Radio Tadio

Nishati

11 March 2025, 15:11

REA yatoa majiko banifu kwa wanufaika TASAF Kasulu

Uhamasishaji na utoaji elimu endelevu ya matumizi ya nishati safi ya kupikia ni muhimu katika utekelezaji mpango wa serikali kwa mtanzania kutumia nishati hiyo ifikapo 2034 Na Hagai Ruyagila Serikali kuu kupitia Wakala wa Nishati Vijijini REA imetoa majiko banifu…

5 March 2025, 21:50 pm

SDA,TASA, SSDM na tamasha la usawa wa kijinsia Mtwara

Kila ifikapo March 8 ya kila mwaka Dunia huadhimisha siku ya Mwanamke Duniani dhamira ikiwa kutambua mchango mkuu unaotolewa na Mwanake katika jamii hivyo kuelekea siku hiyo shirika la SDA,TASA na SSDM wamefanikisha kupeleka ujumbe juu ya haki ,usawa na…

27 February 2025, 1:41 pm

Kifahamu kijiji cha Chikopelo kilichopitiwa na bonde la ufa

Wakazi wa kijiji hiki wengi wanajihusisha na kilimo . Na Yussuph Hassan. Karibu kwenye mfululizo wa makala hii ya Fahari ya Dodoma kuufahamu uzuri wa mkoa wa Dodoma ambapo leo tunakitazama kijiji cha Chikopelo kinachopatikana katika kata ya Chali wilayani…

17 February 2025, 19:06 pm

Simba SC yatua Mtwara, kuwakabili Namungo Feb 19 Ruangwa

Katika misimu miwili iliyopita simba sc haijawahi kushinda mchezo wowote wa ligi kuu katika uwanja wa Majaliwa dhidi ya Timu ya Namungo ,katika michezo miwili waliyocheza katika miimu hiyo miwili wameambulia kupata sare. Na Musa Mtepa Timu ya soka ya…

10 November 2024, 08:44 am

DC Mtwara azindua uchaguzi Ndile Cup

Huu ni msimu wanne wa  mashindano hayo ambayo yamekuwa yakijigeuza kila mwaka kutokana na matukio makubwa ya kitaifa   ambapo mwaka 2022 yalitwa Sensa Ndile Cup na mwaka yanajulikana na kama Uchaguzi Ndile Cup. Na Musa Mtepa Mkuu wa Wilaya ya…

11 October 2024, 6:34 pm

Sendiga katika foleni kujiandikisha daftari la mkazi.

Zoezi la kujiandikisha katika daftari la mkazi katika mtaa wa mrara kata ya Babati wilayani Babati mkoani Manyara limeanza rasmi leo  ambapo wananchi  wametakiwa kujitokeza katika zoezi hilo ili watimize haki yao ya kikatiba ya  kuchagua viongozi wao wa  mtaa…

September 30, 2024, 4:55 pm

Wakulima wa pamba Shinyanga wafundwa kilimo bora

Maafisa ugani katika kata 119 miongoni mwa kata 130 wamepatiwa pikipiki pamoja na vyombo vya kupimia ubora wa ardhi ili kuwafikia wakulima huku akiweka wazi kushuka kwa uzalishaji wa zao hilo katika mkoa wa Shinyanga. Na Sebastian Mnakaya Mkuu wa…