Habari za Jumla
15 Agosti 2024, 10:40 mu
Wananchi Maswa watoa Maoni kuhusu Dira ya Maendeleo 2025- 2050
Wananchi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu wamepaza sauti zao na kutoa Maoni juu ya Dira ya Maendeleo ya Taifa ya 2025 – 2050 wakati wa Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya – DCC kilichofanyika katika Ukumbi wa Halmashauri ya Wilaya …
14/08/2024, 11:28
Kijana apewa kichapo kwa tuhuma za kuiba Tsh. 70,000 Katoro
Soko la CCM ni soko mama lililopo katika mamlaka ya mji mdogo wa Katoro ambalo limekuwa likitumiwa na watu kutoka katika vijiji vya Magenge, Nyamalulu, Kaseme, Kasesa, Mabamba nk Na: Nicolaus Lyankando – Geita Kijana mmoja ambaye hakufahamika jina lake…
13 Agosti 2024, 5:47 um
Kiongozi wako anawashirikisha vijana katika kukabiliana na ukatili wa kijinsia?
Nijuze Radio Show, Kwa mujibu wa Takwimu za Demografia na Afya Tanzania (TDHS) Za mwaka 2015/2016, 40% ya wanawake wenye umri wa miaka 15- 49 wameripoti kufanyiwa ukatili wa kimwili, 17% wameripoti kufanyiwa ukatili wa kingono. Katika mkoa wa Manyara,…
12 Agosti 2024, 7:02 um
Mil.163.5 zatumika ujenzi bweni la wasichana Mwagala
Kufuatia uwepo wa changamoto zinazowakabili watoto wa kike Nchini za kushindwa kumaliza masomo yao kutokana na umbali wa Shule Serikali imendelea na Mpango wake wa kuhakikisha inajenga mabweni kwa ajili ya kuwanusuru watoto hao wa kike. Na,Alex Sayi. Kiongozi wa…
08/08/2024, 16:58
Tarehe kumi Zanzibar kuwa ya kijani
Na Mary Julius Naibu Katibu Mkuu wa Umoja wa Vijana wa Chama cha Mapinduzi (UVCCM) Zanzibar Abdi Mahmoud Abdi amewataka vijana pamoja na wananchi kuzitumia vizuri barabara na kuzitunza ili ziweze kutumika kwa muda mrefu zaidi. Amesema hayo Gymkana mara…
Agosti 8, 2024, 4:01 um
Nyonyo kuanguka chanzo cha unyonyeshaji duni Ushetu
Jamii katika halmashauri ya Ushetu wilayani Kahama mkoani Shinyanga imetakiwa kuachana na imani potofu zinazochangia uwepo wa unyonyeshaji duni hali inayosababisha utapiamlo kwa watoto wenye umri chini ya miaka mitano. Kauli hiyo imetolewa na mgeni rasmi ambaye ni diwani wa…
8 Agosti 2024, 11:11 mu
Elimu ya sheria imeombwa kutolewa kwenye jamii ili kujenga uwelewa Rungwe
kutokana na jamii kutokuwa na uwelewa juu ya masuala ya sheria serikali inatakiwa kuweka utaratibu wa kuelimisha wananchi wake RUNGWE-MBEYA Na Gwamaka Mwakisyala Ili kuhakikisha kuna kuwa na uwelewa wa sheria mbalimbali za nchi kwa wananchi,taasisi za kiraia na za…
8 Agosti 2024, 9:28 mu
Wananchi Katavi watakiwa kuchunguza miili yao kuepukana na magonjwa sugu
Picha na Mtandao “kupima afya ya mwili mara kwa mara kunasaidia kuondoa usugu wa magonjwa kwani kama ukibainika kuwa na ugonjwa unatibiwa katika hatua za awali za ugonjwa” Na Rachel Ezekia-Katavi Baadhi ya wananchi wa manispaa ya mpanda mkoani Katavi…
06/08/2024, 18:51
Wafanyabiashara Manyara watakiwa kutumia EFD mashine
Imeelezwa kuwa lengo la kuanzishwa kwa mfumo wa mashine za kieletroniki (EDF) mashine ni pamoja na kumrahisishia mfanyabiashara utunzaji wa kumbukumbu za biashara kwasiku Na marino kawishe Wafanyabiashara mkoani Manyara wametakiwa kuendelea kutumia mashine za Kieletroniki(EFD)kwenye biashara zao ili kuondoa…
06/08/2024, 15:33
Binti ajifungua na kutupa kichanga chooni Geita
Kituo cha redio cha Storm FM kilichopo mkoani Geita kinaendesha kampeni ya kupinga vitendo vya ukatili iitwayo INATOSHA PINGA UKATILI yenye lengo la kupaza sauti kwa jamii kuachana na vitendo vya ukatili. Na: Evance Mlyakado – Geita Katika hali isiyokuwa…