Habari za Jumla
28 Febuari 2022, 3:45 um
Wadau wa afya waombwa kujitokeza kusaidia upatikanaji wa vifaa vya kulel…
Taasisi na wadau mbalimbali wa afya wameombwa kujitokeza kusaidia upatikanaji wa vifaa vya kulelea watoto njiti katika hospitali ya wilaya ya Maswa ili kupunguza vifo vya Watoto na kuiongezea hospitali hiyo uwezo wa kuwahudumia watoto wengi wanaohitaji huduma hiyo kwa…
25 Febuari 2022, 5:50 um
Serikali Mkoani Simiyu kujenga Mabweni ya wanafunzi wa kike il…
Serikali Mkoani Simiyu inatarajia kutumia zaidi ya shilingi Bilion 6 kujenga mabweni kwa ajili ya kuwanusuru na Mimba za Utotoni watoto wanaotoka kwenye kaya masikini wanaosoma Shule za Sekondari Mkoani hapa. Akizungumza na wakazi wa Wilayani Maswa Mkoani Simiyu kwenye…
25 Febuari 2022, 12:30 um
Katibu Tawala Wilaya ya Maswa awaasa viongozi kuwatumikia …
Katibu Tawala wilaya ya Maswa Agnes Alex amewataka viongozi waliopewa Dhamana ya Kuwatumikia wananchi wanawatumikia kikamilifu ili kukidhi matarajio yao. Katibu Tawala ameyasema hayo wakati wa Uzindunduzi wa Kikao cha Uraghbidhi kilichofanyika Februari 22, katika Ukumbi wa Halmashauri ya Maswa …
25 Febuari 2022, 12:08 um
SHIRIKA LA TWAWEZA E.AFRIKA WAKISHIRIKIANA NA SHIRIKA LA KASODEFA LA WILAYANI MA…
Shirika la Twaweza wakishirikiana na shirika la Kasodefo la Wilayani Maswa Mkoani Simiyu February 21 mwaka huu wamefanya kikao cha pamoja na waraghbishi toka kata 18. Huku kikao hicho kikilenga kufanyia tathmini ya awali ya shughuli za kiraghbishi zinazotekelezwa katika…
24 Febuari 2022, 4:36 um
Siku ya wanawake duniani jamii yaaswa kujitokeza kuiadhimisha
Na,Rosemary Bundala Kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo hufanyika tarehe nane mwezi wa tatu kila mwaka jamii imeaswa kujitokeza katika kuadhimisha maadhimisho hayo Hayo yamezungumzwa na afisa maendeleo ya jamii kutoka wilaya ya uvinza Mkoani Kigoma bi MASTIDIYA NDYETABULA wakati…
23 Febuari 2022, 5:21 mu
Ruzuku kwa wakulima wa maparachichi itasaidia uzalishaji wa tija.
RUNGWE-MBEYA Mkuu wa walaya ya Rungwe Mkoani Mbeya Dkt VICENT ANNEY ameuomba uongozi wa chama cha ushirika UWAMARU [AMCOS] kuwa na utaratibu wa kutoa ruzuku kwa wakulima wa maparachichi ili kuweza kuzalisha kwa tija. Ametoa kauli hiyo kwenye kikao cha…
22 Febuari 2022, 6:02 um
Taasisi ya TWAWEZA yatoa Mafunzo Kwa Waraghabishi Wilayani Mas…
Jumla ya Waraghabishi Thelathini na sita (36) kutoka kata 18 za wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu wamepewa Mafunzo ya kuwawezesha kuibua changamoto na Vipaumbele vya Maendeleo kwenye maeneo ya vijiji vyao. Akizungumza na Sibuka Fm Meneja Programu kutoka Shrika la …
22 Febuari 2022, 8:41 mu
Ubovu wa barabara kikwazo katika maendeleo
RUNGWE -MBEYA Wafanyabiashara pamoja na wakazi wa kijiji cha Mpandapanda kilichopo kata ya Kiwira wilayani Rungwe ambapo wameeleza namna wanavyoshindwa kufanya maendeleo ya kiuchumi kutokana na uharibifu wa miundombinu ya barabara. wakibainisha hayo baadhi ya wakazi pamoja na wafanyabiashara wamesema…
21 Febuari 2022, 3:47 um
Simiyu:serikali ya mkoa wa Simiyu kufufua viwanda viwili vya pamba
Na mwandishi,Daniel Manyanga,Simiyu Serikali mkoani Simiyu inatarajia kufufua viwanda viwili ambavyo vilijengwa wakati wa ukoloni lengo likiwa ni kuwawezesha wananchi hususani wakulima wa zao la pamba kupata huduma na soko la karibu. Hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa Simiyu…
21 Febuari 2022, 9:45 mu
Jamii yatakiwa kutowatenga wagonjwa wa fistula
RUNGWE-MBEYA NA:BETRIDA ANYEGILE Wito umetolewa kwa jamii wilayani Rungwe mkoani Mbeya kuachana na dhana potofu juu ya ugonjwa wa Fistula kwani ugonjwa huo unatibika bure bila mgonjwa kugharamia gharama yoyote. Akizungumza kwa njia ya Simu na Chai FM Program manager…