Habari za Jumla
20 Januari 2023, 3:57 mu
Madereva Bajaji Walia na Bima
KATAVI Baadhi ya madereva bajaji mkoani Katavi wameeleza namna ambavyo bima za vyombo vya moto haziwasaidii pindi yanapotokea majanga ya barabarani. Wameyaeleza hayo wakati wakipewa elimu juu ya umuhimu wa bima za vyombo vyao vya moto ambapo wamesema aina hiyo…
Januari 19, 2023, 8:03 mu
AFUNGWA MIAKA 30 WILAYANI LUDEWA KWA KOSA LA UBAKAJI
Mahakama Wilaya ya Ludewa Mkoani Njombe Januari 17, 2023 imemhukumu kifungo cha Miaka 30 jela Daudi David Mligo, mwenye umri wa miaka 26, mkazi wa Ludewa Mjini baada ya kukutwa na kosa la ubakaji. Mnamo Julai 16, 2022 majira ya saa tisa na dakika…
Januari 19, 2023, 7:53 mu
Wajanja wa kurubuni Mbolea kushughulikiwa Njombe
Mkuu wa mkoa wa Njombe Anthony Mtaka akishirikiana na Jeshi la Polisi mkoani hapa, wamefika katika nyumba ambayo mfanyabiashara wa mbolea amekuwa akitumia kuchakachua bidhaa hiyo. Mtaka amesema katika nyumba hiyo isiyo na umeme, wamebaini mifuko ya makampuni mbalimbali ya mbolea, majenereta…
Januari 18, 2023, 11:07 mu
Ujenzi Kituo cha Afya Lupalilo, DC ahimiza Usimamizi
Ujenzi wa Kituo cha Afya Lupalilo awamu ya pili umefikia hatua nzuri baada ya kuwa katika hatua za mwisho wa ujenzi. Kituo hicho ujenzi wake ulianza kwa wananchi kujenga Jengo la wagonjwa wa nje na Serikali ikaunga mkono kwa…
Januari 18, 2023, 10:39 mu
Elimu itolewe utunzaji wa Mazingira Makambako-Njombe
Halmashauri ya mji wa Makambako imetakiwa kutoa elimu kuhusiana na usafi wa mazingira ili kuhakikisha maeneo yote yanafanyiwa usafi lengo likiwa ni kukabiliana na magonjwa ambukizi. Wakizungumza na Kituo hiki baadhi ya wananchi wa mtaa wa rajabu mahakamani uliopo…
Januari 18, 2023, 10:04 mu
Waziri amfukuza aliyetupa Parachichi Njombe
WAZIRI wa Kilimo, Hussein Bashe ameagiza kukamatwa kwa mmiliki wa Kampuni ya Candia Fresh pamoja na kuifunga kampuni hiyo, kwa kile alichoeleza kuwa inanunua parachichi ambazo hazijakomaa. Bashe amesema kuwa kampuni hiyo imekuwa ikinunua parachichi hizo changa na kisha…
17 Januari 2023, 6:04 um
Magari ya Shule Kubeba Wanafunzi Kuliko Uwezo.
MPANDA Kutokana na kuendelea kukithiri kwa changamoto ya magari ya shule kubeba wanafunzi idadi kubwa kuliko uwezo, wananchi mkoani Katavi wamewataka wamiliki wa shule kuzingatia sheria zinavowataka. Wakizungumza na mpanda radio fm wananchi wamesema kuwa wameshuhudia baadhi ya magari hayo…
17 Januari 2023, 5:49 um
Kilio Watendaji Uuzaji Pombe Muda wa Kazi
MPANDA Baadhi ya wananchi Wilaya ya Mpanda Mkoani Katavi wamesema kuwa kuendelea kuwepo kwa wafanyabiashara wanaofungua kumbi za starehe na pombe kinyume na muda uliopangwa unachangiwa na watendaji wasio wajibika katika usimamizi wa sheria Wakizungumza na mpanda radio fm wananchi…
17 Januari 2023, 5:42 um
Wananchi Waaswa Kuzingatia Usafi Kipindi cha Mvua
MPANDA Wananchi Manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wameshauriwa kuzingatia kanuni za usafi kipindi hiki cha masika ambapo mvua zinaendelea kunyesha ili kujiepusha na magojwa ya mlipuko. Wakizungumza na mpanda radio fm wakazi wa manispaa ya mpanda wamesema ipo tabia kwa…
17 Januari 2023, 5:39 um
Wauza Vyakula Waaswa Kuzingatia Usafi.
KATAVI Wananchi manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamewaomba Wauzaji wa vyakula migahawani kuzingatia kanuni za usafi ili kuepukana na Magonjwa ya milipuko yanayoweza kuwapata Wateja. Wakizungumza na Mpanda Radio wamesema kuwa kuna baadhi ya wahudumu wa migahawa hawazingazii kanuni za…