Radio Tadio

Habari za Jumla

03/03/2026, 16:25

Programu yaongeza ufaulu kwa wasichana Geita

“Dhamira kuu ya programu hii ni pamoja na kuwawezesha watoto wa kike kufikia ndoto zao kwa kuwajengea uwezo wa kujiamini na kutokata tamaa kwenye masomo yao” – Khadija Kisatu, msimamizi wa Rasilimali watu wa GGML Na: Ester Mabula Programu ya…

28/02/2026, 17:05

Waziri Ndejembi ataka mradi wa Gesi Ntorya ukamilike kwa wakati

Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amemtaka mkandarasi kukamilisha mradi wa bomba la gesi Ntorya–Madimba ifikapo Septemba 2026 Na Musa Mtepa Waziri wa Nishati, Deogratius Ndejembi, amemtaka mkandarasi anayetekeleza mradi wa uchimbaji na ujenzi wa bomba la kusafirishia gesi asilia kutoka…

28/02/2026, 16:11

ZEC yakamilisha zoezi la kuteketeza nyaraka za uchaguzi 2025

Na Mary Julius. Tume ya Uchaguzi Zanzibar (ZEC) imetangaza rasmi kukamilisha zoezi la kuteketeza nyaraka za Uchaguzi Mkuu wa mwaka 2025, kwa mujibu wa matakwa ya Sheria ya Uchaguzi ya mwaka 2018. Akizungumza katika zoezi hilo lililofanyika kijiji cha Muyuni,…

26 Febuari 2026, 3:06 um

Makanyagio: Maji yawatesa wakazi

Mhandisi Philipo Pagati meneja usambaji maji manispaa ya Mpanda. Picha na Anna Mhina “Kwa kweli kuna changamoto kubwa ya maji” Na Leah Kamala Wananchi kata ya makanyagio manispaa ya Mpanda mkoani Katavi  wamelalamikia  upatikanaji wa maji safi na salama hali…

20 Febuari 2026, 5:44 um

Miradi ya ujenzi, michezo yamvuta diwani

“ameomba kuharakishwa kukamilika kwa ujenzi wa madarasa hayo ili kurahisisha upatikanaji wa elimu kwa wanafunzi wa eneo hilo.“ Na Ben Gadau- Katavi Diwani wa Kata ya Ibindi Mdakuni Matongo ametembelea na kukagua  ujenzi wa madarasa katika shule ya msingi muungano…

Febuari 16, 2026, 9:25 mu

Madiwani Ushetu waomba TARURA kukarabati barabara korofi

”TARURA waombwa kuzitembelea barabara zilizohariba kutoka na mvua zinazoendelea kunyesha na kuzikarabati ili zipitike na kuwaondolea wananchi adha wanazokutana nazo wakati wa kutekeleza shughuli za kiuchumi” Wakala wa barabara wa mjini na vijijini (TARURA) wilayani Kahama mkoani Shinyanga wametakiwa kukarabati…