Radio Tadio

Habari za Jumla

Febuari 12, 2026, 8:14 um

Wanafunzi wote wanapaswa kuripoti shuleni

‘Tunapaswa kuhakikisha wanafunzi wote wenye sifa wanaenda shule madiwani waote na wakuu wa idara ya elimu mkasimamie hilo na kuzingatia chakula kinapatikana shuleni Kwa ajili ya lishe Kwa wanafunzi” Katibu tawala Wilaya ya Bunda Salmu Alfan Mtelela Na Amos Marwa…

11 Febuari 2026, 07:44

Madiwani Ushetu hakikisheni miradi ya maendeleo inakamilika

”Madiwani hakikisheni miradi ya maendeleo inakamilika kwa wakati katika kata zenu” Madiwani wa Halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kuhakikisha miradi ya maendeleo inakamilika kwa wakati katika kata zao, pamoja na kutatua changamoto zinazowakabili wananchi. Wito huo umetolewa…

5 Febuari 2026, 16:58

97% ya watanzania wanafanya kazi sekta ya madini

Mabadiliko makubwa ya sheria ya madini yaliyofanyika mwaka 2017 yameleta mafanikio makubwa kwa Watanzania katika sekta ya madini, ambapo katika migodi mikubwa ya madini iliyopo nchini asilimia 97 ya wafanyakazi ni Watanzania na zaidi ya asilimia tisini ya uongozi na…

Febuari 5, 2026, 12:39 um

Benki ya NMB yatoa msaada taasisi za elimu na afya

Picha ya meneja wa Benki ya NMB Baraka Ladislaus Katika kuchangia wanafunzi kupata elimu bora na huduma bora za afya Benki ya NMB imetoa msaada wa vifaa mbalimbali katika zahanati na shule za msingi halmashauri ya Babati Mkoani Manyara Na…

02/02/2026, 18:57

RC Songwe azindua gari SORECU

Hafla ya uzinduzi na kukabidhi gari ya SORECU. Na Devi Moses MKUU wa Mkoa wa Songwe, Mhe. Jabiri Makame, amezindua na kukabidhi gari la Chama Kikuu cha Ushirika Mkoa wa Songwe (SORECU), lililonunuliwa kwa fedha za chama hicho, katika hafla…

27/01/2026, 02:15

Kabanga yawaita wananchi Kasulu kupata huduma za kibingwa

Wananchi waeleza furaha ya huduma za madaktari katika hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo wilayani Kasulu na kupongeza uongozi kwa kuendelea kuwaborishea huduma za afya. Na; Sharifat Shinji Hospitali ya Rufaa Kabanga iliyopo Wilaya ya Kasulu mkoani Kigoma imewaomba wananchi kujitokeza…