Habari za Jumla
19 August 2021, 4:45 pm
Wafanyabiashara waishukuru serikali kwa kuondoa vikwazo vya kufanya biashara
Na,Glory Paschal Wafanyabiashara katika halmashauri ya mji wa Kasulu mkoani Kigoma wameishukuru serikali kupitia mamlaka ya mapato Tanzania TRA kuondoa vikwazo vya kufanya biashara vilivyokuwa vinawakabili ikiwemo kubabikiziwa makadilio ya juu ya kodi na baadhi ya watumishi wasio waadilifu. Wamesema tangu…
16 August 2021, 14:12
Serikali yazindua mfumo wa kielectroniki wa uratibu na ufuatiliaji wa shughuli…
Na; Fred Cheti. Serikali kupitia Ofisi ya Waziri mkuu (Sera ,bunge,kazi,ajira,vijana na watu wenye ulemavu) leo Agosti 16 imezindua mfumo wa kielektroniki wa uratibu na ufuatiliaji wa shughuli za serikali. Akizungumza katika uzinduzi huo uliofanyika leo jijini Dodoma waziri mwenye…
14 August 2021, 16:22
Polisi yamkamata “anayetuhumiwa” kuteka watoto Mtwara
Na Gregory Millanzi Jeshi la Polisi Mkoa wa Mtwara limemkamata mtuhumiwa Jabiri Bakari (19) kwa tuhuma za uhalifu wa utekaji, ubakaji na kulawiti watoto baada ya kuwalaghai kwa njia mbalimbali na kufanikiwa kuondoka nao kwenda kwenye maeneo na kunzisha makazi…
13 August 2021, 10:12
Mhe, BEREGE akabidhiwa Ofisi aahidi neema kwa wana Maswa
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu Ndugu Saimoni Berege ameahidi kutoa ushirikiano kwa Madiwani na watumishi wa kada mbalimbali pamoja na kwakuendeleza miradi yote ambayo ilianzishwa na Mtangulizi wake Dr Fredrick Sagamiko ambaye kwa sasa amehamishiwa …
31 July 2021, 15:18
Mtwara: Watu 15 watuhumiwa kwa Viuatilifu feki
Na Musa Mtepa. Jumla ya Tani 84.3 za pembejeo Feki (Viuatilifu) zenye thamani ya Zaidi ya milioni 100 zimekamatwa katika oparesheni maalumu wakati zikipelekwa Kwa wakulima wa zao la korosho mkoani Mtwara. Akizungumza Na waandishi WA Habari ofisini kwake Mkuu…
26 July 2021, 6:46 pm
Baiskeli 40 kusaidia kuzuia maambukizi mapya ya Ukimwi
Mabinti wenye umri kati ya miaka 15-24 wa halmashauri ya Ushetu mkoani Shinyanga wamepatiwa Baiskeli zaidi ya 36 kwa ajili ya uelimishaji rika juu ya kuzuia maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi. Baiskeli hizo zimetolewa na shirika la Huheso Foundation…
22 July 2021, 10:47
Maji ya Ziwa Victoria kuleta suruhisho la changamoto ya maji mji wa m…
Mkurugenzi Mtendaji wa mamlaka ya maji na Usafi wa mazingira Maswa- MAUWASA Mhandisi Nandi Mathias amesema kuwa kuanza kutekelezwa kwa mradi wa maji kutoka ziwa Victoria utaondoa changamoto ya Upatikanaji wa Maji katika katika Mji wa Malampaka uliopo wilayani Maswa …
22 July 2021, 08:45
Wafanyabiashara waliopo mnada wa Dabalo wametakiwa kufuata taratibu ili kujiking…
Na; Benard Filbert. Wafanyabiashara kutoka maeneo mbalimbali wanaofanya shughuli zao katika mnada wa Dabalo wilaya ya Chamwino wametakiwa kufuata maelekezo yaliyotolewa na mkuu wa mkoa wa Dodoma kila mmoja kuvaa barakoa na kuzingatia kuweka maji ya kunawa ili kujikinga na…
19 July 2021, 8:00 pm
Machinga walionyang’anywa Matunda yao warejeshewa na Mkuu wa Wilaya
Kufuatia kukamatwa kwa wafanyabiashara wa matunda wa soko la Mkulima na kuonesha Migambo wakigombana na wauza matunda hao mkuu wa Wilaya ya Kahama, Festo Kiswaga ametatua Mgogoro huo. Akiongea na wafanyabiashara wadogo katika stendi ya CDT mkuu wa Wilaya, Festo…
19 July 2021, 7:42 pm
DC Kiswaga: Maonesho ya kibiashara Kahama kuwa ya mfano
Mkuu wa wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga, Festo kiswaga amewaomba wananchi wilayani humo kujitokeza katika maonesho ya Ujasiliamali na wafanybiashara wakubwa na wadogo katika viwanja vya halmashauri ya Manispaa ya Kahama mkoani humo. Akizungumza na wandishi wa Habari ofisini kwake…