Habari za Jumla
06/03/2026, 16:46
Elimu ya kukabiliana na maafa yatolewa wilaya ya Kati
Na Hakika Mwinyi. Kamati za kukabiliana na maafa zimetakiwa kuwa na uelewa mpana kuhusu hatari zinazoweza kujitokeza katika jamii, hususan katika kipindi hiki cha mvua za masika zinazoendelea kunyesha. Wito huo umetolewa na Mkuu wa Divisheni ya Elimu Kinga na…
Machi 6, 2026, 1:46 um
Kuelekea siku ya wanawake Manyara
Wanawake wametakiwa kutokutumia 50 kwa 50 vibaya kwa kutokutimiza majukumi yao Na Kudra Massaga Kuelekea siku ya wanawake duniani machi 08 , wanawake Mkoa wa Manyara wametakiwa kulea familia zao ili kujenga mahusiano mazuri katika ngazi za familia na jamii…
6 Machi 2026, 9:27 mu
Wakulima wa pamba waomba sheria kali waliochezea mizani msimu mwaka jana Simiyu
“Tunatumia nguvu kazi kubwa sana hadi pamba kufika sokoni tukitarajia tutapata faida kutokana na kile ambacho tumekifanya kwa msimu mzima wa kilimo halafu panatokea mtu mmoja tu anaanza kutengeneza faida kutokana na jasho la watu wengine hii haipo sawa tunawavunja…
05/03/2026, 17:21
Nkubhagana ataja faida za ufugaji wa nyuki
“Ufugaji wa nyuki una faida nyingi kutokana na matumi zake kuwa mengi pia” Na; Helbeth Barayata Wananchi wa Halimashauri ya Mji kasulu mkoani Kigoma wameshauriwa kujishughurisha na ufugaji wa nyuki, uchakataji na uuzaji wa mazao yanayotokana na mazao ya asali…
05/03/2026, 17:02
TPF-Net yaleta neema ya maji kambi ya Polisi Ziwani
Na Denis Mtamwega. Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto Zanzibar Anna Atanas Poul, amezindua rasmi mradi maalum wa maji katika Kambi ya Polisi Ziwani, Zanzibar, ikiwa ni sehemu ya maadhimisho ya Mtandao wa Polisi Wanawake (TPF-Net). Uzinduzi…
05/03/2026, 14:51
Juhudi za polisi kupunguza ukatili na vitendo vya uhalifu Masasi
Jeshi la Police wakitoa Elimu Katika kuendelea kutimiza majukumu yao ya kazi kwa jamii leshi la Polisi Masasi inaendelea kuwakumbusha wanafunzi kuhusu kujiepusha na matukio ya kikatili Na Lilian Martin Mrakibu Msaidizi wa Polisi, Kitengo cha Dawati la Jinsia wilayani…
5 Machi 2026, 1:47 um
Ukosefu wa shule Mbogwe watoto wageuka vibarua mashambani
“Watoto wetu wanateseka” Na Anna Mhina Wananchi wa kitongoji cha Mbogwe kilichopo kijiji na kata ya Kabungu wilayani Tanganyika mkoani Katavi wameiomba serikali kuingilia kati ujenzi wa shule ya msingi ulioanzishwa katika kitongoji hicho. Wakizungumza na Mpanda radio FM wananchi…
Machi 5, 2026, 1:45 um
Watakiwa kuwalinda na kuwahifadhi wanyama
Ikiwa tarehe 03 machi ilikuwa ni siku ya wanyamapori duniani wananchi wamekumbushwa kuwalinda wanyama Na Kudra Massaga Wananchi wametakiwa kusaidiana na wahifadhi wa wanyamapori katika kuwatunza na kuwahifadhi wanyama ili wazidi kuendelea kuwepo kwa kizazi cha sasa na cha baadae…
4 Machi 2026, 8:00 um
Halmashauri ya Missenyi yapitisha bajeti ya shilingi bilioni 56.8
Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya ya Missenyi mkoani Kagera limeridhia kukusanya na kutumia kiasi cha zaidi ya shilingi bilioni 56.8 kwa mwaka wa fedha ujao. Na Respicius John, Missenyi Baraza la madiwani la halmashauri ya wilaya missenyi limepitisha…
03/03/2026, 16:25
Programu yaongeza ufaulu kwa wasichana Geita
“Dhamira kuu ya programu hii ni pamoja na kuwawezesha watoto wa kike kufikia ndoto zao kwa kuwajengea uwezo wa kujiamini na kutokata tamaa kwenye masomo yao” – Khadija Kisatu, msimamizi wa Rasilimali watu wa GGML Na: Ester Mabula Programu ya…