Radio Tadio

Habari za Jumla

August 16, 2025, 12:59 pm

Kodi zahatarisha biashara mpaka wa Tunduma

Wafanyabiashara Tunduma waomba serikali kuboresha mfumo wa kodi mpakani ili kurahisisha biashara na kuongeza ushindani. Na Emmanuel Mkondya Wafanyabishara wa Tunduma wameiomba kuweka mifumo rafiki ya kodi katika  mpaka wa Tanzania na Zambia ili waweze kunufaika na bishara ya mpakani…

15 August 2025, 6:57 pm

Waziri Mavunde azindua chumvi lishe ya mifugo Nyanza Uvinza

Waziri wa madini Athony Mavunde pamoja na watumishi wengine wa serikali wakikagua chumvi inayodhalishwa katika kiwanda cha nyanza salt uvinza Waziri mavunde amesema Kiwanda cha Nyanza kina msaada mkubwa katika kuchangia pato la taifa na kuzindua chumvi lishe ya wanyama…

15 August 2025, 5:04 pm

Wazazi, walezi waleeni watoto katika maadili

Mkuu wa dawati jinsia na watoto Katavi Judith Mbukwa. Picha na Anna Mhina “Tutengeneze ukaribu na watoto wetu kutawajengea usalama zaidi” Na Roda Elias Wazazi  katika manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wametakiwa kuhakikisha wanasimamia ndoto za watoto ili ziweze kutimia.…

August 13, 2025, 7:11 pm

BOT yatoa agizo kuhusu utunzaji wa noti

Na Mwandishi wetu BENKI Kuu ya Tanzania (BOT) Kanda ya Nyanda za Juu Kusini, imewasihi Wakazi wa mikoa ya Nyanda za Juu kuzitunza vizuri fedha aina ya noti ili kutekeleza sheria za nchi. Meneja Msaidizi idara ya uchumi na takwimu…

5 August 2025, 5:45 pm

Dosari karatasi za kupigia kura zakwamisha uchaguzi

Amesema hitilafu katika uchapishaji wa makaratasi ya kupigia kura kwa baadhi ya majina ya wagombea kukosewa na kutoonekana imesababisha zoezi hilo kutofanyika. Na Kitana Hamis.Katibu Chama Cha Mapinduzi (CCM ) Mkoa wa Morogoro Nuru Ngereja ametolea ufafanuzi sababu za kata…

5 August 2025, 17:17

Waziri wa zamani wa fedha ateuliwa kuwa Waziri Mkuu Burundi

Rais wa Jamhuri ya Burundi Evariste Ndayishimiye amemteua Nestor Ntahontuye kuwa Waziri Mkuu wa nchi hiyo Na Bukuru Elias Daniel Waziri wa zamani wa fedha na hazina wa Burundi Nestor Ntahontuye ameteuliwa kuwa waziri mkuu wa Burundi katika mabadiliko mapya…

5 August 2025, 06:50

Askofu Pangani awataka waumini kuwana ushirikiano

kutokana na ushirikiano wa kanisa la Moravian Tanzania kuwa naushikiano na mataifa mengine katika kuhudumua kanisa waumini wametakiwa kutoa ushirikiano kwa watumishi wanao toka nchi za nje na ndani. Na Ezra Mwilwa Askofu wa kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la…

4 August 2025, 11:27 pm

Kaspar Mmuya ashinda kwa kishindo kura za Maoni Ruangwa

Mgombea wa Ubunge CCM, Kaspar Kaspar Mmuya, ameibuka kidedea katika kura za maoni jimbo la Ruangwa, akijizolea kura 5,966 kati ya kura halali 9,547, leo Agosti 4. Mmuya amewashinda wapinzani wake watatu kwa mbali ikiwa ni Ushindi huu unaimarisha nafasi ya Mmuya kupeperusha bendera ya…