Habari za Jumla
30 Aprili 2024, 7:04 um
Miti million moja na nusu kurejesha uoto wa asili Maswa
Maswa kurejesha uoto wa asili kwa zoezi endelevu la upandaji miti ili kuhakikisha wilaya inatunza vyanzo vya maji nakuifanya Maswa kuwa ya kijani. Na,Poul Yohana Halmashauri ya wilayani Maswa mkoani Simiyu imepanda miti 252 katika jengo la wanafunzi wenye mahitaji…
30 Aprili 2024, 6:59 um
Wananchi wafurahia ujenzi wa barabara ya katumba-mwakaleli
serikali imeendelea kuboresha miundombiu ya barabara kwa dhumuni ya kuunganisha halmashauri zote nchini ili kuweza kufikika kwa urahisi wananchi wakiwa kwenye furaha baada ya mkandarasi kukabidhiwa barabara ili anze kujenga [picha na lennox mwamakula] RUNGWE-MBEYA Na lennox Mwamakula Serikali imetenga…
30 Aprili 2024, 14:10
Kyela:Madaktari na wauguzi wazembe sasa kukiona chamoto
Katika kuhakikisha kwamba huduma bora za afya zinapatikana katika zahanati,vituo vya afya na hospitali ya wilaya ya kyela serikali imekusudia kuwaondoa kazini watumishi wote walio na lugha mbaya ya matusi kwa wagonjwa hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Ziara ya…
30 Aprili 2024, 07:22
Wachungaji walia na ukata makanisani
Ili kuakabiliana na umasikini ambao umekuwa ukisumbua watumishi wa mungu, wameshauriwa kubuni na kuanzisha miradi ya maendeleo ili kuwasaidia kuinua uchumi wao. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wachungaji wa kanisa la Anglikana Dayosisi ya Western Tanganyika mkoani Kigoma wameshauriwa kufanya…
Aprili 30, 2024, 6:28 mu
Rc chongolo apongeza kasi ya mradi wa maji Ileje
Na Denis Sinkonde,Songwe Mkuu wa mkoa wa Songwe Daniel Chongolo ameipongeza Wakala Wa Maji na Usafi wa Mazingira (Ruwasa) wilayani Ileje mkoani humo kwa kasi ya utekelezaji wa mradi wa maji wa shilingi bilioni 4.9 utakaotatua changamoto ya maji Itumba…
29 Aprili 2024, 5:41 um
Mvua yageuka kilio kwa wakulima wa pamba Bariadi
Licha ya mvua kuwa na faida lakini kwa wakulima wa pamba Bariadi imegeuka kilio hadi kufikiria kulima mazao mengine ili kujikomboa kiuchumi kutokana na mavuno ya pamba kuwa chini msimu huu. Na, Daniel Manyanga Wakulima wa zao la pamba halmashauri…
29 Aprili 2024, 14:52
Wafanyabiashara Kigoma waikaba shati serikali, wagoma kuhama
Mvua zinazoendelea kunyesha maeneo mbalimbali mkoani Kigoma zimesababisha maji kujaa kwenye mwalo na kuharibu miundombinu ya bandari ndogo ya Kibirizi katika Manispaa ya Kigoma Ujiji. Na Kadilsaus Ezekiel – Kigoma Wafanyabiashara wa mazao ya uvuvi na mbogamboga waliovamiwa na maji…
Aprili 29, 2024, 7:25 mu
RC Songwe atangaza kiama wanaowapa mimba wanafunzi
Na Denis Sinkonde, Songwe Mkuu wa Mkoa wa Songwe Daniel Chongolo amekemea vikali tabia ya uwepo wa mimba za utotoni hususani wanafunzi katika wilaya ya Ileje ambapo amesema katika utawala wake hakuna mtu yeyote atakayekwepa mkono wa dola kwa kumpatia…
27 Aprili 2024, 16:39
Highlands FM wanolewa matumizi ya teknolojia, maadili
Tadio imekuwa ikitoa mafunzo mara kwa mara kwa wafanyakazi wa redio wanachama wake na kwa sasa inatoa mafunzo ya utangazaji wa mtandaoni hususani matumizi ya mitandao ya kijamii na maadili ya uandishi wa habari. Na John Ilomo Mhariri wa Radio…
27 Aprili 2024, 10:32 mu
Wadau: Miaka 60 ya muungano, Maswa haikuwa hivi
Kongamano la Miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar na kuwa Tanzania limefanyika Katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya ya Maswa na Kuhudhuriwa na Wadau Mbalimbali Nicholaus Machunda Wadau wa Maendeleo Wilayani Maswa Mkoani Simiyu Wamesema kuwa Miaka 60 …