Radio Tadio

Nishati

22 July 2026, 09:01

Ugute walalamika mwekezaji kupewa hekta 400 za ardhi kimyakimya

Wananchi wa Kijiji cha Ugute wametaka mchakato wa kupatikana kwa mwekezaji kuwekeza kijijini kwao usitishwe ili washirikishwe. Na Fredrick Siwale Wananchi wa Kijiji cha Ugute, Kata ya Isalavanu, Halmashauri ya Mji Mafinga, wamelalamikia uamuzi wa uongozi wa kijiji hicho wa…

14 June 2026, 14:31

CRDB Nanauka CUP 2026 yazinduliwa rasmi Mtwara

Mtwara Festival Nanauka Cup 2026 imezinduliwa rasmi Mtwara, huku viongozi wakisisitiza umuhimu wa michezo katika kuibua vipaji vya vijana. Mashindano hayo yanatarajiwa kutoa fursa kwa TFF kutambua na kukuza wachezaji watakaolitumikia taifa siku zijazo Na Musa Mtepa Msimu wa burudani…

1 May 2026, 2:26 pm

Wanahabari tunapaswa kufanya kazi bila kubugudhiwa-Meena

Mwenyekiti wa Chama cha Waandishi wa Habari za Vijijini Tanzania (RUJAT), Neville Meena, amesema kuwa siku ya uhuru wa vyombo vya habari ni muhimu kwani huwakutanisha wadau mbalimbali na wanahabari na kuwakubumbusha wanapaswa kufanya kazi kwa uhuru na bila kubugudhiwa.…

April 28, 2026, 3:21 pm

Semagogwa aibuka kinara sekta ya habari 2026

Semagogwa ameahidi kuendelea kufanya kazi kwa bidii ili kuitendea haki tuzo hiyo, huku akisisitiza dhamira yake ya kuiwakilisha vyema sekta ya habari pamoja na wanawake na wanaume wa Kanda ya Ziwa na Tanzania kwa ujumla. MWANZA Mwandishi wa habari wa…

16 April 2026, 14:45

Wananchi walia umeme kutokuwa na nguvu Kagunga

Upatikanaji wa umeme wa kutosha ni moja ya nguzo muhimu katika maendeleo ya kisasa ya jamii yoyote na Umeme unapokuwa wa uhakika na wa kutosha, huchochea ukuaji wa uchumi, huboresha huduma za kijamii, na kuinua kiwango cha maisha ya watu.…

15 April 2026, 8:20 pm

Mashujaa FC yajipanga kuivaa Singida Black Stars

Kila mchezaji yuko focused kuelekea mchezo huu. Tunatambua utakuwa mgumu kwa sababu tunaiheshimu Singida Black Stars kama wapinzani wetu, lakini nasi tuna kikosi imara chenye wachezaji bora wazawa wenye uwezo wa kupambana na kupata matokeo chanya Na. Abdunuru Shafii Afisa…

26 March 2026, 16:39

AWF, IUCN wapunguza migogoro ya tembo Udzungwa

Jitihada hizo zimefanikiwa kwa kuungwa mkono na (AWF) kupitia mradi wa Sustain-Eco wanaoutekeleza kwa kushirikiana na IUCN Na Hospice lipipa/Kuruthumu Mkata Hifadhi ya Taifa ya Milima ya Udzungwa imendelea kuchukua hatua za kupunguza mwingiliano kati ya binadamu na tembo kwa…

13 January 2026, 10:38

Suheil apongeza mazingira wezeshi kwa wawekezaji

“Mazingira ya uwekezaji yakiwa mazuri lazima wawekezaji waongeze uzalishaji wa bidhaa” Na Hafidh Ally Serikali ya imepongezwa kwa kufanya mageuzi makubwa na kuweka mazingira rafiki na wezeshi  kwa wawekezaji  jambo linalochochea ukuaji wa shughuli za uzalishaji, kuongeza ajira na kupanua…

8 January 2026, 10:18

Polisi Zanzibar kuendelea kuimarisha ushirikiano na wananchi

Na Denis Mtamwega Jeshi la Polisi nchini limesema litaendelea kuimarisha ushirikiano wake na wananchi kupitia miradi mbalimbali ya Polisi jamii ili kuhakikisha usalama wa raia na mali zao unaendelea kuimarika huku wahalifu wakichukuliwa hatua kali za kisheria. Kamishna wa Polisi…