Habari za Jumla
24 Oktoba 2025, 8:47 um
Serikali yalipa fidia bilioni 2.9 Manyara
Kaya (28) za maeneo ya Msasani Maisaka A na Maisaka Kati Wilayani Babati, mkoa wa Manyara zimelipwa fidia ya bilioni 2.9 baada ya maeneo yao kuchukuliwa na serikali kwa matumizi ya huduma za kijamii. Na Mzidalfa Zaid Taarifa ya malipo…
24 Oktoba 2025, 6:03 um
Reuben Sagayika atembelea wananchi mbalimbali Kalangalala
Zimesalia siku 4 ili wananchi nchini waweze kushiriki haki ya msingi na ya kikatiba ya kupiga kura kuchagua madiwani, wabunge na Rais. Na: Ester Mabula Mgombea Udiwani wa kata ya Kalangalala kwa tiketi ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Reuben Sagayika…
24 Oktoba 2025, 5:54 um
Watumishi wa mahakama wahimizwa kutenda haki
Mkuu wa mkoa wa manyara Queen Sendiga amehimiza watumishi wa mahakama kufanya kazi kwa uadilifu, ambapo amesema kwa sasa malalamiko ya kuzilalamikia mahakama yamepungua Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa mkoa wa Manyara Queen Sendiga amewataka wajumbe wa kamati ya maadili…
24 Oktoba 2025, 17:26
Jeshi la zimamoto Kigoma lapata mitambo mipya
Jeshi la zimamoto na uokoaji Mkoani Kigoma limepokea mtambo wa kisasa wa kuzima moto na vitendea kazi vitakavyowezesha kuboresha upatikanaji wa huduma za zimamoto kwa wananchi. Na Orida Sayon Mkuu wa Mkoa wa Kigoma Balozi Simon Sirro amekabidhi magari manne…
24 Oktoba 2025, 9:40 mu
Vijiji 40 kunufaika na kilimo cha umwagiliaji Manyara
Uchimbaji wa visima virefu 40 vya umwagiliaji, katika vijiji 40 vya Wilaya tano za mkoa wa Manyara kuwanufaisha wananchi Zaidi ya 650 kwa awamu ya kwanza Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amezindua uchimbaji wa visima…
22 Oktoba 2025, 12:45 um
TAKUKURU Mpanda yaeleza athari za rushwa kipindi cha uchaguzi
Afisa wa TAKUKURU Leonard Minja akizungumza na Mpanda radio. Picha na Anna Mhina “Rushwa ikifumbiwa macho hupelekea jamii nzima kuathirika” Na Samwel Mbugi Taasisi ya kuzuia na kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoa wa Katavi imeweka bayana athari zitokanazo na rushwa…
21 Oktoba 2025, 3:53 um
Wizara ya Habari yalaani vitendo vya ukiukwaji wa maadili mtandaoni
Picha ni taarifa kwa umma kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Picha na Selemani Kodima. Wizara imekumbusha kuwa usambazaji wa maudhui yasiyo na maadili ni kosa kisheria chini ya Sheria ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015, na…
20 Oktoba 2025, 22:23 um
Dkt. Nanauka aahidi kuimarisha uchumi Mtwara
Dkt. Joel Nanauka, mgombea ubunge Mtwara Mjini kwa tiketi ya CCM, ameahidi kuimarisha uchumi wa mji huo, kukuza ajira na kuwawezesha wajasiriamali endapo atachaguliwa. Pia amesisitiza utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo kwa kushirikiana na Serikali Na Musa Mtepa Mtwara,…
20 Oktoba 2025, 5:01 um
Mwigulu “Puuzieni taarifa zinazoenezwa kwenye mitandao ya kijamii”
Waziri wa fedha Mwigulu Nchemba. Picha na mtandao ” Wengine wanasema serikali imeishiwa hela “ Na Restuta Nyondo Serikali imesema kuwa Tanzania ina akiba ya fedha kiasi cha zaidi ya trilion 16 kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa na hakuna nchi yeyote…
20 Oktoba 2025, 3:46 um
Makosa ya maadili, utoro na wizi yatawala rufaa 108 za watumishi wa umma
Picha ni Kaimu Katibu Mkuu wa Tume ya Utumishi wa Umma John Mbisso, katika mkutano wa kwanza wa mwaka wa fedha 2025/26 uliofanyika jijini Dodoma. Picha na Selemani Kodima. Katika mkutano wa kwanza wa mwaka wa fedha 2025/26 uliofanyika jijini…