Radio Tadio

Kilimo

27 April 2023, 18:54

Wakulima Kongogo waahidiwa mashine za kisasa

Na Mindi Joseph. Mbunge wa Jimbo la Bahi, Kenneth Nollo amewaahidi wakulima wa Kongogo kuwanunulia mashine za kisasa za kupandia mpunga pindi tu ujenzi wa skimu ya umwagiliaji utakapokamilika 2024. Akizungumza na Wakulima hao amesema wilaya ya bahi imekuwa ikizalisha…

27 April 2023, 5:52 pm

Mpunga Hatarini Kuharibika kwa Mvua

MPANDA Baadhi ya Wananchi wa Kata ya Mwamkulu manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamehofia kuharibika kwa zao la mpunga uliopo shambani kutokana na mvua zinazoendelea kunyesha. Wakizungumza na kituo hiki wamesema kuwa kuna hatari ya kupoteza mazao ya mpunga kutokana…

21 April 2023, 10:42

Wakulima wa Kilosa wanashauriwa kupanda alizeti

Zao la alizeti ni zao ambalo ni la muda mfupi pia linastahimili mvua kidogo hivyo mkulima atanufaika kwenye mazao ambayo atajikwamua kiuchumi kwa haraka tofauti na mazao mengine. “Mvua zimerudi kwa kipindi kingine ambacho mkulima awali alipanda mazao kama mahindi…

19 April 2023, 23:29

RUNALI yawanoa wajumbe wa vyama vya msingi

Na Loveness Daniel Chama kikuu cha ushirika RUNALI kinachojumuisha wilaya ya Ruangwa,Nachingwea na Liwale kimetoa mafunzo kwa wajumbe wa vyama vya msingi katika  jumla ya amcos 106 leo 19 April 2023 mafunzo hayo yamefanyika ghala la Runali  wilaya ya ruangwa.…