Habari za Jumla
25 June 2025, 12:52 pm
Wananchi tumieni mishati mbadala kuunga mkono juhudi za Serekali.
Jamii nchini imetakiwa kutumia nishati mbadala kwa ajili ya kutunza mazingira na kulinda afya za watumiaji. Hayo yameelezwa na kiongozi wa mbio za mwenge kitaifa Ismail Ali Ussi, wakati akitoa salamu za mwenge katika shehia ya Mkanyageni sambamba na kukabidhi…
18 June 2025, 2:43 pm
Bifu la Mpina na Bashe, Rais Samia apigilia msumari
Maombi hayo kuyaleta mbele ya Rais ni kujitafutia umaarufu na kudhibitisha mbunge hakulifanyia haki jimbo lake ” Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa wilayani Meatu-Simiyu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia suluhu Hassani ameonyesha kukerwa na…
17 June 2025, 5:34 pm
Kiwanda cha Bio-sustain kuzalisha ajira zaidi ya 800 Wilayani Meatu
Maelekezo ya Mh Samia Suluhu Hassan ni kuhakikisha Wizara inatengeneza Mazingira mazuri ya Uwekezaji na ufanyaji Biashara Imeelezwa kuwa zaidi ya ajira 350 za moja kwa moja kwa wazawa na zingine 800 zisizo za moja kwa moja zitazalishwa kutoka kiwanda …
17 June 2025, 1:24 pm
Ucheleweshaji wa leseni kuwa historia, Serikali yaja na mfumo wa haraka
Na Mary Julius. Naibu Waziri wa Wizara ya Ujenzi, Mawasiliano na Uchukuzi, Nadir Abdul-latif Yussuf, amesema Mamlaka ya Leseni na Usalama Barabarani imekamilisha maandalizi ya mfumo mpya wa kidijitali utakaoimarisha utoaji wa matokeo ya majaribio ya udereva ndani ya muda…
17 June 2025, 05:46
Rc dkt Homera apongeza baraza la madiwani kupanda kimapato
Kufuatia tamko la waziri wa TAMISEMI mh Mohamed Mchengerwa kuagizi ifikapo june 20 kuvunjwa kwa mabaraza ya madiwani Mkuu wa mkoa wa Mbeya akutana na madiwani Halmashauri ya jiji la na kuwapongeza Na Ezra Mwilwa Halmashauri ya Jiji la Mbeya…
16 June 2025, 11:43 pm
NSSF Manyara yatoa siku 14 kwa waajiri wadaiwa sugu
Mfuko wa Taifa wa hifadhi ya jamii(NSSF)mkoa wa Manyara unatarajia kuanzisha operesheni maalumu ya ukusanyaji wa madeni kwa waajiri wenye malimbikizo ya michango ili kuhakikisha haki za msingi za wananchama zinalindwa Na Mzidalfa Zaid Waajiri wenye malimbikizo ya michango ya…
16 June 2025, 9:47 PM
Maadhimisho ya mtoto wa Afrika wazazi wakumbushwa wajibu wao
Wazazi, walezi na jamii kwa ujumla wamekumbushwa wajibu wao kwa watoto kwa kuzitambua haki za mtoto ili kuwalinda dhidi ya ukatili na kuwapa haki zao za msingi Na Lilian Martin Katika maadhimisho ya mtoto wa Afrika yaliyofanyika Wilayani Masasi na…
16 June 2025, 6:16 pm
Wanawake Pemba waombwa kujitokeza na kuepuka makosa ya uchaguzi uliopita
Na Is-haka Mohammed Wakati vyama mbali mbali vya siasa vikiwa vinaendelea na michakato mbali mbali ikiwemo ya kupata wagombea watakao viwakilisha vyama hivyo katika uchaguzi Mkuu wa Mwaka huu 2025, wanawake Kisiwani Pemba wameombwa kutorejea makosa yao ya kila mwaka…
16 June 2025, 17:17 pm
Wakulima wa ufuta, korosho wahama chama
Wakulima wa mazao ya ufuta na korosho wa kijiji cha Imekuwa wamekuwa wakipambana uanzishwaji wa chama cha ushirika tangu mwaka 2023 bila mafanikio kwa kile kinachoelezwa kutokidhi vigezo vya unazishaji wake Na Musa Mtepa Baadhi ya wakulima wa mazao ya…
June 14, 2025, 4:22 pm
Wito watolewa kwa wananchi kukata hatimiliki za ardhi
Afisa ardhi wa halmashauri ya mji Kasulu Pesha Jackson ameeleza bado kuna mwitikio mdogo kwa wananchi ndani ya halmashauri ya mji Kasulu katika swala la ukataji wa hatimiliki ukilinganisha na viwanja vyenye sifa ya kukatiwa hati na kuwaomba wananchi kuendelea kujitokeza…