligi kuu katika uwanja wa Majaliwa dhidi ya Timu ya Namungo ,katika michezo miwili waliyocheza katika miimu hiyo miwili wameambulia kupata sare. Na Musa Mtepa Timu ya soka ya…

5 December 2024, 10:15 am
Mradi wa maji Wariku wa bilioni 1.6 watambulishwa rasmi
BUWSSA kutumia miezi sita kukamilisha ujenzi wa mradi wa maji wa bilioni 1.6 kata ya Wariku mkurugenzi atoa tahadhari ya wizi wa vifaa. Na Adelinus Banenwa Mamlaka ya maji safi na usafi wa Mazingira Bunda BUWSSA imetangaza kuanza kutekeleza mradi…

10 November 2024, 08:44 am
DC Mtwara azindua uchaguzi Ndile Cup
Huu ni msimu wanne wa mashindano hayo ambayo yamekuwa yakijigeuza kila mwaka kutokana na matukio makubwa ya kitaifa ambapo mwaka 2022 yalitwa Sensa Ndile Cup na mwaka yanajulikana na kama Uchaguzi Ndile Cup. Na Musa Mtepa Mkuu wa Wilaya ya…

3 November 2024, 10:57 am
Mudy Ray aahidi saruji, vifaa vya michezo shule ya msingi Ruvula
Hapo awali shule ya msingi Ruvula ilikuwa shule shikizi ambapo mwaka 2023 ilipata usajili rasmi wa kutambulika kuwa shule kamili na mwaka 2024 kwa mara ya kwanza imehitimisha wanafunzi 20 wa darasa la saba huku 17 kati yao wakielekea kidato…

12 October 2024, 11:00 am
Mtwara DC, NMB wahamasisha wananchi kujiandikisha kupiga kura
Lengo la jogging na michezo mingine ni katika kuhamasisha wananchi kushiriki kikamilifu katika zoezi la uandikishaji kwenye daftari la wapiga kura lilionza rasmi jana October 11, 2024 kote nchini. Na Musa Mtepa Mkurugenzi wa Halmashauri ya Mtwara DC, Abeid Abeid…

11 October 2024, 6:34 pm
Sendiga katika foleni kujiandikisha daftari la mkazi.
Zoezi la kujiandikisha katika daftari la mkazi katika mtaa wa mrara kata ya Babati wilayani Babati mkoani Manyara limeanza rasmi leo ambapo wananchi wametakiwa kujitokeza katika zoezi hilo ili watimize haki yao ya kikatiba ya kuchagua viongozi wao wa mtaa…

September 30, 2024, 4:55 pm
Wakulima wa pamba Shinyanga wafundwa kilimo bora
Maafisa ugani katika kata 119 miongoni mwa kata 130 wamepatiwa pikipiki pamoja na vyombo vya kupimia ubora wa ardhi ili kuwafikia wakulima huku akiweka wazi kushuka kwa uzalishaji wa zao hilo katika mkoa wa Shinyanga. Na Sebastian Mnakaya Mkuu wa…