Habari za Jumla
6 July 2021, 11:57
Simiyu yazindua Mkakati wa kuongeza Tija katika zao la Pamba.
Mkoa wa Simiyu Umezindua Kampeni ya kuongeza Tija katika zao la Pamba ili kuwainua wakulima Kiuchumi. Kampeni hiyo imezinduliwa na Waziri wa Kilimo Profesa Adolf Mkenda na kusema kuwa Serikali haiwezi kuamua Bei ya Pamba katika Soko la Dunia na …
6 July 2021, 9:57 am
USHETU:DC Kiswaga awapa mbinu ya kutoboa kimaisha vijana wanaocheza Pool Table n…
KAHAMA: Mkuu wa wilaya ya kahama, Festo Kiswaga amepiga marufuku tabia ya vijana wasiokuwa kazi maalumu hususani wanaokaa vijiweni na kuendekeza michezo ya kubahatisha maarufu kama betting na pool table na badala yake watakiwa kujiorodhesha kupitia kwa viongozi wao wa…
3 July 2021, 3:33 pm
Baraza la umoja wa Vijana UVCCM Wilaya ya Bunda
By Adelinus Banenwa Katibu wa Umoja wa Vijana UVCCM mkoa wa Mara Wambula Peresia amesema niwajibu wa madiwani na wabunge kuwawezesha Vijana hasa kwenye kuandaa mabaraza ya Wilaya Hayo ameyasema leo July 3, 2021 kwenye baraza la Vijana UVCCM Wilaya…
2 July 2021, 1:15 pm
Diwan wa kata ya Neruma wilayani Bunda kupitia CCM afariki dunia
by Adelinus Banenwa Diwani wa kata ya Neruma Mh. Alfred Maungo amefariki dunia baada ya kuugua kwa muda mfupi Akizungumza na Mazingira fm Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Bunda mh. Charles Manunbu amethibitisha kifo cha diwani huyo huku taarifa…
1 July 2021, 9:54 am
Mwalimu wa tuisheni afungwa maisha jela Kahama
Mahakama ya wilaya ya Kahama mkoani Shinyanga jana June 30, 2021 imemhukumu kifungo cha maisha jela, Baraka Andrea (25) mkazi wa Kata ya Mhongolo ambaye alikuwa mwalimu wa Tuisheni kwa kosa la kumlawiti mwanafunzi wake wa miaka nane. Akisoma hukumu…
26 June 2021, 15:07
Mkutano wa wadau kuchangia maoni uboreshaji wa mitaala ya elimu Nchini wafanyika…
Na,Mindi Joseph . Serikali imesmea ni vyema kusitisha mabadiliko yoyote kwenye mitaala ya Ngazi ya Elimu ya Awali, Msingi na Sekondari iliyopo sasa Nchini mpaka mchakato wa wadau kuchangia maoni ili kuwa na Mtaala ambao ni shirikishi na jumuishi utakapokamilika.…
24 June 2021, 10:05
RC Simiyu aagiza kusimamishwa kazi Daktari aliyesababisha kifo cha Mam…
Mkuu wa mkoa wa Simiyu Mh David Kafulila amemuagiza Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya wilaya ya Maswa kumsimamisha kazi mganga Mfawidhi wa Zahati ya Senani iliyopo kata ya Senani wilayani hapa Ally Soud kwa kusababisha Kifo cha Mama na Mtoto …
23 June 2021, 10:58
DC ataka heshima kazini, Narudi kufundisha Madrasa.
Mkuu wa Wilaya ya Kilosa Mkoani Morogoro Alhaji Majid Hemed Mwanga juni 22 2021 amewataka Viongozi wote Wilayani humo kuwa wabunifu pamoja na kufanya kazi kwa umoja, kushirikiana bila kubaguana wala kudharauliana kwani kwa kufanya hivyo Wilaya itasonga mbele zaidi…
23 June 2021, 10:15
Mradi wa Chujui la Maji Maswa wanufaisha wakazi zaidi ya Laki moja.
Zaidi ya wakazi Laki moja wa Mji wa Maswa na vijiji jirani wamenufaika na Mradi wa Mtambo wa kutibu na Kusafisha Maji. Hayo yamesemwa na Mkurugenzi Mtendaji wa Mamlaka ya Maji na Usafi wa Mazingira Maswa-MAUWASA Mhandisi Nandi Mathias …
23 June 2021, 09:55
Wilaya ya Maswa yaadhimisha siku ya mtoto wa Afrika kipekee.
Jamii Wilayani Maswa Mkoani Simiyu imeaswa kushirikiana na vyombo vya kisheria katika kuhakikisha inatokomeza ukatili kwa watoto. Kauli hiyo imetolewa na Afisa tarafa, tarafa ya Nughu Ndugu Venance Saria kwa niaba ya mkuu wa Wilaya ya Maswa Mh, Aswege Kaminyoge …