Radio Tadio

Habari za Jumla

3 September 2021, 09:01

Wanaume wa mahanzi iringa wapigwa na wake zao

Iringa Na Hafidh Ally Wanaume wa Kijiji cha Mahanzi Kilichopo Kata ya Wasa Wilaya ya Iringa wamelalamikia vitendo vya wanaume kufanyiwa vitendo vya ukatili wa kijinsia ikiwemo kupigwa na wake wao. Wakizungumza katika  Ziara ya kikazi ya Mkuu wa Wilaya…

2 September 2021, 7:55 pm

Bunda; 4 Sept 2021 siku ya usafi wilaya nzima

By Hawa Mbulula Katibu tawala wa wilaya ya bunda Salum Mtelela ametoa wito kwa wananchi wote wa bunda kwa ujumla kuwa tarehe 4/9/2021 siku ya jumamosi ni siku ya usafiĀ  mkoa wa mara Mteela ameyasema hayo leo sept 2 ,2021…

2 September 2021, 8:56 am

Aliyekuwa DC Bunda aagwa baada ya kustaafu

By Adelinus Banenwa Umoja wa watumishi Makada wilaya ya Bunda mkoani Mara,leo umefanya sherehe ya kumuaga aliyekuwa mkuu wa wilaya ya Bunda mwalimu Lydia Bupilipili na kumkaribisha mkuu wa wilaya ya Bunda Mheshimiwa Joshua Nasarr. Akizungumza wakati wa kufungua sherehe…

28 August 2021, 20:36

TARURA Maswa Kuboresha Barabara zote za Kiuchumi

Meneja  wa  Wakala  wa  Barabara  za Vijijini  na  Mjini  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  Mhandisi  David  Msechu  amewaomba  Madiwani  Kushirikiana  na  kamati za  maendeleo  za  kata  ili  kulinda  Miundo  mbinu  ya  Barabara  zinazojengwa  ili zidumu  zaidi.. Hayo  ameyasema  katika  kikao  cha …

26 August 2021, 05:16 am

CHAMA Cha Mapinduz Kimewazawadia Vyeti Maalumu

CHAMA Cha Mapinduzi (CCM) wilaya ya Masasi mkoani Mtwara kimewazawadia vyeti maalumu vya kutambua mchango na juhudi wanazozifanya ndani ya Chama hicho ikiwemo kufanikisha upatikanaji wa ushindi wa kishindo katika uchaguzi mkuu wa Rais, wabunge na madiwani mwaka 2020 Wanachama…