Habari za Jumla
21/10/2025, 15:53
Wizara ya Habari yalaani vitendo vya ukiukwaji wa maadili mtandaoni
Picha ni taarifa kwa umma kutoka Wizara ya Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo. Picha na Selemani Kodima. Wizara imekumbusha kuwa usambazaji wa maudhui yasiyo na maadili ni kosa kisheria chini ya Sheria ya Makosa ya Mtandao ya mwaka 2015, na…
20/10/2025, 22:23
Dkt. Nanauka aahidi kuimarisha uchumi Mtwara
Dkt. Joel Nanauka, mgombea ubunge Mtwara Mjini kwa tiketi ya CCM, ameahidi kuimarisha uchumi wa mji huo, kukuza ajira na kuwawezesha wajasiriamali endapo atachaguliwa. Pia amesisitiza utekelezaji wa miradi mikubwa ya maendeleo kwa kushirikiana na Serikali Na Musa Mtepa Mtwara,…
20 Oktoba 2025, 5:01 um
Mwigulu “Puuzieni taarifa zinazoenezwa kwenye mitandao ya kijamii”
Waziri wa fedha Mwigulu Nchemba. Picha na mtandao ” Wengine wanasema serikali imeishiwa hela “ Na Restuta Nyondo Serikali imesema kuwa Tanzania ina akiba ya fedha kiasi cha zaidi ya trilion 16 kiwango ambacho hakijawahi kufikiwa na hakuna nchi yeyote…
20/10/2025, 15:46
Makosa ya maadili, utoro na wizi yatawala rufaa 108 za watumishi wa umma
Picha ni Kaimu Katibu Mkuu wa Tume ya Utumishi wa Umma John Mbisso, katika mkutano wa kwanza wa mwaka wa fedha 2025/26 uliofanyika jijini Dodoma. Picha na Selemani Kodima. Katika mkutano wa kwanza wa mwaka wa fedha 2025/26 uliofanyika jijini…
20/10/2025, 10:38
Wananchi Qash waahidiwa maji na barabara
Wananchi wa kata ya Qash na Vitongoji vyake iliyopo Wilayani Babati mkoani Manyara wameahidiwa maji safi na salama pamoja na ujenzi wa Barabara itakayounganisha maeneo mbali mbali ya kata hiyo na Kata nyingine za jirani. Hayo yamebainishwa na mgombea ubunge…
19/10/2025, 21:35
Uthubutu wa wanawake katika uchaguzi 2025 waandika rekodi mpya
Na Ivan Mapunda Kwa mara ya kwanza katika historia ya siasa za vyama vingi nchini Tanzania, wagombea Urais wanawake wamejitokeza kwa wingi na kwa nafasi ya juu ya kisiasa kuliko wakati mwingine wowote. Uchaguzi mkuu wa Tanzania mwaka huu umeweka…
16 Oktoba 2025, 23:33
Tanzania na UNHCR kufuta hadhi ya ukimbizi kwa wakimbizi wa Burundi
Licha ya Serikali na shirika la umoja wa mataifa la kuhudumia wakimbizi UNHCR kuhamasisha wakimbizi waliopo katika kambi ya wakimbizi Nyarugusu tangu mwaka 2017 na kuonekana zoezi la kurejea nchini kwao kwa hiari kusuasua sasa mwarobaini wa kuwarudisha wakimbizi hao…
16/10/2025, 14:49
Mchango wa wanaume ni chachu ya ushindi kwa wanawake 2025
Na Ivan Mapunda. Zanzibar ya sasa inashuhudia mabadiliko makubwa katika ushiriki wa wanawake katika uongozi, ikilinganishwa na enzi za zamani. Kwa mara ya kwanza tangu Mapinduzi ya 1964, wanawake wanashikilia nafasi muhimu, ikiwa ni pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi na…
13/10/2025, 16:34
Ameir awataka wazanzibari kujiandaa kwa Posho ya laki tano
Mgombea wa urais wa Zanzibar kwa tiketi ya Chama cha Demokrasia Makini, Ameir Hassan Ameir, amesema mpango wa kutoa posho ya shilingi 500,000 kwa kila Mzanzibari kila mwezi si ndoto bali ni dira inayotekelezeka kwa kupanga vipaumbele vya maendeleo na…
11 Oktoba 2025, 11:08 mu
Barabara za mitaa zatajwa kipaumbele ACT-Wazalendo Mbasa
ACT-Wazalendo kupitia Mgombea Udiwani wa Kata ya Mbasa amesema Mbasa sio sehemu ya kushindwa kupitika Na Katalina Liombechi Mgombea udiwani wa Kata ya Mbasa kupitia Chama cha ACT-Wazalendo, Goodluck Msowoya, amezindua rasmi kampeni zake kuelekea Uchaguzi Mkuu utakaofanyika Oktoba 29,…