Radio Tadio

Habari za Jumla

27 Machi 2024, 19:30

Watakaoharibu uchaguzi serikali za mitaa kukiona

Kutokana na uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika mwaka huu,serikali yatoa onyo. Na Edwine Lamtey Serikali  imetoa onyo kwa vikundi vya watu,Taasisi ama vyama vya siasa vinavyojipanga kwa ajili ya kuharibu uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika baadaye…

27 Machi 2024, 19:04

Bodi ya maji Losaa Kia yafanya uchaguzi,waweka mikakati

Bodi ya maji Losaa Kia yapata viongozi wapya,waomba ushirikiano. Na Edwine Lamtey Wananchi wanaoishi karibu na vyanzo vya maji wametakiwa kuvilinda na kuvitunza vyanzo hivyo ili kusaidia upatikanaji wa huduma hiyo na itakayokuwa toshelevu katika maeneo yote ikiwemo yale ya…

27 Machi 2024, 16:00

wakimbizi wapewa miezi 9 kurudi Burundi kwa hiari

Zaidi ya Wakimbizi Laki Moja Kutoka Nchini Burundi wanaohifadhiwa Katika Kambi za Wakimbizi NDUTA na NYARUGUSU Mkoani Kigoma, Wamepewa miezi tisa kuanzia sasa wote wawe wamerudi nchini Burundi kwa hiyari, Kabla ya kufutia hadhi ya ukimbizi ili kuungana na ndugu…

27 Machi 2024, 15:39

Mkandarasi barabara ya Kasulu Kibondo kuchukuliwa hatua

Wananchi na watumiaji wa barabara ya Kasulu Kibondo mkoani Kigoma, wameingiwa na hofu baada ya kukatika miundombinu ya barabara hiyo katika kijiji na kata ya Busunzu wilayani Kibondo, ikiwa ni wiki kadhaa zimepita eneo hilo kuanza kupitika, hali ambayo imeacha…

27 Machi 2024, 14:49

Wananchi watakiwa kutokuwa sehemu ya uvunjifu wa amani Kigoma

Wakazi wa kata ya Mahembe halmashauri ya wilaya ya Kigoma wamepatiwa elimu ya namna ya kulinda amani iliyopo huku wakitakiwa kushirikiana na vyombo vya usalama katika kufichua wahalifu ambao wamekuwa chanzo cha uvunjifu wa amani. Na, Josephine Kiravu.Awali akizungumza kwenye…

27 Machi 2024, 11:39 mu

Kaya 140 zanufaika na fedha za Tasaf Ngorongoro

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania ilianza kutekeleza mradi wa mfuko wa maendeleo ya jamii – TASAF kuanzia mwaka 2000, ikiwa ni moja ya mbinu za kutokomeza umasikini ambazo pia zilisaidia ajenda ya ugatuaji wa madaraka. Katika kipindi cha…

27 Machi 2024, 11:22

Imarisheni ulinzi kwenye maeneo yenu

Jukumu la ulinzi ni la kila mtu kwenye eneo lake na ulinzi wa jamii unatajwa kuwa chanzo cha kuimarisha amani kwani matukio mengi yamekuwa yakifichuliwa na wananchi. Na Imani Anyigulile Vijana wa mtaa wa kabwe na bank kata ya Ruanda…