Radio Tadio

Habari za Jumla

13 September 2025, 2:22 pm

Katibu wa vijana CHADEMA Nyarugusu ajiunga CCM

Vyama mbalimbali vya siasa nchini vimeendelea na kampeni ya kunadi sera za ila i ya vyama vyao kuelekea uchaguzi mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 29, 2025. Na: Mwandishi wetu Aliyekuwa Katibu wa Baraza la Vijana la CHADEMA (BAVICHA) kata ya Nyarugusu,…

11 September 2025, 12:22 pm

Wagonjwa Katavi wanufaika na simba day

Mashabiki wa simba wakitoa zawadi kwa uongozi wa kituo cha afya Itenka. Picha na Anna Mhina “Tunawashukuru sana wanasimba kwa kutukumbuka” Na Anna Mhina Jamii imeshauriwa kujitokeza katika kushiriki shughuli za kijamii ikiwemo uchangiaji wa damu katika vituo vya afya…

11 September 2025, 9:43 am

RC Sendiga asikiliza na kutatua kero za wananchi

Mkuu wa Mkoa wa Manyara Queen Cuthbert Sendiga  amesikiliza na kutatua kero za wananchi kutoka wilaya zote za Mkoa wa Manyara katika kikao kilichofanyika katika ukumbi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa. Na Mzidalfa Zaid Katika kikao hicho Sendiga amesikiliza…

10 September 2025, 09:28

RC Kigoma ahimiza viongozi wa dini kuhubiri amani

Serikali ya Mkoa wa Kigoma kwa kushirikiana na Serikali Kuu imesema itaendelea kusimamia Sera na mikakati ya kudumisha amani, usalama na Maendeleo kwa wananchi wa Mkoa wa Kigoma. Na Hagai Ruyagila Mkuu wa Mkoa wa Kigoma, IGP Mstaafu Balozi Simon…

9 September 2025, 8:54 pm

Umiliki wa silaha lazima uzingatie masharti

Na Zabron G Balimponya Wakili wa Kujitegemea kutoka Chama cha Mawakili Tanganyika, Akram Magoti amesema kuwa matumizi ya silaha yasiyozingatia sheria kanuni na utaratibu kutoka kwa msajili wa silaha ni kosa kisheria hali ambayo inaweza kusababisha mmiliki kufutiwa leseni. Wakili…

4 September 2025, 15:09

NGOs zaaswa kuepuka utakatishaji fedha na ugaidi Kigoma

Tanzania imekuwa mojawapo ya nchi zilizo Mashariki na Kusini mwa Afrika zilizopiga hatua kubwa katika udhibiti wa utakasishaji fedha haramu na uzuiaji wa silaha za maangamizi na ufadhili wa ugaidi nchini. Na Tryphone Odace Mashirika yasiyokuwa ya kiserikali Mkoani Kigoma…

3 September 2025, 08:49

RC Kigoma aingilia kati mgogoro wa ardhi mwekezaji na wananchi

Serikali Mkoani Kigoma imeanza kuchukua hatua kuhusu mgogoro wa eneo la hekta 10,000 ambalo wananchi wa kijiji cha Ruchugi wilaya ya Uvinza mkoani Kigoma wanadaiwa kuvamia eneo la mwekezaji kampuni ya FAZENDA ambayo imekusudia kuwekeza katika mradi wa kilimo huku…

29 August 2025, 19:44

Wanafunzi vyuoni wahimizwa kupima Afya zao

kutokana nauwepo wa magonjwa mbalimbli yakuambukiza na yasiyo yakuambukiza vijana wamehimizwa kwenda kufanya vipimo vya Afya zao Na Ezra Mwilwa Wanafunzi waliopo vyuoni wahimizwa kuto kujihusisha na vitendo viovu vinavyo weza kuwasababishia kupata maambukizi ya virusi vya UKIMWI Wito huo…