Habari za Jumla
30 Aprili 2024, 07:22
Wachungaji walia na ukata makanisani
Ili kuakabiliana na umasikini ambao umekuwa ukisumbua watumishi wa mungu, wameshauriwa kubuni na kuanzisha miradi ya maendeleo ili kuwasaidia kuinua uchumi wao. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wachungaji wa kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika mkoani Kigoma wameshauriwa kufanya…
Aprili 30, 2024, 6:28 mu
Rc chongolo apongeza kasi ya mradi wa maji Ileje
Na Denis Sinkonde,Songwe Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo ameipongeza Wakala Wa Maji na Usafi wa Mazingira (Ruwasa) wilayani Ileje mkoani humo kwa kasi ya utekelezaji wa mradi wa maji wa shilingi bilioni 4.9 utakaotatua changamoto ya maji Itumba…
29 Aprili 2024, 5:41 um
Mvua yageuka kilio kwa wakulima wa pamba Bariadi
Licha ya mvua kuwa na faida lakini kwa wakulima wa pamba Bariadi imegeuka kilio hadi kufikiria kulima mazao mengine ili kujikomboa kiuchumi kutokana na mavuno ya pamba kuwa chini msimu huu. Na, Daniel Manyanga Wakulima wa zao la pamba halmashauri…
29 Aprili 2024, 14:52
Wafanyabiashara Kigoma waikaba shati serikali, wagoma kuhama
Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali mkoani Kigoma zimesababisha maji kujaa kwenye mwalo na kuharibu miundombinu ya bandari ndogo ya Kibirizi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji. Na Kadilsaus Ezekiel – Kigoma Wafanyabiashara wa mazao ya uvuvi na mbogamboga waliovamiwa na maji…
Aprili 29, 2024, 7:25 mu
RC Songwe atangaza kiama wanaowapa mimba wanafunzi
Na Denis Sinkonde, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe Daniel Chongolo amekemea vikali tabia ya uwepo wa mimba za utotoni hususani wanafunzi katika wilaya ya Ileje ambapo amesema katika utawala wake hakuna mtu yeyote atakayekwepa mkono wa dola kwa kumpatia…
27 Aprili 2024, 16:39
Highlands FM wanolewa matumizi ya teknolojia, maadili
Tadio imekuwa ikitoa mafunzo mara kwa mara kwa wafanyakazi wa redio wanachama wake na kwa sasa inatoa mafunzo ya utangazaji wa mtandaoni hususani matumizi ya mitandao ya kijamii na maadili ya uandishi wa habari. Na John Ilomo Mhariri wa Radio…
27 Aprili 2024, 10:32 mu
Wadau: Miaka 60 ya muungano, Maswa haikuwa hivi
Kongamano la Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuwa Tanzania limefanyika Katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa na Kuhudhuriwa na Wadau Mbalimbali Nicholaus Machunda Wadau wa Maendeleo Wilayani Maswa Mkoani Simiyu Wamesema kuwa Miaka 60 …
27 Aprili 2024, 00:11
Wananchi watakiwa kutumia michezo kuimarisha afya zao
Afya ni mtaji jambo lolote ili uweze kulifanya linategemea afya njema hata hivyo wataalamu wa afya wanasisitiza kutunza afya kwa njia ya mazoezi kwani mazoezi yanatajwa kuwa tiba ya kuuokoa mwili wako usipatwe na magonjwa. Na Rukia Chasanika Ikiwa leo…
26 Aprili 2024, 20:50 um
DC Munkunda awataka wananchi kudumisha muungano
Faida za muungano wa Tanganyika na Zanziba ni nyingi kwa pande zote mbili zikiwemo za kibiashara,Uchumi na kijamii. Na Musa Mtepa Mkuu wa wilaya ya Mtwara Mwanahamisi Munkunda amewaomba wananchi kuwa wamoja katika kuuenzi na kudumisha muungano wa Tanganyika na…
Aprili 26, 2024, 4:38 um
Wananchi Ileje waaswa kuudumisha muungano
Na Denis Sinkonde,Songwe Mkuu wa Wilaya ya Ileje mkoani Songwe Farida Mgomi, amewataka wananchi wa wilaya hiyo kuuenzi, kuulinda na kuutetea Muungano kwa kushirikiana kufanya kazi kwa bidii juhudi na maarifa ili kuendelea kutunza na kuimarisha tunu za Muungano. Mgomi,…