Habari za Jumla
19 Novemba 2025, 5:41 um
SMZ yaongeza nguvu kukuza lugha ya alama Zanzibar
Na Mary Julius. Serikali ya Mapinduzi Zanzibar imesisitiza dhamira yake ya kuimarisha utoaji wa huduma jumuishi kwa watu wenye ulemavu, hususan katika kukuza na kusambaza matumizi ya lugha ya alama kwenye sekta mbalimbali. Akizungumza katika maadhimisho ya Siku ya Wakalimani…
19 Novemba 2025, 11:00 mu
DC Maswa ataka uzalendo kwa watumishi wa umma
“Kwa nini kila kukicha tunaimba uzalendo uzalendo kwa watumishi wa umma nini kimekosekana mpaka tunaanza kukumbushana kwani wao hawajui maana ya neno la uzalendo au wao wanalijuwa kulisoma tu lakini kwenye vitendo ni hakuna ukiona hivyo juwa kuna kitu hakipo…
18 Novemba 2025, 12:25 um
DC Anney watumishi wa halmashauri tunzeni jengo
“Uzuri wa jengo kipya la makao makuu ya halmashauri ya wilaya ya Maswa ukatoe utendaji mzuri kwa watumishi wa umma katika kuwahudumia wananchi ili kutoa tafsiri sahihi ya uzuri wa jengo na kuleta tabasamu kwa wakazi wa wilaya”. Na,Daniel Manyanga …
17 Novemba 2025, 08:56
Ujenzi wa masoko 14 pembezoni mwa barabara wafikia 75% Kigoma
Mkoa wa Kigoma umeanza rasmi utekelezaji wa ujenzi wa masoko pembezoni mwa barabara umeanza ili kuhakikisha wajasiriamali wanapata sehemu ya kuuzia. Na Mwandishi wetu Serikali mkoani hapa inatekeleza mradi wa ujenzi wa masoko madogo 14 yenye Thamani ya Shilingi Mil.490…
16 Novemba 2025, 15:37 um
Wafanyabiashara Mtwara walia na ongezeko la tozo
Wafanyabiashara wa Mtwara wamelalamikia ongezeko la tozo na ushuru linalodaiwa kupandisha bei za bidhaa, huku wakitaka serikali kupitia upya kanuni hizo. Manispaa imesisitiza kuwa tozo zinatekelezwa kwa mujibu wa sheria na iko tayari kushughulikia malalamiko kupitia majadiliano Na Musa Mtepa…
16 Novemba 2025, 15:23 um
Mtwara kutenga milioni 500 kuboresha Soko Kuu
Manispaa ya Mtwara–Mikindani imetangaza mpango wa kutenga zaidi ya shilingi milioni 500 kwa ajili ya kuboresha Soko Kuu la Mtwara, ikilenga kuboresha miundombinu na mazingira ya biashara huku wafanyabiashara wakiyakaribisha maboresho hayo na kuomba kupewa kipaumbele baada ya ujenzi kukamilika…
15 Novemba 2025, 08:15
Mmoja afariki ajali Songwe
Kutokana na uzembe wa madereba barabara ajali zimezidi kukatisha uhai wa watu wengi Na Ezekiel Kamanga Kamanda wa Jeshi la Polisi Mkoa wa Songwe, Kamishna Msaidizi Mwandamizi (SACP) Agustino Senga, amethibitisha kutokea kwa ajali mbaya ya barabarani iliyoua mtu mmoja…
13 Novemba 2025, 8:51 um
Rais wa Zanzibar ataja mawaziri 16
“Mawaziri na manaibu waziri nilioteua hakikisheni mnatekeleza majukumu yanu kwa uwajibikaji, uadilifu na kasi ya maendeleo, ili kutimiza matarajio ya wananchi wa Zanzibar” Na Mary Julius. Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt. Hussein Ali Mwinyi, ametangaza…
11 Novemba 2025, 5:12 um
RC Sendiga azindua majiko banifu
Mkuu wa Mkoa wa Manyara, Queen Sendiga, amezindua rasmi mradi wa uuzaji na usambazaji wa majiko banifu kwa bei ya ruzuku mkoani Manyara ambapo Uzinduzi huu ni sehemu ya utekelezaji wa mkakati wa kitaifa wa upatikanaji na uhamasisha wa matumizi…
29 Oktoba 2025, 10:49 mu
DC Kiteto ajitokeza kupiga Kura
Mkuu wa wilaya ya Kiteto Remidius Mwema, amesema hali ya usalama katika wilaya yake imeimarika katika vituo vyote vya kupigia kura na kuwataka wananchi kuendelea kujitokeza kupiga kura Ili wawachague viongozi wanaowataka. Na Mzidalfa Zaid Mwema amesema hayo wilayani Kiteto…