Radio Tadio

Habari za Jumla

30 Machi 2024, 19:19

Zimamoto Mbeya yaopoa mwili wa asiyefahamika mto Magege

Katika hali isiyo ya kawaida mwili wa mtu mmoja umekutwa katika mto Magege ukidhaniwa kutupwa na watu wasiojulikana baada ya kumfanyia kitendo kilichopelekea kupoteza maisha. Na Ezekiel Kamanga Jeshi la Zimamoto na Uokoaji Mkoa wa Mbeya limefanikiwa kuopoa mwili wa…

29 Machi 2024, 17:46 um

TFS yaombwa kutoa elimu ya huduma za misitu

Wakala wa Huduma za Misitu Tanzania (TFS) wameombwa  kutembelea vijiji na kutoa Elimu kwa Wananchi  ili wapate uelewa juu ya athari zinazo weza kujitokeza kutokana na  matumizi mabaya  ya Mazao ya Misitu Na  Musa  Mtepa Akizungumza na Jamii Fm Radio…

29 Machi 2024, 12:43

Wakristo wahimizwa kumtegemea Mungu kwenye maisha yao

Ijumaa Kuu kwa mkristo Ina nafasi kubwa kwani ni siku ambayo inatajwa kwenye Maandiko Matakatifu kuwa ndiyo ulimwengu ulipata wokovu na kibiblia kama mateso ya Yesu Kristo, kabla ya ufufuo wake wa siku Tatu. Na Rukia Chasanika Wakristo nchini wameshauriwa…

29 Machi 2024, 10:53

Madiwani watakiwa kusikiliza kero za wananchi Kasulu

Mwenyekiti wa chama cha Mapinduzi CCM wilaya ya Kasulu Mkoani Kigoma Mberwa Chidebwe amewaagiza madiwani wote wa halmashauri ya wilaya ya Kasulu kusikiliza kero za wananchi ili ziweze kutatuliwa na serikali kuliko kusubiri viongozi wa kitaifa. Ameyasema hayo wakati akizungumza…

28 Machi 2024, 19:39

Marufuku yapigwa uuzaji holela wa viuatilifu

Matumizi sahihi ya viuatilifu yanatajwa Zaidi kuwa sehemu bora ya uzalishaji wa mazao. Na Hobokela Lwinga Wasambaji na wakulima Nchini wametakiwa kutumia viutilifu vilivyosajiliwa sambamba na wenye maduka ya viutilifu kujisajili ili kuondoa wimbi la matumizi viutilifu visivyofaa. Wito huo…

28 Machi 2024, 6:54 um

Jamii kuepuka majanga ya moto Rungwe

ili kuhakikisha majanga ya moto yanaepukika wananchi wanatakiwa kutoa taarifa juu ya majanga ya moto. RUNGWE-MBEYA Na Lennox Mwamakula Jeshi la polisi kwa kushirikiana na jeshi la zimamoto na uokoaji wilayani Rungwe mkoani Mbeya limewataka wananchi wa mtaa wa Igamba…

28 Machi 2024, 5:13 um

Uharibifu wa mazingira unavyogharimu maisha ya watu

‘‘Mnapojadiliana mikakati mtakayokuja nayo ni lazima, lazima nasema lazima ijibu hali ya umasikini sio kumwambia mtu asikate mti bila kumwambia afanye nini’’ Amesema Katibu Tawala Alhaj Mussa Ally Mussa Na Katalina Liombechi Imeelezwa kuwa Matokeo ya Uharibifu wa Mazingira katika…