Habari za Jumla
23 Aprili 2024, 11:32
Wasichana elfu 30 kupewa chanjo saratani ya mlango wa kizazi Kibondo
Viongozi wa ngazi za vijiji na kata wameshauriwa kusimamia na kuhamasisha wazazi na walezi kuwapa nafasi watoto wa kike kupewa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi. Na James Jovin – Kibondo Idara ya afya katika halmashauri ya wilaya ya…
23 Aprili 2024, 8:58 mu
Homa ya mapafu yatishia usalama wa mifugo Maswa
Zoezi la uchanjaji wa mifugo wilayani Maswa mkoani Simiyu kuwasaidia wafugaji kufanya ufugaji wenye tija na kuongeza thamani ya mifugo yao hivyo kuondokana na umasikini. Na,Paul Yohana Zaidi ya ng’ombe laki tatu wilayani Maswa mkoani Simiyu kupatiwa chanjo ya homa…
22 Aprili 2024, 15:42
Zaidi ya wasichana elfu 23 kupewa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi
Zoezi la utoaji wa chanjo ya saratani ya mlango wa kizazi unatajwa kuwa mwarobaini wa kuwakinga watoto wa kike dhidi ya saratani ya kizazi kutokana na kwamba ugonjwa huambukiza kwa njia ya kujamiana. Na Emmanuel Kamangu – Kasulu Zaidi ya…
22 Aprili 2024, 15:24
Zaidi ya bilioni 46 kukarabati uwanja wa ndege kigoma
Katika kuhakikisha sekta ya usafirishaji nchini inaimarika serikali imeendelea kufanya maboresho na kukarabati viwanja vya ndege ikiwemo kiwanja cha ndege kigoma ili kurahisha urafirishaji. Na Lucas Hoha – Kigoma Zaidi ya shilingi Bilioni 46 zimetolewa na Serikali kwa ajili ya…
22 Aprili 2024, 14:12
Dc kigoma msiogope chanjo kama mlivyokimbia chanjo ya corona
Takwimu za Shirika la umoja wa mataifa la Tafiti za Saratani za mwaka 2020, zinaonesha kuwa tatizo la saratani ya matiti na mlango wa kizazi nchini Tanzania limekuwa likiongezeka mara kwa mara, ambapo katika watu 100,000 watu 10 hugundulika kuwa na…
22 Aprili 2024, 12:56
Suluhisho kupata viongozi bora Kigoma lapatikana
Wazazi na Walezi wilayani Kasulu mkoani Kigoma wameaswa kuwalea watoto wao katika maadili mema ambayo yatawasaidia kuwa viongozi bora katika jamii inayowazunguka. Hayo yameelezwa na Mkurugenzi wa kanda ya kati wa kanisa la Anglikana Nyumbigwa Dayosisi ya Western Tanganyika Mchungaji…
Aprili 22, 2024, 12:21 um
Wafugaji wa nyuki washauriwa kutumia wataalam
Kutokana na wafugaji wengi wa nyuki kufuga kienyeji na kutopata faida ofisi ya misitu Halmashauri ya wilaya ya Makete wameshauri wafugaji kutumia ushauri wa wataalamu ili wafuge kwa tija. Na Bensoni Kyando. Wananchi Wilayani Makete Mkoani Njombe wanaojishuhulisha na shughuli…
22 Aprili 2024, 11:36 mu
Maswa usalama wa mtoto siyo jukumu la walimu pekee
Usalama wa mtoto siyo jukumu la walimu wala mamlaka zinazohusika na maswala hayo wazazi ni nguzo muhimu sana katika kuyatengeneza maisha ya mtoto na kumwandalia misingi iliyo bora ili kuweza kukomesha vitendo vya ukatili dhidi yao. Na, Daniel Manyanga Katika…
22 Aprili 2024, 09:30
Saratani ya mlango wa kizazi inatibiwa acheni imani potofu
Ugonjwa wa Saratani ya mlango wa kizazi kwa watoto wa kike imeendelea kuwa tatizo jambo ambalo limeiamsha serikali kuendelea na kampeni ya chanjo kwa watoto wa kike ili kuepukana na ugonjwa huo Na Emmanuel Kamangu – Buhigwe Halmashauri ya Wilaya…
22 Aprili 2024, 09:25
Wanyakyusa kufanya tamasha la utamaduni Makumbusho Dar es Salaam
Kutokana na Makumbusho ya Taifa kufanya matamasha mbalimbali ya kitamaduni kote nchini mwaka huu, kabila la wanyakyusa linalopatikana katika halmashauri za Rungwe na Kyela mkoani Mbeya linatarajia kufanya tamasha lao katika jiji la Dar es salaam. Na Ezra Mwilwa Kuelekea…