Habari za Jumla
25 Febuari 2022, 12:08 um
SHIRIKA LA TWAWEZA E.AFRIKA WAKISHIRIKIANA NA SHIRIKA LA KASODEFA LA WILAYANI MA…
Shirika la Twaweza wakishirikiana na shirika la Kasodefo la Wilayani Maswa Mkoani Simiyu February 21 mwaka huu wamefanya kikao cha pamoja na waraghbishi toka kata 18. Huku kikao hicho kikilenga kufanyia tathmini ya awali ya shughuli za kiraghbishi zinazotekelezwa katika…
24 Febuari 2022, 4:36 um
Siku ya wanawake duniani jamii yaaswa kujitokeza kuiadhimisha
Na,Rosemary Bundala Kuelekea siku ya wanawake duniani ambayo hufanyika tarehe nane mwezi wa tatu kila mwaka jamii imeaswa kujitokeza katika kuadhimisha maadhimisho hayo Hayo yamezungumzwa na afisa maendeleo ya jamii kutoka wilaya ya uvinza Mkoani Kigoma bi MASTIDIYA NDYETABULA wakati…
23 Febuari 2022, 5:21 mu
Ruzuku kwa wakulima wa maparachichi itasaidia uzalishaji wa tija.
RUNGWE-MBEYA Mkuu wa walaya ya Rungwe Mkoani Mbeya Dkt VICENT ANNEY ameuomba uongozi wa chama cha ushirika UWAMARU [AMCOS] kuwa na utaratibu wa kutoa ruzuku kwa wakulima wa maparachichi ili kuweza kuzalisha kwa tija. Ametoa kauli hiyo kwenye kikao cha…
22 Febuari 2022, 6:02 um
Taasisi ya TWAWEZA yatoa Mafunzo Kwa Waraghabishi Wilayani Mas…
Jumla ya Waraghabishi Thelathini na sita (36) kutoka kata 18 za wilaya ya Maswa Mkoani Simiyu wamepewa Mafunzo ya kuwawezesha kuibua changamoto na Vipaumbele vya Maendeleo kwenye maeneo ya vijiji vyao. Akizungumza na Sibuka Fm Meneja Programu kutoka Shrika la …
22 Febuari 2022, 8:41 mu
Ubovu wa barabara kikwazo katika maendeleo
RUNGWE -MBEYA Wafanyabiashara pamoja na wakazi wa kijiji cha Mpandapanda kilichopo kata ya Kiwira wilayani Rungwe ambapo wameeleza namna wanavyoshindwa kufanya maendeleo ya kiuchumi kutokana na uharibifu wa miundombinu ya barabara. wakibainisha hayo baadhi ya wakazi pamoja na wafanyabiashara wamesema…
21 Febuari 2022, 3:47 um
Simiyu:serikali ya mkoa wa Simiyu kufufua viwanda viwili vya pamba
Na mwandishi,Daniel Manyanga,Simiyu Serikali mkoani Simiyu inatarajia kufufua viwanda viwili ambavyo vilijengwa wakati wa ukoloni lengo likiwa ni kuwawezesha wananchi hususani wakulima wa zao la pamba kupata huduma na soko la karibu. Hayo yameelezwa na mkuu wa mkoa wa Simiyu…
21 Febuari 2022, 9:45 mu
Jamii yatakiwa kutowatenga wagonjwa wa fistula
RUNGWE-MBEYA NA:BETRIDA ANYEGILE Wito umetolewa kwa jamii wilayani Rungwe mkoani Mbeya kuachana na dhana potofu juu ya ugonjwa wa Fistula kwani ugonjwa huo unatibika bure bila mgonjwa kugharamia gharama yoyote. Akizungumza kwa njia ya Simu na Chai FM Program manager…
21 Febuari 2022, 8:14 mu
Malezi mabaya kwa watoto chanzo cha matukio ya uhalifu
RUNGWE-MBEYA Malezi mabaya kwa watoto wilayani Rungwe Mkoani Mbeya imeelezwa kuwa chanzo cha matukio mbalimbali ya uhalifu ikiwemo unyanyasaji wa kijinsia na mauaji. Ameyasema hayo Mch wa kanisa la Baptist Tukuyu mjini Mch. .HALLENCE MWASOMOLA, wakati akizungumza na redio chai…
20 Febuari 2022, 5:08 um
Wananchi wamshukuru Rais Samia fedha ujenzi shule ya sekondari
RUNGWE-MBEYA Umoja na ushirikiano wa wakazi wa kata ya Msasani wilayani Rungwe umetajwa kuwa chanzo cha kumalizwa kwa ujenzi wa shule ya sekondari Msasani inayojengwa katika mtaa wa Bulongwe. Ameyasema hayo diwani wa kata ya msasani mh ROBIN MWAKAPESA, wakati…
16 Febuari 2022, 10:03 mu
Vijana wachangamkie mikopo ya halmashauri
RUNGWE-MBEYA. NA:JUDITH MWAKIBIBI Wananchi wilayani Rungwe mkoani Mbeya wametakiwa kujiunga na vikundi mbalimbali ilikuweza kunufaika na mikopo inayotolewa na Halmashauri ikiwa ni vikundi vya watu wenye ulemavu ,wanawake na vijana. Akizungumza na redio Chai FM ofisini kwake Mratibu Wa Dawati …