Kilimo
20 Aprili 2023, 10:31 um
Nje ya ufuta na korosho hakuna halmashauri za Ruangwa, Liwale na Nachingwea
Na Loveness Daniel Mkuu wa wilaya ya Ruangwa Mhe. Hassan Ngoma amewataka wakuu wa wilaya zote zinazounda ushirika wa chama kikuu cha RUNALI kusimamia kwa umakini na kuweka jitihada kubwa katika zao la korosho na ufuta katika halmashauri zao kwani…
20 Aprili 2023, 9:34 mu
Dc Maswa Aswege Kaminyoge atoa Maagizo Mazito kuhusu chanjo …
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Mhe Aswege Kaminyoge ametoa Maagizo kwa Wafugaji Wote kupeleka Mifugo yao kwenda kuchanja Sehemu ambazo zimeandaliwa na kijiji husika ili kujikinga na Magonjwa hatari ya Mifugo. Sauti ya DC Maswa Aswege kaminyoge kuhusu …
19 Aprili 2023, 11:29 um
RUNALI yawanoa wajumbe wa vyama vya msingi
Na Loveness Daniel Chama kikuu cha ushirika RUNALI kinachojumuisha wilaya ya Ruangwa,Nachingwea na Liwale kimetoa mafunzo kwa wajumbe wa vyama vya msingi katika jumla ya amcos 106 leo 19 April 2023 mafunzo hayo yamefanyika ghala la Runali wilaya ya ruangwa.…
19 Aprili 2023, 5:33 um
“Changamkieni Fulsa za Udhamini wa Mikopo kutoka PASS TRUST ili Mjik…
Wananchi Mkoani Simiyu wameaswa kuchangamkia Fulsa za Udhamini wa Mikopo ya hadi Asilimia 80% katika Miradi inayochochea Ukuaji wa Uchumi wa Kijani katika Sekta ya Kilimo, Mifugo na Mazao ya Misitu. Hayo yamesemwa na Mkuu wa Wilaya ya Bariadi Mh,…
15 Aprili 2023, 10:00 um
Wakulima wapatiwa mafunzo ya kilimo bora kwa mazao ya Miwa na Mpunga – Ifa…
Wakulima wa halmashauri ya mji wa Ifakara wilaya ya Kilombero mkoani Morogoro, Aprili 14, 2023 wamepatiwa mafunzo juu ya Ulimaji bora wa Miwa, Mpunga na matumizi bora ya zana za kilimo kutoka Kampuni ya EFTA Tanzania Ltd. Na; Isidory Mtunda…
14 Aprili 2023, 4:05 um
Wakulima Dodoma wasusia zao la muhogo
Zao la muhogo ni muhimu kwa matumizi ya chakula na biashara kwani ni moja kati ya zao linalo stahimili ukame na hustawi katika maeneo yenye Mvua chache. Na Mindi Joseph. Zao la Muhogo Mkoani Dodoma limetajwa kususiwa na Wakulima kufuatia…
12 Aprili 2023, 9:29 mu
Maafsa ugani Kilosa sasa kuwafikia wakulima vijijini kwa haraka.
Serikali imewakabidhi pikipiki maafisa ugani wote wilayani Kilosa ili kuondokana na adha walioyokuwa wanaipata ya usafiri na kushindwa kuwafikia wakulima wengi kwenye mashamba yao na kutatua changamoto. “Tunaishukuru serikali kwa kuiona kwa jicho la pekee wizara yetu ya kilimo kwa…
6 Aprili 2023, 6:09 um
Wananchi chemba wanufaika na elimu ya utunzaji ardhi
Hali hii inatajwa kusababishwa na shughuli za kibinadamu ikiwemo kukata miti, uwepo wa milima iliyozungukwa na udongo wa kichanga usioweza kushinadana na kasi ya maji, hali inayotajwa na wataalamu kuwa na athari katika kilimo. Na Mindi Joseph. Baadhi ya wakulima…
6 Aprili 2023, 4:16 um
Wananchi walia na baa la njaa Kilosa
Wananchi wa kitongoji cha Karadasi kilichopo kijiji cha Mambegwa kata ya Msowero wilayani Kilosa wameiomba serikali kuwaletea chakula cha msaada ambacho watakinunua kwa gharama nafuu. “Hali ya ukame imekua tishio la baa la njaa kijijini hapa mazao yote yamekauka na…
5 Aprili 2023, 3:39 um
Vijana watakiwa kugeukia kilimo ili kuboresha uchumu
Vijana wanapaswa kugeukia kilimo kwa kuzingatia mikakati ya serikali iliyopo. Na Mindi Joseph. Asasi zisizo za kiserikali zimeendelea kushirikiana na serikali kuhakikisha vijana wanajihusisha na kilimo cha mazao mbalimbali ili kujikwamua kiuchumi. Taswira ya habari imezungumza na wadau wa asasi…