Kilimo
6 Machi 2023, 6:59 um
Kikao Kazi kuelekea Kilimo cha Ngano Makete
Kikao kazi cha maafisa Ugani na Kilimo Halmashauri ya Wilaya ya Makete kitakachofanyika kwa siku mbili kimeanza leo katika Mkakati wa kuendeleza zao la Ngano Makete. Kikao hicho kimehudhuriwa na wadau mbalimbali wakiwemo wanafunzi 80 kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo…
6 Machi 2023, 6:39 um
Maandalizi ya Kilimo cha Ngano yaanza Makete
Trekta likiwa shambani wakati wa maandalizi ya Mashamba ya Ngano Kijiji cha Mbalatse
5 Machi 2023, 2:51 um
Waziri wa Kilimo aagiza Msola akamatwe
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Anthony Mtaka akiangalia mifuko ya Mchanga kwenye moja ya ghala la Mbolea
3 Machi 2023, 2:47 um
Tani 80 za mbegu ya ngano zapokelewa Makete
oezi la kupokea ngano likifanyika nje ya Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Makete
1 Machi 2023, 16:47
TPHPA kudhibiti viuatilifu bandia
Matumizi Sahihi na Salama ya Viuatilifu yanalenga kujali Afya ya Watu na Mazingira kwa maendeleo endelevu na Kulinda afya ya binadamu na mazingira kwa usimamizi endelevu na bora wa viuatilifu na afya ya mimea. Na Fred Cheti. Mamlaka ya Afya…
23 Febuari 2023, 15:19
Alizeti yawanufaisha wakulima Dabalo
Mkoa wa Dodoma ni miongoni mwa mikoa inayotegemewa zaidi katika zalishaji wa mafuta ya alizeti. Na FRED CHETI Upatikanaji mzuri wa mbegu za alizeti katika kijiji cha Dabalo wilayani Chamwino umetajwa kuwa chachu kwa wakulima wengi ndani ya kijiji hicho…
17 Febuari 2023, 20:46
Wakulima walalamika Kilosa
Wakulima wilaya ya Kilosa wamelalamika kuchelewa kwa kupatiwa mbolea za ruzuku ile hali msimu wa kilimo umeshaanza na imefikia kipindi cha uwekaji wa mbolea katika mimea. Na Asha Madohola Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mlimani Boma ililyopo kata…
17 Febuari 2023, 12:01 um
DC Itilima: Wizara tupeni Mamlaka ya Kusimamia Miradi.
Mkuu wa Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu Mhe. Faidha Salim ameishauri Wizara ya Kilimo Kuzipa Halmashauri Mamlaka za Kusimamia Miradi Ili kuondokana na kusuasua Kwa Miradi inayotekelezwa na Wakandarasi. Mh Faidha ametoa Ushauri huo akiwa Mgeni Rasmi katika Hafla ya…
10 Febuari 2023, 16:52
Wakulima walalamikia wafanyabiashara wa mchele Bahi
Wakulima wa mpunga wilayani Bahi mkoani Dodoma wamelalamikia wafanya biashara wanaofuata mchele na Mpunga unaozalishwa wilayani humo kwa kuupa majina ya mchele wa mikoa mingine wanapouuza katika masoko mbalimbali hapa nchini tatizo linalopelekea kutotambulika kabisa kwa mchele wa Bahi kwenye…
8 Febuari 2023, 12:26 um
Zaidi ya Heka 200 za Mazao Zaharibiwa na Mvua Nsimbo
NSIMBO Zaidi ya heka 200 za mazao ya chakula na biashara zimeharibiwa na mvua iliyonyesha January 31 mwaka huu katika Kijiji cha Ikolongo kata ya mtapenda Halmashauri ya Nsimbo Mkoani katavi. Akitoa taarifa ya tukio hilo Mtendaji wakijiji cha Ikolongo…