Habari za Jumla
20 October 2025, 3:46 pm
Makosa ya maadili, utoro na wizi yatawala rufaa 108 za watumishi wa umma
Picha ni Kaimu Katibu Mkuu wa Tume ya Utumishi wa Umma John Mbisso, katika mkutano wa kwanza wa mwaka wa fedha 2025/26 uliofanyika jijini Dodoma. Picha na Selemani Kodima. Katika mkutano wa kwanza wa mwaka wa fedha 2025/26 uliofanyika jijini…
20 October 2025, 12:19 pm
Mahujaji watarajiwa watakiwa kuisoma ibada ya hijja.
Na Juma Haji wa Adhana FM Wasilamu wenye nia ya kwenda kuhijji Makka, Saudi Arabia mwaka 1448 hijiria wametakiwa kujiandaa kusoma elimu ya hijja kabla ya ili kupunguza changamoto zinazojitokeza wakati wa utekelezaji wa ibada hiyo. Akizungumza na waandishi wa…
20 October 2025, 10:38 am
Wananchi Qash waahidiwa maji na barabara
Wananchi wa kata ya Qash na Vitongoji vyake iliyopo Wilayani Babati mkoani Manyara wameahidiwa maji safi na salama pamoja na ujenzi wa Barabara itakayounganisha maeneo mbali mbali ya kata hiyo na Kata nyingine za jirani. Hayo yamebainishwa na mgombea ubunge…
19 October 2025, 9:35 pm
Uthubutu wa wanawake katika uchaguzi 2025 waandika rekodi mpya
Na Ivan Mapunda Kwa mara ya kwanza katika historia ya siasa za vyama vingi nchini Tanzania, wagombea Urais wanawake wamejitokeza kwa wingi na kwa nafasi ya juu ya kisiasa kuliko wakati mwingine wowote. Uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka huu umeweka…
16 October 2025, 23:33
Tanzania na UNHCR kufuta hadhi ya ukimbizi kwa wakimbizi wa Burundi
Licha ya Serikali na shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR kuhamasisha wakimbizi waliopo katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu tangu mwaka 2017 na kuonekana zoezi la kurejea nchini kwao kwa hiari kusuasua sasa mwarobaini wa kuwarudisha wakimbizi hao…
16 October 2025, 2:49 pm
Mchango wa wanaume ni chachu ya ushindi kwa wanawake 2025
Na Ivan Mapunda. Zanzibar ya sasa inashuhudia mabadiliko makubwa katika ushiriki wa wanawake katika uongozi, ikilinganishwa na enzi za zamani. Kwa mara ya kwanza tangu Mapinduzi ya 1964, wanawake wanashikilia nafasi muhimu, ikiwa ni pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi na…
13 October 2025, 4:34 pm
Ameir awataka wazanzibari kujiandaa kwa Posho ya laki tano
Mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia Makini, Ameir Hassan Ameir, amesema mpango wa kutoa posho ya shilingi 500,000 kwa kila Mzanzibari kila mwezi si ndoto bali ni dira inayotekelezeka kwa kupanga vipaumbele vya maendeleo na…
11 October 2025, 11:08 am
Barabara za mitaa zatajwa kipaumbele ACT-Wazalendo Mbasa
ACT-Wazalendo kupitia Mgombea Udiwani wa Kata ya Mbasa amesema Mbasa sio sehemu ya kushindwa kupitika Na Katalina Liombechi Mgombea udiwani wa Kata ya Mbasa kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Goodluck Msowoya, amezindua rasmi kampeni zake kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29,…
11 October 2025, 10:38 am
TARURA Moro waketi Ifakara kujadili barabara zenye changamoto
TARURA imekuwa na dhima ya kupanga,kusanifu,kujenga na kufanya matengenezo ya mtandao wa barabara za wilaya kwa ajili ya matokeo endelevu ya kijamii na kiuchumi Na Katalina Liombechi Wakala wa Barabara mijini na Vijijini TARURA Mkoa wa Morogoro wameketi Ifakara kwa…
11 October 2025, 10:06 am
CRDB yagusa kwenye upungufu viti na meza 184 Ifakara
Benki ya CRDB ina asilimia 1 kwa ajili ya jamii kuchangia maendeleo ya serikali Na Katalina Liombechi Katika kuadhimisha wiki ya huduma kwa wateja Benki ya CRDB imewajibika kwa kukabidhi Viti na Meza 50 katika shule ya Sekondari Mahutanga Halmashauri…