Radio Tadio

Habari za Jumla

4 June 2021, 7:51 pm

Wakazi wa Matendo watembea umbali mrefu kufuata maji

Na,Glory Paschal Wananchi wa Kijiji cha Pamila Kata ya Matendo Halmashauri ya Wilaya ya Kigoma, Wameiomba  Serikali  kuwasaidia kupeleka huduma ya maji kwani wanalazimika kutembea umbali mrefu kutafuta maji na kushindwa kufanya shughuli za maendeleo Wakizungumza  na  Radio  Uvinza Fm, Wananchi…

28 May 2021, 11:30

Jumla ya Vijiji 45 vya Wilaya ya Maswa kunufaika na TASAF awamu…

Jumla  ya  vijiji  Arobaini  na  tano  vilivyopo  Wilayani  Maswa  Mkoani  Simiyu  vinatarajiwa  kunufaika   na  Mfuko wa  maendeleo  ya  Jamii i – TASAF  kwa  awamu  ya  tatu  kipindi  cha  Pili. Hayo  yameelezwa  na  Mratibu  wa  TASAF  wilaya  ya  Maswa   Bi, Grace …