Habari za Jumla
18/08/2025, 23:50
Tuanzie Nyumbani Kuleta Tumaini Jipya kwa Elimu Vijijini Ruangwa
Ruangwa, Lindi Katika harakati za kuhakikisha watoto wa vijijini wanapata haki yao ya msingi ya elimu, Umoja wa Wadau wa Elimu Wilaya ya Ruangwa (UWERU) imeanza rasmi kuitekeleza kampeni ya “Tuanzie Nyumbani” yenye lengo la kuelimisha jamii juu ya umuhimu…
17/08/2025, 12:22
TMDA yabaini uwepo wa bidhaa bandia ya dettol za maji
Mamlaka ya dawa na vifaa tiba (TMDA)imebaini uwepo wa bidhaa ya Dettol za maji bandia zinazotengenezwa kinyume cha sheria kwa njia haramu na kubandikwa lebo kuonesha ni dettol zilizo halisi. Na Mzidalfa Zaid Akizungumza na Fm Manyara, Meneja wa TMDA…
Agosti 17, 2025, 1:44 mu
Askofu Mwijage asisitiza haki kwanza kabla ya Amani
Viongozi na wananchi katika jamii wameaswa kutanguliza na kutenda haki kwanza ili kuweza kupata Amani na kuleta utulivu katika jamii hasa kuelekea uchaguzi mkuu wa mwaka huu. Na Anold Deogratias Mhashamu Baba Askofu wa Jimbo Katoliki Bukoba, Jovitus Mwijage amesisitiza…
16/08/2025, 12:59
Kodi zahatarisha biashara mpaka wa Tunduma
Wafanyabiashara Tunduma waomba serikali kuboresha mfumo wa kodi mpakani ili kurahisisha biashara na kuongeza ushindani. Na Emmanuel Mkondya Wafanyabishara wa Tunduma wameiomba kuweka mifumo rafiki ya kodi katika mpaka wa Tanzania na Zambia ili waweze kunufaika na bishara ya mpakani…
15 Agosti 2025, 6:57 um
Waziri Mavunde azindua chumvi lishe ya mifugo Nyanza Uvinza
Waziri wa madini Athony Mavunde pamoja na watumishi wengine wa serikali wakikagua chumvi inayodhalishwa katika kiwanda cha nyanza salt uvinza Waziri mavunde amesema Kiwanda cha Nyanza kina msaada mkubwa katika kuchangia pato la taifa na kuzindua chumvi lishe ya wanyama…
15 Agosti 2025, 5:04 um
Wazazi, walezi waleeni watoto katika maadili
Mkuu wa dawati jinsia na watoto Katavi Judith Mbukwa. Picha na Anna Mhina “Tutengeneze ukaribu na watoto wetu kutawajengea usalama zaidi” Na Roda Elias Wazazi katika manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanasimamia ndoto za watoto ili ziweze kutimia.…
13/08/2025, 19:11
BOT yatoa agizo kuhusu utunzaji wa noti
Na Mwandishi wetu BENKI Kuu ya Tanzania (BOT) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, imewasihi Wakazi wa mikoa ya Nyanda za Juu kuzitunza vizuri fedha aina ya noti ili kutekeleza sheria za nchi. Meneja Msaidizi idara ya uchumi na takwimu…
09/08/2025, 11:36
Raia wa kigeni chanzo vitendo vya wizi, uhalifu, mauaji Kigoma
Wamesema licha ya raia hao kuwasaidia katika shughuli za mashambani lakini kuna baadhi yao ambao sio waaminifu wamekuwa wakitumia nafasi hiyo kufanya vitendo vya kiuharifu hasa wizi na ujambazi kwa kutumia silaha. Na Emily Adam Wananchi na wafanyabiashara Halmashauri ya…
05/08/2025, 17:45
Dosari karatasi za kupigia kura zakwamisha uchaguzi
Amesema hitilafu katika uchapishaji wa makaratasi ya kupigia kura kwa baadhi ya majina ya wagombea kukosewa na kutoonekana imesababisha zoezi hilo kutofanyika. Na Kitana Hamis.Katibu Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Mkoa wa Morogoro Nuru Ngereja ametolea ufafanuzi sababu za kata…
5 Agosti 2025, 17:17
Waziri wa zamani wa fedha ateuliwa kuwa Waziri Mkuu Burundi
Rais wa Jamhuri ya Burundi Evariste Ndayishimiye amemteua Nestor Ntahontuye kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Na Bukuru Elias Daniel Waziri wa zamani wa fedha na hazina wa Burundi Nestor Ntahontuye ameteuliwa kuwa waziri mkuu wa Burundi katika mabadiliko mapya…