Habari za Jumla
8 Julai 2025, 2:47 um
CUF yawasha moto Pemba wagombea wa maslahi binafsi kupigwa chini
Na Is-haka Mohammed. Chama cha Wananchi CUF kimedhamiria kufanya tathmini ya kina ya wagombea watakaosimamishwa katika nafasi mbalimbali za uongozi, kwa lengo la kuhakikisha wanachaguliwa viongozi wenye sifa ya uzalendo na utayari wa kuwatumikia wananchi, si kwa maslahi binafsi.Akizungumza katika…
7 Julai 2025, 7:42 um
DC Mpanda wekeni akiba ya chakula
Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph. Picha na Samwel Mbugi “Bei zimepanda niwaombe tukumbuke kuweka akiba ya chakula” Na Samwel Mbugi Mkuu wa wilaya ya Mpanda Jamila Yusuph amewahimiza wananchi kutunza chakula hususani katika kipindi hiki cha mavuno ambapo…
6 Julai 2025, 5:58 um
TAMESOT yalitaka baraza la tiba asili kudhibiti waganga matapeli
Kila zinapowadia nyakati za uchaguzi mkuu hapa nchini kunakuwa na ongezeko la matukio ya uhalifu yanayohusishwa na imani za kishirikina ikidaiwa kuwa ni kutekeleza maelekezo ya waganga wa tiba asili maarufu kama waganga wa kienyeji Na Theophilida Felician, Bukoba Chama…
4 Julai 2025, 4:18 um
Simiyu:Matukio 92 ya ajali migodini yaacha vilio
“Hakuna maendeleo ya vitu bila watu lazima tuendelee kutoa elimu ya usalama kwa wachimbaji wadogo wa madini ili kupunguza au kumaliza matukio ya wachimbaji wadogo maana kila kukicha tunaona vifo,majeruhi na ulemavu wa kudumu hivyo mamlaka husika zinao wajubu mkubwa…
Julai 4, 2025, 3:40 um
Kinnapa na mpango wa kuwarudisha watoto wakike shuleni
Picha ya mkurugenzi wa KINNAPA Abraham Akilimali, akizungumza na waandidhi wa habari na wadau mbalimbali wa maendeleo Wito umetolewa kwa waandishi wa habari Babati Mkoani Manyara kuendelea kuhamasisha sera ya haki ya kuwarudisha watoto wa kike shuleni. Na Linda Moseka…
2 Julai 2025, 8:56 um
TASAF Kutoa million 114,220,000 Ruzuku kwa kaya 3,896 Ruangwa kuanzia leo July…
Na Loveness Josefu.Mfuko wa Maendeleo ya Jamii (TASAF), kwa kushirikiana na Halmashauri ya Wilaya ya Ruangwa, umeanza leo Jumatano, tarehe 2 Julai 2025, zoezi la malipo ya ruzuku kwa kaya 3,896 za walengwa wa Mpango wa Kunusuru Kaya Maskini kutoka…
2 Julai 2025, 8:39 um
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa atangaza rasmi kutogombea tena Ubunge Ruangwa
Na Loveness Joseph. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mbunge wa Jimbo la Ruangwa, Mheshimiwa Kassim Majaliwa, leo Julai 2, 2025, ametangaza rasmi kutogombea tena nafasi ya ubunge wa jimbo hilo katika uchaguzi mkuu ujao, baada ya…
2 Julai 2025, 6:58 um
Mwenge wa uhuru kukagua miradi 8 Babati mji
Jumla ya miradi nane yenye thamani ya sh Bilion 3.29 inatarajiwa kukaguliwa na kuwekewa mawe ya msingi wakati wa mbio za mwenge wa uhuru kwenye halmashauri ya mji wa Babati mkoani Manyara ambapo utakimbizwa julai 15 mwaka huu. Na Mzidalfa…
29 Juni 2025, 4:17 um
Miaka minne bila huduma ya maji kwa pengo
Ni zaidi ya miaka minne katika kijiji cha kwa pengo shehia ya Sizini wameendelea kukosa huduma ya maji safi na salama ambapo ni jambo la msingi na muhimu kwa matumizi ya binadamu ya kila siku . Na Fatma Faki WANANCHI…
29 Juni 2025, 12:29 mu
Wanawake wenye ulemavu wahamasishwa kushiriki katika mchakato wa ADP
Lengo la mafunzo hayo ni kuwawezesha wanawake kuelewa Mkataba wa Afrika wa Haki za Watu Wenye Ulemavu (African Disability Protocol – ADP) na kujifunza mbinu mbalimbali za kuutetea. Na Mary Julius Wanawake wenye ulemavu wametakiwa kushiriki kikamilifu katika kutoa maoni…