Radio Tadio

Habari za Jumla

20 Machi 2024, 11:44

Kyela:Wenye 3d Kyela sasa kukiona cha moto

Mkuu wa usalama barabarani wilayani kyela Assistant Inspecta Seif amewataka madereva ambao bado hawajatoa pleti namba za 3d kutoingiza magari yao barabarani mpaka hapo watakapotekeleza agizo hilo. Na James Mwakyembe Jeshi la polisi wilayani kyela kitengo cha usalama barabarani limesema…

20 Machi 2024, 09:13

“mtu mwenye akili timamu hawezi kufanya ukatili”

Serikali ya Tanzani imeshauriwa kuendelea kutoa elimu ya ukatili wa kijinsia katika jamii ili kupunguza na kutokomeza vitendo vya ukatili hali itakayosaidia kujua usawa wa mwanamke na mwanaume ndani ya jamii. Hayo yameelezwa na Katibu Mtendaji wa Kanisa la Anglikana…

19 Machi 2024, 18:42

10 wakamatwa wakitorosha kilo 9.8 za dhahabu mkoani Mbeya

Shughuli za kila mwanadamu zinatengemea kufanywa kupitia taratibu na sheria za nchi,na endapo mtu akikiuka hayo ni lazima achukuliwe hatua kwa mujibu wa taratibu na sheria za nchi. Na Hobokela Lwinga Watu 10 wanashikiliwa na jeshi la polisi Mkoani Mbeya…

18 Machi 2024, 19:51

Waziri mkuu,tumieni kiswahili kwenye shughuli zenu

Waziri Mkuu kassim Majaliwa amewataka watanzania kutumia fursa ya matumizi sahihi ya lugha ya kiswahili ili kujipatia ajira kutokana na mataifa mengine kuipokea lugha hiyo kwa kasi kubwa. Na Hobokela Lwinga Waziri mkuu ameagiza watanzania na ofisi za Serikali kuhakikisha…

Machi 18, 2024, 4:33 um

Viongozi wa dini hamasisheni waumini wajenge mwabweni ya shule

Denis Sinkonde, Songwe Ili kukabiliana na mimba kwa wanafunzi wilayani Ileje mkoani Songwe viongozi wa dini wametakiwa kuwahamasisha waumini wao kujitolea kujenga mabweni kwenye shule za sekondari ili kuwaondolea adha wanafunzi wa kike kufuata masomo umbali mrefu. Hayo yamesemwa jana…

18 Machi 2024, 13:12

Maandamano ya CHADEMA yanukia Kyela

Wanachama na makada wa CHADEMA wilaya ya Kyela wanajipanga kufanya maandamano makubwa ya amani kushinikiza serikali kuunda tume huru ya uchaguzi. Na James Mwakyembe Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA wilayani Kyela kupitia katibu wake mwenezi Donald Mwaisango kimesema kinajipanga…

18 Machi 2024, 12:24

Mradi wa Dream kuwanufaisha wasichana Mbeya, Songwe

Katika dunia ya sasa kundi la wasichana wanapaswa kulindwa na kupewa mazingira mazuri ambayo yatawafanya kuondokana na changamoto zinazowakabili. Na mwandishi wetu Shirika la kimataifa la HJFMRI limesema linatarajia kutoa Sh 500 milioni kuwezesha mabinti balehe na wasichana vijana kupitia…