Radio Tadio

Habari za Jumla

30 Januari 2023, 1:45 um

Wakulima watakiwa kulima kilimo cha Ikolojia.

Kutokana na mabadiliko ya hali ya hewa wakulima wilaya ya Kilosa wametakiwa kulima kilimo ikolojia ambacho ni Kilimo rafiki kwa mazingira na kinasaidia kupunguza gharama za kununua madawa na mbolea kwa ajili ya kustawisha mashamba na kuua wadudu kwenye mazao.…

30 Januari 2023, 12:32 um

Apatikana akiwa amefariki eneo la mpakani

Na: Hamza Ally Taarifa za awali zinadai kuwa mwili wa Elvida Anael maarufu kwa jina la Mama Chamicha, ambaye ni mstaafu wa Halmashauri ya Manispaa ya Mtwara-Mikindani idara ya Mifugo toka mwaka 2020, umekutwa maeneo ya mpakani mwa Mkoa wa…

30 Januari 2023, 9:32 mu

Waziri Ndaki awataka wafugaji kubadilika.

Waziri wa Mifugo na Uvuvi Mheshimiwa Mashimba Ndaki (Mb)amewataka wafugaji kubadilika kwa kuacha mfumo wa ufugaji wa mazoea kwa kutegemea ardhi ya Jumuiya na badala yake wawe na eneo la kufugia Mifugo Yao eneo ambalo atatumia liwe linatambulika kisheria. Waziri…

30 Januari 2023, 7:00 mu

Shirika la ndege la KLM laiomba Radhi Tanzania

Shirika la ndege la KLM limetoa ufafanuzi na kuomba radhi juu ya kusitisha safari zake za ndege kuja Tanzania pamoja na kutoa taarifa ya uwepo wa machafuko Nchini. Kupitia barua ya Meneja wa Air France-KLM Tanzania, kwa Waziri wa Ujenzi…

Januari 29, 2023, 8:42 mu

Watendaji wa Kata simamieni Wanafunzi waende Shule-Dc Sweda

Mkuu wa Wilaya ya Makete Mhe. Juma Sweda amesema kiwango cha wanafunzi Tarafa ya Ikuwo kuripoti shule ni hafifu Ameagiza Afisa Tarafa, watendaji wa kata kufanya msako maalumu kuhakikisha wanafunzi ambao hawajaripoti kidato cha kwanza mpaka sasa wanaripoti shule na…

Januari 29, 2023, 8:12 mu

Tumieni Vishikwambi kwa manufaa ya Elimu- Mkurugenzi Makete

Mkurugenzi Mtendaji Halashauri ya Wilaya Makete William Makufwe amewataka walimu kutunza Vishikwambi walivyopewa na kuvitumia kwa lengo lililokusudiwa. Makufwe ametoa rai hiyo wakati wa makabidhiano ya Vishikwambi hivyo yaliyofanyika mwishoni mwa mwezi huu Januari, 2023 Ameongeza kuwa kwa yeyote atakayebainika…

Januari 29, 2023, 7:54 mu

UWT Njombe wapanda miti Ilumaki Sekondari

Wanawake wa Chama cha Mapinduzi (UWT) Mkoa wa Njombe wamefanya Maadhimisho ya miaka 46 ya Chama cha Mapinduzi Wilayani Makete kwa kupanda miti kuzunguka eneo la shule ya Sekondari Ilumaki iliyopo Kata ya Lupalilo Wilaya ya Makete. Zoezi hilo limefanywa…