Habari za Jumla
30 Januari 2023, 1:45 um
Wakulima watakiwa kulima kilimo cha Ikolojia.
Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa wakulima wilaya ya Kilosa wametakiwa kulima kilimo ikolojia ambacho ni Kilimo rafiki kwa mazingira na kinasaidia kupunguza gharama za kununua madawa na mbolea kwa ajili ya kustawisha mashamba na kuua wadudu kwenye mazao.…
30 Januari 2023, 12:32 um
Apatikana akiwa amefariki eneo la mpakani
Na: Hamza Ally Taarifa za awali zinadai kuwa mwili wa Elvida Anael maarufu kwa jina la Mama Chamicha, ambaye ni mstaafu wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani idara ya Mifugo toka mwaka 2020, umekutwa maeneo ya mpakani mwa Mkoa wa…
30 Januari 2023, 9:32 mu
Waziri Ndaki awataka wafugaji kubadilika.
Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Mashimba Ndaki (Mb)amewataka wafugaji kubadilika kwa kuacha mfumo wa ufugaji wa mazoea kwa kutegemea ardhi ya Jumuiya na badala yake wawe na eneo la kufugia Mifugo Yao eneo ambalo atatumia liwe linatambulika kisheria. Waziri…
30 Januari 2023, 7:00 mu
Shirika la ndege la KLM laiomba Radhi Tanzania
Shirika la ndege la KLM limetoa ufafanuzi na kuomba radhi juu ya kusitisha safari zake za ndege kuja Tanzania pamoja na kutoa taarifa ya uwepo wa machafuko Nchini. Kupitia barua ya Meneja wa Air France-KLM Tanzania, kwa Waziri wa Ujenzi…
Januari 29, 2023, 8:42 mu
Watendaji wa Kata simamieni Wanafunzi waende Shule-Dc Sweda
Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amesema kiwango cha wanafunzi Tarafa ya Ikuwo kuripoti shule ni hafifu Ameagiza Afisa Tarafa, watendaji wa kata kufanya msako maalumu kuhakikisha wanafunzi ambao hawajaripoti kidato cha kwanza mpaka sasa wanaripoti shule na…
Januari 29, 2023, 8:12 mu
Tumieni Vishikwambi kwa manufaa ya Elimu- Mkurugenzi Makete
Mkurugenzi Mtendaji Halashauri ya Wilaya Makete William Makufwe amewataka walimu kutunza Vishikwambi walivyopewa na kuvitumia kwa lengo lililokusudiwa. Makufwe ametoa rai hiyo wakati wa makabidhiano ya Vishikwambi hivyo yaliyofanyika mwishoni mwa mwezi huu Januari, 2023 Ameongeza kuwa kwa yeyote atakayebainika…
Januari 29, 2023, 8:02 mu
Vifaa vya Huduma ya Dharura vimeunganishwa Hospitali ya Wilaya Makete
Zoezi la kufunga vifaa tiba vya kisasa jengo la dharura (EMD) Hospital ya Wilaya ya Makete Mkoa wa Njombe limefanywa na wataalamu kwa lengo la kuanza kutoa huduma za Afya Hospitalini hapo. Serikali imetoa Milioni 300 kujenga jengo hilo la…
Januari 29, 2023, 7:54 mu
UWT Njombe wapanda miti Ilumaki Sekondari
Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Njombe wamefanya Maadhimisho ya miaka 46 ya Chama cha Mapinduzi Wilayani Makete kwa kupanda miti kuzunguka eneo la shule ya Sekondari Ilumaki iliyopo Kata ya Lupalilo Wilaya ya Makete. Zoezi hilo limefanywa…
Januari 29, 2023, 7:43 mu
Mfuko wa Jimbo Makete waongezeka kutoka Milioni 36 hadi Milioni 59
Serikali imeongeza mfuko wa Jimbo la Makete kutoka Milioni 36,282,000 kwa mwaka 2021/2022 hadi kufikia Milioni 59,647,000 kwa mwaka 2022/2023. Kupitia Kikao cha Baraza maalumu la Madiwani kilichofanyika leo Tarehe 27 Januari 2023 cha kupitisha Bajeti ya mwaka wa fedha…
Januari 27, 2023, 10:56 mu
Nchi ya Haiti yaja Njombe kujifunza Mbinu za utoaji wa Chanjo ya Uvico 19
Serikali ya Hait toka Amerika ya kusini imetuma wajumbe wake kuja kujifunza katika wilaya ya Njombe namna ilivyofanikiwa katika utekelezaji wa utoaji wa Chanjo ya UVICO 19 kupitia kampeni maalum ya kijiji kwa kijiji chini ya mkuu wa Wilaya ya…