Kilimo
19 Disemba 2022, 8:35 mu
Bahi watakiwa kulima mazao yanayo stahimili ukame
Na; Benard Filbert. Wakulima wa kata ya Bahi wilaya ya Bahi mkoani Dodoma wameshauriwa kupanda mazao ambayo yanahitaji mvua kidogo ili kukabiliana na mabadiliko ya hali ya hewa. Ushauri huo umetolewa na Diwani wa Kata hiyo Agustino Mdunuu wakati akizungumza…
16 Disemba 2022, 12:16 um
Mbolea ya ruzuku kilio kwa baadhi ya wakulima
RUNGWE- MBEYA NA JUDITH MWAKIBIBI Kutokana na kukosekana kwa mbolea ya ruzuku kwa baadhi ya maeneo Wilaya Rungwe Mkoani Mbeya wakulima wametakiwa kuwa na subira wakati serikali ikiendelea kulishughulikia suala hilo. Hayo yamebainishwa na afisa kilimo wilayani hapa Bw Juma…
13 Disemba 2022, 9:18 mu
Bilioni 150 zimetolewa na serikali Kwa ajili ya ruzuku ya pembejeo Katavi.
KATAVI Waziri Mkuu Wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Kassimu Majaliwa amesema kiasi cha fedha cha shillingi Bilioni 150 zimetolewa na serikali kwa ajili ya ruzuku ya pembejeo kwa wakulima ili wapate mbolea na dawa Mkoani Katavi. Ameyasema hayo alipokuwa…
24 Novemba 2022, 3:29 um
Wakulima Iringa wamempongeza Rais Samia kwa kupunguza bei ya Mbolea
Wakulima mkoani Iringa wamefanya matembezi ya kumpongeza Rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania Samia Suluhu Hassan kwa kuwapunguzia bei ya mbolea. Wakizungumza Mbele ya Mkuu wa mkoa wa Iringa wakulima hao wamesema kuwa walikuwa wakinunua mbolea kwa shilingi…
16 Novemba 2022, 12:28 um
Zaidi ya billioni 474 zinatumika kuagiza mafuta nje ya Nchi
Na; Mariam Matundu. Imeelezwa kuwa iwapo mkakati wa kukuza na kuongeza uzalishaji katika zao la alizeti ukifanikiwa,serikali itafanikiwa kuokoa fedha nyingi ambazo zinatumika kuagiza mafuta ya kula nje ya Nchi . Akizungumza katika mahojiano maalumu na Dodoma fm naibu waziri…
27 Oktoba 2022, 10:21 mu
Wakulima Kongwa watakiwa kulima kilimo chenye tija
Na; Benard Filbert. Wakulima wilaya ya Kongwa wamehimizwa kutumia teknolojia ya kisasa yakuvuna maji na kutunza udongo ili kufanya kilimo chenye tija. Hayo yameelezwa na mkuu wa idara ya kilimo na mifugo wilaya ya Kongwa Bw. wakati akizungumza na taswira…
23 Oktoba 2022, 9:37 mu
Dc Moyo Atoa Siku Saba Kwa Mawakala Wa Mbolea Kufikisha Mbolea Kwa Wakulima
Mkuu wa wilaya ya Iringa Mohamed Hassan Moyo ametoa siku saba kwa mawakala wa pembejeo za kilimo kufikisha mbole aina zote kwa wakulima huku wakisubili serikali kutatua changamoto za kimfumo ambazo wanakabiliana nazo. Akizungumza wakati kikao kazi na wadau,mawakala…
20 Oktoba 2022, 11:59 mu
Bilioni 27 zatarajiwa kutumika ujenzi wa bwawa Chunyu
Na;Mindi Joseph. Bilioni 27 zinatarajiwa kutumika katika ujenzi wa bwawa la umwagiliaji katika kijiji cha chunyu wilayani mpwawa ili kutatua changamoto ya uzalishaji hafifu wa Chakula. Hivi karibuni wanachi wa kijiji hicho wameelezea kuwa ukosefu wa Bwawa na Skimu za…
18 Oktoba 2022, 6:55 mu
Uhaba wa skimu za umwagiliaji watajwa kuchangia maisha duni
Na;Mindi Joseph . Ukosefu wa Skimu za umwagiliaji katika baadhi ya maeneo Mkoani Dodoma umetajwa kuchangia Maisha Duni kwa wananchi kutokana na uzalishaji hafifu wa Chakula. Taswira ya Habari imezungumza na Baadhi ya wanachi wa Kijiji cha Chunyu Wilayani mpwapwa…
12 Oktoba 2022, 3:56 um
wakulima wilayani Rungwe wametakiwa kutumia mbolea kwa usahihi
RUNGWE-MBEYA NA:SABINA MARTIN Kuelekea madhimisho ya siku ya mbolea duniani ambayo hufanyika kila mwaka ifikapo octoba 13 wakulima wilayani hapa wametakiwa kutumia mbolea kwa usahihi ili kupata mazao mengi. Akizungumza kwa njia ya simu na Chai FM afisa kilimo wilayani…