Radio Tadio

Mazingira

19 Febuari 2023, 4:13 um

Andaeni mikakati ya usafi ili itekelezwe

Na Rifati Jumanne Katika kuhakikisha Halmashauri ya Mji wa Ifakara inarejea katika usafi wa mazingira,mashirika yasiyo ya kiserikali Wilayani Kilombero imewaomba Halmashauri ya Wilaya kuandaa mikakati maalumu ili wao waitekeleze kama ilivyo azma yao ya kusaidiana na serikali katika kila…

31 Januari 2023, 12:02 um

Balozi afafanua juu ya Miundombinu ya Maji taka

Balozi wa mtaa wa Bahiroad mariamu omary amelazimika kutoa ufafanuzi juu ya miundombinu ya maji taka. Na Leonard Mwacha Alitoa ufafanuzi huo juu ya shutuma zinazoelekezwa kwa wenye nyumba juu ya kuhusika na uharibifu wa miundombinu ya maji taka. Kwa…

30 Januari 2023, 9:32 mu

Jeshi la Polisi laongoza zoezi la usafi Kilosa

Mkuu wa Polisi Wilaya ya Kilosa  (OCD)  Hasani Selengu ameliongoza Jeshi la Polisi Wilaya ya Kilosa Katika  Kufanya Usafi  katika Hospitali ya Wilaya ya Kilosa leo Januari 27 Mwaka huu 2023 .. Wakati wakendelea kufanya  usafi huo  wa kufyeka nyasi…