Jamii
6 Machi 2025, 09:47
Dereva bajaji ajinyonga Mbeya kisa kushindwa kupeleka fedha kwa boss
Hali hii sasa imekuwa kawaida kwa madereva wa bajaji kuchukua hatua za kujiua kisa kushindwa kurejesha malengo kwa maboss zao,mamlaka ziingilie kati kuhusu mikataba ya ya madereva wengi Na Ezekiel Kamanga Siku chache baada ya dereva wa Bajaj mkazi wa…
5 Machi 2025, 1:00 um
Tanzania yashiriki mkutano wa dunia wa mawasiliano ya simu
Wakati huo huo, Waziri Silaa ameshiriki Mjadala wa Kitaifa (National Dialogue Tanzania: Towards a Fully Digitalized Economy) katika kikao cha pembeni na Kampuni ya Watoa Huduma za Mawasiliano Duniani (GSMA) ambao ni waandaji wakuu wa mkutano wa MWC 2025. Na…
20 Febuari 2025, 12:20 um
NHIF yaja na vifurushi vipya kuongeza wigo wa matibabu kwa wateja
Jamii yatakiwa kuwa na utamaduni wa kukata bima ya afya kabla ya kuugua ili kuepuka changamoto mbalimbali za kupata huduma By Edward Lucas, NHIF yaja na kifurushi cha NGORONGORO AFYA na SERENGETI AFYA ili kuongeza wigo wa matibabu kwa wateja…
5 Febuari 2025, 12:24 um
Bodi ya wakurugenzi UCSAF yasisitizwa kukamilisha ujenzi wa minara 758
Waziri Slaa ameitaka bodi kuzingatia miongozo, taratibu na sheria za uendeshaji wa shughuli za Bodi, ili kuhakikisha utekelezaji wa majukumu yao unakuwa wa ufanisi na wenye tija. Na Mariam Matundu.Waziri wa mawasiliano na teknolojia ya habari Mhe Jerry Sillaa ameitaka…
24 Disemba 2024, 5:43 um
Rc Sendiga asema ulinzi na usalama umeimarishwa katika sikukuu za mwisho wa mwak…
Picha ya mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga Sendiga awataka wazazi na walezi kuwa na uangalizi wa karibu na watoto wao na kuacha kuwapeleka katika maeneo yasiyo rasmi zikiwemo kumbi za starehe katika msimu wa sikuku nakusema mkoa wa…
13 Novemba 2024, 9:11 um
Kijana ajikuta mikononi mwa polisi kwa kutaka kuoa kwa njia ya udaganyifu
Kijana mmoja aliye jitosa kutaka kuoa amejikuta kwenye wakati mgumu baada ya kukosa mahali na kutaka kumraghai binti amutoroshe, nje na makubaliano na wazazi wake. Na;Emmanuel Twimanye Kijana anayedaiwa kufanya ulaghai wa kumuoa binti kwa njia ya udaganyifu katika kitongoji cha kizugwangoma …
8 Novemba 2024, 7:14 um
TCRA yadhibiti utapeli mtandao
Na Anwary Shabani Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kanda ya kati imedhibiti uhalifu wa mitandao kwa kiwango kikubwa kupitia Kampeni ya Ni Rahisi Sana. Meneja wa Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA kanda ya kati Mhandisi Asajile John amesema kuwa kampeni…
10 Oktoba 2024, 3:28 um
Utumaji wa nyaraka, usafirishaji vifurushi posta ni salama zaidi
Na Anwary Shabani Utumaji wa nyaraka na usafirishaji wa vivurushi kupitia Shirika la Posta ni salama zaidi kulinganisha na njia zingine. Wadau na watumiaji wa huduma za Posta wamebainisha hayo wakati wa hafla ya kukabidhi zawadi kwa watumiaji bora wa…
9 Oktoba 2024, 10:29 mu
Waziri Mavunde atembelea kijiji cha Ushirika, atoa maagizo kwa TAKUKURU
Waziri wa Madini Antony Mavunde ameendelea na ziara za ndani ya mkoa wa Geita akitembelea maeneo mbalimbali sambamba na kuzungumza na wachimbaji wadogowadogo. Na: Edga Rwenduru – Geita Waziri wa madini Anthony Mavunde ameiagiza Taasisi ya kuzuia na kupambana na…
28 Agosti 2024, 15:38
Mwanaume ajinyonga kwa kutumia shuka Mbeya
Maisha yana changamoto nyingi ambapo husababisha baadhi ya watu kuwa na msongo wa mawazo, hali hiyo husababisha wengine kujiondoa duniani kwa sababu mbalimbali ikiwa ni pamoja na kujinyonga na wengine kunywa sumu. Na Flora Godwin Mwanaume mmoja aliyefahamika kwa jina…