Radio Tadio

Habari za Jumla

15 Agosti 2024, 10:40 mu

Wananchi  Maswa  watoa Maoni  kuhusu  Dira ya Maendeleo  2025- 2050

Wananchi  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  wamepaza  sauti   zao  na  kutoa  Maoni  juu  ya  Dira  ya  Maendeleo ya  Taifa  ya  2025 – 2050  wakati  wa  Kikao  cha  Kamati  ya  Ushauri  ya   Wilaya – DCC   kilichofanyika  katika  Ukumbi  wa  Halmashauri  ya  Wilaya …

12 Agosti 2024, 7:02 um

Mil.163.5 zatumika ujenzi bweni la wasichana Mwagala

Kufuatia uwepo wa changamoto zinazowakabili watoto wa kike Nchini za kushindwa kumaliza masomo yao kutokana na umbali wa Shule Serikali imendelea na Mpango wake wa kuhakikisha inajenga mabweni kwa ajili ya kuwanusuru watoto hao wa kike. Na,Alex Sayi. Kiongozi wa…

08/08/2024, 16:58

Tarehe kumi Zanzibar kuwa ya kijani

Na Mary Julius Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar  Abdi Mahmoud Abdi amewataka vijana pamoja na wananchi kuzitumia vizuri barabara na kuzitunza ili ziweze kutumika kwa muda mrefu zaidi. Amesema hayo Gymkana mara…

Agosti 8, 2024, 4:01 um

Nyonyo kuanguka chanzo cha unyonyeshaji duni Ushetu

Jamii katika halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga imetakiwa kuachana na imani potofu zinazochangia uwepo wa unyonyeshaji duni hali inayosababisha utapiamlo kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano. Kauli hiyo imetolewa na mgeni rasmi ambaye ni diwani wa…

06/08/2024, 18:51

      Wafanyabiashara Manyara watakiwa kutumia  EFD mashine

Imeelezwa kuwa lengo la kuanzishwa kwa mfumo  wa mashine za kieletroniki (EDF) mashine ni pamoja na  kumrahisishia mfanyabiashara utunzaji wa kumbukumbu za biashara kwasiku  Na marino kawishe Wafanyabiashara mkoani Manyara wametakiwa kuendelea  kutumia mashine za Kieletroniki(EFD)kwenye biashara zao ili kuondoa…

06/08/2024, 15:33

Binti ajifungua na kutupa kichanga chooni Geita

Kituo cha redio cha Storm FM kilichopo mkoani Geita kinaendesha kampeni ya kupinga vitendo vya ukatili iitwayo INATOSHA PINGA UKATILI yenye lengo la kupaza sauti kwa jamii kuachana na vitendo vya ukatili. Na: Evance Mlyakado – Geita Katika hali isiyokuwa…