Radio Tadio

Habari za Jumla

24 Febuari 2022, 4:36 um

Siku ya wanawake duniani jamii yaaswa kujitokeza kuiadhimisha

Na,Rosemary Bundala Kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo hufanyika tarehe nane mwezi wa tatu kila mwaka jamii imeaswa kujitokeza katika kuadhimisha maadhimisho hayo Hayo yamezungumzwa na afisa maendeleo ya jamii kutoka wilaya ya uvinza Mkoani Kigoma bi MASTIDIYA NDYETABULA wakati…

22 Febuari 2022, 8:41 mu

Ubovu wa barabara kikwazo katika maendeleo

RUNGWE -MBEYA Wafanyabiashara pamoja na wakazi wa kijiji cha Mpandapanda kilichopo kata ya Kiwira wilayani Rungwe ambapo wameeleza namna wanavyoshindwa kufanya maendeleo ya kiuchumi kutokana na uharibifu wa miundombinu ya barabara. wakibainisha hayo baadhi ya wakazi pamoja na  wafanyabiashara wamesema…

21 Febuari 2022, 9:45 mu

Jamii yatakiwa kutowatenga wagonjwa wa fistula

RUNGWE-MBEYA NA:BETRIDA ANYEGILE Wito umetolewa kwa jamii wilayani Rungwe mkoani Mbeya kuachana na dhana potofu juu ya ugonjwa wa Fistula kwani ugonjwa huo unatibika bure bila mgonjwa kugharamia gharama yoyote. Akizungumza kwa njia ya Simu na Chai FM Program manager…

21 Febuari 2022, 8:14 mu

Malezi mabaya kwa watoto chanzo cha matukio ya uhalifu

RUNGWE-MBEYA Malezi mabaya kwa watoto wilayani Rungwe Mkoani Mbeya imeelezwa kuwa chanzo cha matukio mbalimbali ya uhalifu ikiwemo unyanyasaji wa kijinsia na mauaji. Ameyasema hayo Mch wa kanisa la Baptist Tukuyu mjini Mch. .HALLENCE MWASOMOLA, wakati akizungumza na redio chai…

20 Febuari 2022, 5:08 um

Wananchi wamshukuru Rais Samia fedha ujenzi shule ya sekondari

RUNGWE-MBEYA Umoja na ushirikiano  wa wakazi wa kata ya Msasani wilayani Rungwe umetajwa kuwa chanzo cha kumalizwa kwa ujenzi wa shule ya sekondari Msasani inayojengwa katika mtaa wa Bulongwe. Ameyasema hayo diwani wa kata ya msasani mh ROBIN MWAKAPESA, wakati…

16 Febuari 2022, 10:03 mu

Vijana wachangamkie mikopo ya halmashauri

RUNGWE-MBEYA. NA:JUDITH MWAKIBIBI Wananchi wilayani Rungwe mkoani Mbeya wametakiwa  kujiunga na vikundi mbalimbali ilikuweza kunufaika na mikopo inayotolewa na Halmashauri ikiwa ni vikundi vya watu wenye ulemavu ,wanawake na vijana. Akizungumza na redio Chai FM ofisini kwake Mratibu Wa Dawati …