Habari za Jumla
8 Mei 2024, 13:13
Wajasiriamali tumieni vitambulisho kupata mikopo
Serikali imewataka wajariamali kutumia vitambulisho vya ujasiriamali kama sehemu ya kuwawezesha kupata mikopo itakayowasaidia kujiendeleza kibiashara. Na Hagai Ruyagila – Kasulu Wajasiriamali wadogo wadogo wa halmashauri ya Mji Kasulu Mkoani Kigoma wametakiwa kuwa na kitambulisho cha ujasiriamali ambacho kitamsaidia kupata…
08/05/2024, 09:39
Chama cha Mapinduzi chajivunia utekelezaji wa miradi Tanga
Miradi ya ujenzi wa barabara na majengo ya zahanati vituo vya afya na hospitali na maji yanalenga kutoa huduma bora kwa wananchi. Na Cosmas Clement Chama cha Mapinduzi mkoa wa Tanga kimesema serikali ya chama hicho inaendelea kutekeleza miradi mbalimbalii…
07/05/2024, 23:50
Majiko banifu, kulinda misitu wilaya ya Pangani
Shirika la Uzima Kwa Sanaa (UZIKWASA) limeendesha mafunzo ya utengezaji wa majiko banifu kwa wajumbe 6 wa kamati za mazingira zisizopungua saba za wilaya ya Pangani ikiwa ni moja ya afua zake katika mradi wa mazingira na mabadiliko ya tabia…
7 Mei 2024, 8:13 um
Baraza la Biashara Kaskazini Unguja lahimizwa kushirikiana na wafanyabiashara
Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Rashid Hadidi Rashid amelishauri Baraza la biashara la mkoa huo kushirikiana na wafanyabiashara ili kukuza pato la taifa. Na Abdul-Sakaza na Juma Haji, Kaskazini Unguja Rashid ameyasema hayo leo ofisini kwake Mkokotoni wakati alipokutana na baraza…
7 Mei 2024, 7:54 um
DC Maswa akabidhi pikipiki kwa CBWSOs
Mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh. Aswege Kaminyoge amewataka viongozi wa CBWSOs zilizogawiwa pikipiki kuzitumia katika malengo yaliyokusudiwa ili kuleta mabadiliko katika utoaji wa huduma za maji na siyo shughuli binafsi zisizo na tija. Na Nicholaus Machunda Mkuu wa Wilaya …
7 Mei 2024, 7:33 um
Zaidi ya kaya 413 hatarini kukumbwa na magonjwa ya mlipuko Busega
Faida ya kufuatilia taarifa za mamlaka ya hali ya hewa kumetajwa kusaidia kujikinga na kuepuka madhara yatokanayo na mafuriko yanayosababishwa na mvua kubwa zinazoendelea kunyesha hapa nchini. Na Daniel Manyanga Kaya zaidi 413 kutoka vitongoji vitatu vya Itongo, Lamadi na…
07/05/2024, 19:20
Kyela: CHADEMA stop msaada wa kukarabati barabara Masebe
CHADEMA wilaya ya Kyela kimezuiwa kuendelea kutoa msaada wa kukarabati barabara ya kijiji cha Masebe iliyoharibiwa na mafuriko hapa wilayani Kyela. Na James Mwakyembe Siku chache baada ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo CHADEMA kuanza kutekeleza ahadi ya kumwaga tripu…
07/05/2024, 18:24
Najivunia Kyela yetu Festival 2024 sasa rasmi Kyela
Siku chache baada ya kuanza kutekeleza majukumu yake ya kusaidia jamii ya Kyela kikundi cha Najivunia Kyela Yetu kimezinduliwa rasmi ndani ya Kyela huku kikiweka mikakati yake kwa mwaka 2024. Na Nsangatii Mwakipesile Kikundi cha Najivunia Kyela Yetu Festival chenye…
7 Mei 2024, 17:00
Meja Kodi: Lazima tulinde mipaka yetu iwe salama
“Mkoa wa Kigoma una wageni wengi wanaoingia nchini hivyo hatuna budi kuwa makini na kuhakikisha ulinzi unaimarika katika mipaka ya nchi yetu ili kuhakikisha hakuna tatizo linaokea”. Na, Tryphone Odace – Kigoma Mkuu wa Tawi la Lojistiki na Uhandisi Jeshini, …
7 Mei 2024, 11:17 mu
Mabeyo: Hifadhi ya Ngorongoro inatakiwa ibaki wazi
Katika jitihada za serikali za kuhakikisha eneo la hifadhi ya Ngorongoro libaki wazi kupisha shughuli za uhifadhi,mamlaka ya hifadhi hiyo NCAA wapo katika hatua za mwisho kukamilisha ujenzi wa makao makuu yao wilaya ya Karatu mkoani Arusha. Na Mwandishi wetu.…