Radio Tadio

Jamii

20 Febuari 2023, 9:29 mu

Jamii yatakiwa kuendelea kuwasaidia watu wenye mahitaji maalumu

kituo cha tumaini kilichopo Ihumwa kina jumla ya watoto 150 wanaolelewa kituoni hapo na wajane 100 ambao wamesaidiwa katika kujiendeleza na miradi mbalimbali ya maendeleo. Na Fred Cheti                     Jamii imeshauriwa kuendelea kuwasaidia watu wenye uhitaji ndani ya jamii hata kwa…

17 Febuari 2023, 4:53 um

Wazazi Sababu Mimba za Utotoni Iringa

Wazazi na walezi mkoa wa Iringa watajwa kuwa chanzo cha mimba za utotoni kwakutozungumza na watoto wao kwa uwazi pindi yanapotokea mabadiliko ya kimwili Na Fabiola Bosco. Wazazi na walezi mkoani Iringa wametakiwa kuzungumza na watoto kwa uwazi pindi yanapotokea…

15 Febuari 2023, 2:11 um

PrecisionAir yashindwa kutua Dodoma

Leo Wakati tunasafiri kutokea Dar kwenda Dodoma kutumia ndege ya Precission PW 600, kuna jambo limetokea. Na Joseph Rwegasira Samson. tupo hewani nilikuwa nimekaa dirishani, wakati tunakaribia kushuka Dodoma nikaona engine imezima, tupo hewani OMG…Rubani akatangaza kurudi Dar kwa dharula…

10 Febuari 2023, 1:45 um

Huduma za kijamii zazidiwa na ongezeko la watu

Waziri wa Nishati na Madini Januari Makamba mwaka jana dec 25 alisema kuwa  Wizara inaanza program ya kupeleka umeme kwenye vitongoji. Kwani tayari serikali imefikia asilimia 75 katika kufikisha umeme vijijini Na Victor Chigwada.                                                          Imeelezwa kuwa ongezeko la watu…

7 Febuari 2023, 13:31 um

Mamcu & Tanecu zarejesha kwa jamii

Chama Kikuu cha Ushirika wa Mazao cha Masasi, Mtwara Cooperative Union (MAMCU) na Tandahimba, Newala Cooperative Union (TANECU) vimetoa Gawio la Shilingi Milioni 253 kuchangia utatuzi wa changamoto zilizopo katika sekta za Elimu, Maji na Afya kwa mkoa wa Mtwara.…