Habari za Jumla
30 Machi 2024, 19:19
Zimamoto Mbeya yaopoa mwili wa asiyefahamika mto Magege
Katika hali isiyo ya kawaida mwili wa mtu mmoja umekutwa katika mto Magege ukidhaniwa kutupwa na watu wasiojulikana baada ya kumfanyia kitendo kilichopelekea kupoteza maisha. Na Ezekiel Kamanga Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kuopoa mwili wa…
30 Machi 2024, 11:14 MU
Matendo mema yawe endelevu na si wakati wa Kwaresma, mwezi Ramadhan tu
Waumini wakat wa neno
29 Machi 2024, 17:46 um
TFS yaombwa kutoa elimu ya huduma za misitu
Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wameombwa kutembelea vijiji na kutoa Elimu kwa Wananchi ili wapate uelewa juu ya athari zinazo weza kujitokeza kutokana na matumizi mabaya ya Mazao ya Misitu Na Musa Mtepa Akizungumza na Jamii Fm Radio…
29 Machi 2024, 5:06 um
Watumishi watakiwa kufuata sheria, kanuni na taratibu za serikali
Ili kuleta kasi ya maendeleo kwa wananchi wote watumishi inatakiwa waendane sambamba na miongozo ya kiserikali ya kiutendaji ambayo ndio itakua chachu pekee ya kuleta maendele. Na Asha Rashid Madohola Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Kilosa Ndg Michael…
29 Machi 2024, 12:43
Wakristo wahimizwa kumtegemea Mungu kwenye maisha yao
Ijumaa Kuu kwa mkristo Ina nafasi kubwa kwani ni siku ambayo inatajwa kwenye Maandiko Matakatifu kuwa ndiyo ulimwengu ulipata wokovu na kibiblia kama mateso ya Yesu Kristo, kabla ya ufufuo wake wa siku Tatu. Na Rukia Chasanika Wakristo nchini wameshauriwa…
29 Machi 2024, 10:53
Madiwani watakiwa kusikiliza kero za wananchi Kasulu
Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma Mberwa Chidebwe amewaagiza madiwani wote wa halmashauri ya wilaya ya Kasulu kusikiliza kero za wananchi ili ziweze kutatuliwa na serikali kuliko kusubiri viongozi wa kitaifa. Ameyasema hayo wakati akizungumza…
28 Machi 2024, 20:15
TMB yapiga marufuku wauzaji nyama kupuliza dawa yenye sumu buchani
Na mwandishi wetu Bodi ya Nyama Tanzania (TMB) Nyanda za Juu Kusini imepiga marufuku wauzaji wa bucha za nyama kuachana na tabia ya kupuliza dawa zenye sumu ili kulinda afya za walaji. Ofisa Mfawidhi wa Bodi ya Nyama Kanda ya…
28 Machi 2024, 19:39
Marufuku yapigwa uuzaji holela wa viuatilifu
Matumizi sahihi ya viuatilifu yanatajwa Zaidi kuwa sehemu bora ya uzalishaji wa mazao. Na Hobokela Lwinga Wasambaji na wakulima Nchini wametakiwa kutumia viutilifu vilivyosajiliwa sambamba na wenye maduka ya viutilifu kujisajili ili kuondoa wimbi la matumizi viutilifu visivyofaa. Wito huo…
28 Machi 2024, 6:54 um
Jamii kuepuka majanga ya moto Rungwe
ili kuhakikisha majanga ya moto yanaepukika wananchi wanatakiwa kutoa taarifa juu ya majanga ya moto. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Jeshi la polisi kwa kushirikiana na jeshi la zimamoto na uokoaji wilayani Rungwe mkoani Mbeya limewataka wananchi wa mtaa wa Igamba…
28 Machi 2024, 5:13 um
Uharibifu wa mazingira unavyogharimu maisha ya watu
‘‘Mnapojadiliana mikakati mtakayokuja nayo ni lazima, lazima nasema lazima ijibu hali ya umasikini sio kumwambia mtu asikate mti bila kumwambia afanye nini’’ Amesema Katibu Tawala Alhaj Mussa Ally Mussa Na Katalina Liombechi Imeelezwa kuwa Matokeo ya Uharibifu wa Mazingira katika…