Habari za Jumla
14 June 2025, 15:46
Somabiblia wawatoa msaada kwa wahitaji
Kampuni ya soma Biblia imefikisha miaka kumi katika kuadhimisha miaka hiyo wametembelea jeshi la magereza Rwanda Mbeya kuwatazama wafungwa na kutoa msaada wa vitu mbalimbli. Na Ezra Mwilwa Wadau na taasisi mbalimbali wameombwa kutowatenga wahitaji badala yake wanatakiwa kujenga utamaduni…
14 June 2025, 3:24 PM
Kufikia adhima ya tani laki 7 kwa 2025-2026 maafsa ugani wapigwa msasa
Mtafiti wa kilimo akitoa maelezo Katika kuifikia adhima ya serikali ya kuongez uzalishaji wa zao la kotosho kwa mwaka 2025-2026 hadi kufikia tani millioni 1 kwa mwaka 2029-2030 maafsa ugani wapewa mafunzo yatakayoleta tija kwa wakulima Na Lilian Martin Maafsa…
14 June 2025, 12:41 pm
Faida za kulima bustani ya mbogamboga nyumbani
Na. Theresia Damas & Abdunuru Shafii Makala hii inaangazia umuhimu wa kulima bustani ya mbogamboga nyumbani katika eneo dogo. Je unafahamu umuhimu wa bustani ya mbogamboga nyumbani ama laah? sikiliza makala hii inayo somwa na Linda Dismas
14 June 2025, 12:15 pm
Wazazi/walezi msiwatelekeze watoto
Meneja wa Mpanda radio FM Denis Mkakala. Picha na Samwel Mbugi “Tumekuja kuwasalimia watoto na kuwaletea zawadi” Na Anna Mhina Wazazi na walezi wa mkoa wa Katavi wameshauriwa kuhakikisha wanasimamia misingi ya malezi bora ya kulea watoto na si kuwatelekeza.…
June 14, 2025, 10:56 am
Madereva wa magari waonywa kuegesha vibaya Mnadani
Wito huo umetolewa na mkaguzi wa magari kutoka Jeshi la polisi wilayani Kasulu Koplo Fadhili Ndege wakati akiongea na Buha FM Radio akiwa sokoni hapo juu ya namna madereva wa magari wanavyopaki wakati wanapakia mizigo kwa ajili ya kuisafirisha sehemu…
14 June 2025, 10:24 am
Wanaume watakiwa kusimama imara kulifanya kanisa kuwa na umoja
Kanisa linahitaji wanaume wa kutosha na wenye moyo thabiti wa kulitunza kanisa la Mungu. Na Emmanuel Kamangu Wanaume wa kanisa katoliki parokia ya mrubona jimbo katoliki la kigoma wametakiwa kuwa kielelezo cha kanisa ikiwemo kusimama imara katika kulifanya kanisa kuwa…
14 June 2025, 10:19 am
Tabasamu akabidhi mil.10 kwa bodaboda Sengerema
Mai 19 waziri mkuu wa Jamhuri ya muungano wa Tanzania Mh.Kassimu Majaliwa alikuwa na ziara wilayani Sengerema ya kukagua miradi na kusikiliza kero za wananchi ambapo bodaboda waliiomba serikali kuwasaidia fedha ili kutimiza malengo yao ya kununua koster kwa ajili…
June 14, 2025, 10:17 am
Wakulima Karagwe waaswa kufuata kanuni bora za kilimo
Wakulima wa mpunga skimu ya MWISA wilayani Karagwe mkoani Kagera wamepatiwa elimu juu ya kutumia kanuni bora za kilimo ikiwemo kupima afya ya udongo ili kuweza kunufaika na kilimo chao na kukuza uchumi wao. Na :Anold Deogratias Wakulima wilayani Karagwe…
June 14, 2025, 10:09 am
Wanafunzi Mbogwe wasomea chini ya miti
Shule ya msingi Mtakuja kata ya Lulembela wilayani Mbogwe mkoani Geita ina wanafunzi wapatao elfu 1 lakini vyumba vya madarasa havitoshi kulingana na idadi ya wanafunzi. Na Samwel Masunzu- Geita Wanafunzi wa darasa la tano na la sita katika shule…
June 14, 2025, 10:09 am
Sungusungu waaswa kudumisha amani ya nchi
Sherehe za miaka 43 ya Sungusungu mjini Shinyanga zimefanyika mjini Shinyanga kwenye Kata ya Iselamagazi huku wakiaswa kulinda amani ya nchi Na Neema Nkumbi Jeshi la Jadi la Sungusungu Wilaya ya Shinyanga Vijijini Juni 12, 2025 limeadhimisha miaka 43 tangu…