Radio Tadio

Habari za Jumla

29 Agosti 2025, 19:44

Wanafunzi vyuoni wahimizwa kupima Afya zao

kutokana nauwepo wa magonjwa mbalimbli yakuambukiza na yasiyo yakuambukiza vijana wamehimizwa kwenda kufanya vipimo vya Afya zao Na Ezra Mwilwa Wanafunzi waliopo vyuoni wahimizwa kuto kujihusisha na vitendo viovu vinavyo weza kuwasababishia kupata maambukizi ya virusi vya UKIMWI Wito huo…

27/08/2025, 21:19

Wawili wafariki Kasulu chanzo kuhara na kutapika

Kwa mama mwenye mtoto anatakiwa baada ya kumsafisha mtoto kuhakikisha ananawa  mikono vizuri kumkinga mtoto,  hata hivyo viongozi wa taasisi, masoko wanatakiwa kuweka maji tiririka  amesema  mratibu Mwita. Na Irene Charles Wananchi Kasulu watakiwa kuchukua taadhari  ili kuepukana na tatizo…

27 Agosti 2025, 8:16 um

CCM Tabora wasema uteuzi wa wagombea ulifuata haki

Zaituni Juma Chama cha Mapinduzi CCM mkoa wa Tabora kimewataka wanachama kutambua kuwa, mchakato wa kuwapata wagombea wa nafasi ya udiwani na ubunge ni wa haki na hauna upendeleo. Katibu wa siasa na uenezi wa CCM mkoa wa Tabora IDDY…

Agosti 25, 2025, 12:58 um

DC Nyasa afunga mafunzo ya jeshi la akiba

Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mhe.Peres Magiri leo tarehe 22 Agosti,2025 amefunga Mafunzo ya Jeshi la akiba yaliyoanza rasmi tarehe 9 Aprili,2025 yakiwa na Wanafunzi 16 Mkuu wa Wilaya ya Nyasa Mhe.Peres Magiri leo tarehe 22 Agosti,2025 amefunga Mafunzo ya…

22/08/2025, 13:16

Maabara ya utafiti wa madini yaanza kujengwa Geita

Ujenzi wa maabara ya madini Geita ni miongoni mwa maabara za utafiti wa madini kubwa tatu zinazojengwa nchini Tanzania Na: Ester Mabula Kutokana na changamoto ya wachimbaji wa madini kutoka mikoa ya kanda ya ziwa kusafiri umbali mrefu hadi Dodoma…

20 Agosti 2025, 11:25 um

Ofisi ya GIZ yazinduliwa Katavi

“ofisi hiyo itatumika na wadau mbalimbali katika kutekeleza mradi unaolenga kutatua changamoto mbalimbali hasa za uhifadhi wa maji“ Na Anna Milanzi -KataviShirika lisilo la kiserikali  kutoka nchini Ujerumani GIZ limezindua ofisi yake katika jengo la Mpanda Plaza manispaa ya Mpanda…

20 Agosti 2025, 8:39 um

Wananchi Tabora watakiwa kuwabaini wasiojua kusoma na kuandika

Wilson Makala Wananchi mkoani Tabora wametakiwa kushirikiana na Serikali kuwabaini watu wasiojua kusoma, kuandika na kuhesabu ili kuwawezesha kupata elimu ya watu wazima na usaidizi wa kitaaluma, hatua itakayoongeza idadi ya watu wenye elimu ya ´K tatu´ yaani kusoma, kuandika…