Radio Tadio

Kilimo

20 Aprili 2023, 9:34 mu

Dc  Maswa  Aswege   Kaminyoge  atoa  Maagizo  Mazito  kuhusu  chanjo …

Mkuu  wa  Wilaya  ya  Maswa  Mkoani  Simiyu  Mhe Aswege  Kaminyoge  ametoa  Maagizo  kwa  Wafugaji  Wote  kupeleka   Mifugo  yao  kwenda  kuchanja  Sehemu  ambazo  zimeandaliwa  na  kijiji  husika  ili  kujikinga  na  Magonjwa  hatari  ya  Mifugo.             Sauti ya DC  Maswa Aswege kaminyoge kuhusu …

19 Aprili 2023, 11:29 um

RUNALI yawanoa wajumbe wa vyama vya msingi

Na Loveness Daniel Chama kikuu cha ushirika RUNALI kinachojumuisha wilaya ya Ruangwa,Nachingwea na Liwale kimetoa mafunzo kwa wajumbe wa vyama vya msingi katika  jumla ya amcos 106 leo 19 April 2023 mafunzo hayo yamefanyika ghala la Runali  wilaya ya ruangwa.…

14 Aprili 2023, 4:05 um

Wakulima Dodoma wasusia zao la muhogo

Zao la muhogo ni muhimu kwa matumizi ya chakula na biashara kwani ni moja kati ya zao linalo stahimili ukame na hustawi katika maeneo yenye Mvua chache. Na Mindi Joseph. Zao la Muhogo Mkoani Dodoma limetajwa kususiwa na Wakulima kufuatia…

6 Aprili 2023, 6:09 um

Wananchi chemba wanufaika na elimu ya utunzaji ardhi

Hali hii inatajwa kusababishwa na shughuli za kibinadamu ikiwemo kukata miti, uwepo wa milima iliyozungukwa na udongo wa kichanga usioweza kushinadana na kasi ya maji, hali inayotajwa na wataalamu kuwa na athari katika kilimo. Na Mindi Joseph. Baadhi ya wakulima…

6 Aprili 2023, 4:16 um

Wananchi walia na baa la njaa Kilosa

Wananchi wa kitongoji cha Karadasi kilichopo kijiji cha Mambegwa kata ya Msowero wilayani Kilosa wameiomba serikali kuwaletea chakula cha msaada ambacho watakinunua kwa gharama nafuu. “Hali ya ukame imekua tishio la baa la njaa kijijini hapa mazao yote yamekauka na…

5 Aprili 2023, 3:39 um

Vijana watakiwa kugeukia kilimo ili kuboresha uchumu

Vijana wanapaswa kugeukia kilimo kwa kuzingatia mikakati ya serikali iliyopo. Na Mindi Joseph. Asasi zisizo za kiserikali zimeendelea kushirikiana na serikali kuhakikisha vijana wanajihusisha na kilimo cha mazao mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi. Taswira ya habari imezungumza na wadau wa asasi…