Radio Tadio

Habari za Jumla

18 June 2025, 2:43 pm

Bifu la Mpina na Bashe, Rais Samia apigilia msumari

Maombi hayo kuyaleta mbele ya Rais ni kujitafutia umaarufu na kudhibitisha mbunge hakulifanyia haki jimbo lake ” Rais Dkt Samia Suluhu Hassan akiwa wilayani Meatu-Simiyu Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe Dkt Samia suluhu Hassani ameonyesha kukerwa na…

16 June 2025, 11:43 pm

NSSF Manyara yatoa siku 14 kwa waajiri wadaiwa sugu

Mfuko wa Taifa wa hifadhi ya jamii(NSSF)mkoa wa Manyara unatarajia kuanzisha operesheni maalumu ya ukusanyaji wa madeni kwa waajiri wenye malimbikizo ya michango ili kuhakikisha haki za msingi za wananchama zinalindwa Na Mzidalfa Zaid Waajiri wenye malimbikizo ya michango ya…

16 June 2025, 17:17 pm

Wakulima wa ufuta, korosho wahama chama

Wakulima wa mazao ya ufuta na korosho wa kijiji cha Imekuwa wamekuwa wakipambana uanzishwaji wa chama cha ushirika tangu mwaka 2023 bila mafanikio kwa kile kinachoelezwa kutokidhi vigezo vya unazishaji wake Na Musa Mtepa Baadhi ya wakulima wa mazao ya…

June 14, 2025, 4:22 pm

Wito watolewa kwa wananchi kukata hatimiliki za ardhi

Afisa ardhi wa halmashauri ya mji Kasulu  Pesha Jackson ameeleza bado kuna mwitikio mdogo kwa wananchi ndani ya halmashauri ya mji Kasulu katika swala la ukataji wa hatimiliki ukilinganisha na viwanja vyenye sifa ya kukatiwa hati na kuwaomba wananchi kuendelea kujitokeza…