Kilimo
9 March 2023, 12:57 pm
Vijana wanufaika na mashamba kutoka Manispaa ya Mpanda
KATAVI Manispaa ya Mpanda imetoa mashamba kwa vijana ambao hawakuchaguliwa kushiriki Mafunzo ya BBT-YIA (Building a Better Tommorow Youth initiative for agriculture ) yaliyo ratibiwa na wizara ya kilimo na kutolewa February 15 Mwaka huu jijini Dodoma. Afisa kilimo, mifugo…
7 March 2023, 9:35 pm
Mkuu wa Mkoa wa Njombe awapongeza watumishi Makete kwa Ubunifu
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Antony Mtaka amewapongeza Viongozi wa Halmashauri ya Wilaya ya Makete kwa ubunifu wa Miradi mbalimbali ikiwemo Kilimo cha zao la Ngano. Pongezi hizo amezitoa leo Machi 7, 2023 akiwa kwenye Kikao kazi kati ya…
6 March 2023, 6:59 pm
Kikao Kazi kuelekea Kilimo cha Ngano Makete
Kikao kazi cha maafisa Ugani na Kilimo Halmashauri ya Wilaya ya Makete kitakachofanyika kwa siku mbili kimeanza leo katika Mkakati wa kuendeleza zao la Ngano Makete. Kikao hicho kimehudhuriwa na wadau mbalimbali wakiwemo wanafunzi 80 kutoka Chuo Kikuu cha Kilimo…
6 March 2023, 6:39 pm
Maandalizi ya Kilimo cha Ngano yaanza Makete
Trekta likiwa shambani wakati wa maandalizi ya Mashamba ya Ngano Kijiji cha Mbalatse
5 March 2023, 2:51 pm
Waziri wa Kilimo aagiza Msola akamatwe
Mkuu wa Mkoa wa Njombe Mhe. Anthony Mtaka akiangalia mifuko ya Mchanga kwenye moja ya ghala la Mbolea
3 March 2023, 2:47 pm
Tani 80 za mbegu ya ngano zapokelewa Makete
oezi la kupokea ngano likifanyika nje ya Makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Makete
1 March 2023, 16:47
TPHPA kudhibiti viuatilifu bandia
Matumizi Sahihi na Salama ya Viuatilifu yanalenga kujali Afya ya Watu na Mazingira kwa maendeleo endelevu na Kulinda afya ya binadamu na mazingira kwa usimamizi endelevu na bora wa viuatilifu na afya ya mimea. Na Fred Cheti. Mamlaka ya Afya…
23 February 2023, 15:19
Alizeti yawanufaisha wakulima Dabalo
Mkoa wa Dodoma ni miongoni mwa mikoa inayotegemewa zaidi katika zalishaji wa mafuta ya alizeti. Na FRED CHETI Upatikanaji mzuri wa mbegu za alizeti katika kijiji cha Dabalo wilayani Chamwino umetajwa kuwa chachu kwa wakulima wengi ndani ya kijiji hicho…
17 February 2023, 20:46
Wakulima walalamika Kilosa
Wakulima wilaya ya Kilosa wamelalamika kuchelewa kwa kupatiwa mbolea za ruzuku ile hali msimu wa kilimo umeshaanza na imefikia kipindi cha uwekaji wa mbolea katika mimea. Na Asha Madohola Hayo yamesemwa na Mwenyekiti wa Kitongoji cha Mlimani Boma ililyopo kata…
17 February 2023, 12:01
DC Itilima: Wizara tupeni Mamlaka ya Kusimamia Miradi.
Mkuu wa Wilaya ya Itilima Mkoani Simiyu Mhe. Faidha Salim ameishauri Wizara ya Kilimo Kuzipa Halmashauri Mamlaka za Kusimamia Miradi Ili kuondokana na kusuasua Kwa Miradi inayotekelezwa na Wakandarasi. Mh Faidha ametoa Ushauri huo akiwa Mgeni Rasmi katika Hafla ya…