Elimu
23 Januari 2023, 8:44 mu
Wazazi wapewa siku 4 Kuepeleka Watoto Shule
Mkuu wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi ametoa siku 4 Kwa wazazi na walezi kata ya mandawa na chibula kupeleka watoto ambao hawajaenda shule la sivyo karandinga kuwapitia. Ngoma amezungumza hayo katika Ziara yake kata Kwa kata baada ya kupita…
21 Januari 2023, 8:34 um
Fahamu Matumizi Sahihi ya Alama za Zebra
MPANDAMadereva wa vyombo vya moto na watembea kwa miguu wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya vivuko vya barabara ili kuepusha ajali ambazo zinatokea katika vivuko . Hayo yamesemwa na mkaguzi msaidizi wa jeshi la polisi Geofrey Braiton, kuwa ni sheria kwa…
18 Januari 2023, 2:33 um
Mvumi Misheni waishukuru serikali kukamilika kwa shule ya sekondari
Na; Victor Chigwada. Diwani wa Kata ya Mvumi Misheni Bw.Kenethi Chihute ameishukuru Serikali kwa msaada wa fedha zilizo elekezwa katika miradi mbalimbali ndani ya Kata yake Chihute amesema kuwa kutokana na fedha hizo wamefanikiwa kuboresha upande wa miundombinu ya sekondari…
16 Januari 2023, 2:11 um
Kata ya Kongwa yakabiliwa na uchelewaji wanafunzi kuripoti shuleni
Na; Benadetha Mwakilabi. Kushindwa kuripoti kwa wakati shuleni kwa wanafunzi waliochaguliwa kujiunga na Kidato cha kwanza kwa mwaka wa masomo 2022/2023 imetajwa kuwa ni moja ya changamoto kubwa inayokabili kata ya Kongwa. Akiongea na wenyeviti wa vijiji vya kata ya…
11 Januari 2023, 12:27 um
Umbali wa sekondari wa km 24,Wananchi wajenga madarasa manne kupunguza safari ya…
Na mwandishi wetu, Daniel Manayanga Zaidi ya Millioni thelatheni ambayo ni michango ya wananchi,mfuko wa jimbo la Maswa Magharibi zimeshatumika katika ujenzi wa Shule ya Sekondari Sayusayu iliyopo Kata ya Buchambi Wilayani Maswa Mkoani Simiyu ili kupunguza adha wa wanafunzi…
2 Januari 2023, 1:45 um
CHANAGAMOTO YA HEDHI SALAMA KWA WANAFUNZI WAKIKE YAPATIWA SULUHISHO.
Ofisa Mdhamini Wizara ya Elimu na Mafunzo ya Amali Pemba Mohamed Nassor Salim, anasema, wizara imekuwa ikichukuwa juhudi ya kupambana na hedhi salama kwa wanafunzi wakike , kwa kuwapa elimu ya stadi za maisha ‘ABC’ . Akizungumza na mwandishi wa…
2 Januari 2023, 1:32 um
RAISI WA ZANZIBAR:URITHI WA MTOTO NI ELIMU.
RAISi wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk. Hussein Ali Mwinyi, amewataka wanachi kusimamia fursa za elimu kwa watoto wao kwani ndio urithi mzuri wa taifa kiujumla. Dk. Mwinyi ameyasema hayo Mwambe Wilaya ya Mkoani Pemba, wakati akizungumza…
16 Disemba 2022, 10:19 MU
Waandishi wa Habari Radio Fadhila wapigwa Msasa
Na Lawrence Kessy Waandishi wa Habari wa Kituo cha Radio Fadhila wamepata mafunzo ya jinsi ya kuandaana kuchakata habari za Mitandao ya Kijamii pamoja na kuzingatia maadili ya tasnia ya habari Mafunzo hayo yametolewa Alhamisi Desemba 15, 2022 na Amua…
15 Disemba 2022, 4:47 um
Wilaya ya Maswa kuandikisha Watoto wa Darasa la Awali 13,000 kwa Mwaka…
Imeelezwa kuwa Wilaya ya Maswa Mkoa wa Simiyu hadi kufikia mwezi Novemba , 2022 Imefanikiwa Kuandikisha Watoto wa Darasa la Awali Elfu Saba (7000) Sawa na Asilimia Hamsini na Mbili (52%) ya Makisio yote ya Watoto Elfu kumi na tatu…
14 Disemba 2022, 5:43 um
Majaliwa aagiza makusanyo ya mwezi wa 10 hadi 12 kujenga shule nyingine ya Sekon…
MLELE Waziri mkuu Kassim Majaliwa amewaagiza halmashauri ya wilaya ya mlele katika makusanyo ya mwezi wa 10 hadi 12 waanze ujenzi wa shule nyingine ya sekondari ili kupunguza mlundikano wa wanafunzi uliopo katika shule ya sekondari Majimoto. Akizungumza baada ya…