Radio Tadio

Elimu

23/01/2023, 08:44

Wazazi wapewa siku 4 Kuepeleka Watoto Shule

Mkuu wa wilaya ya Ruangwa mkoani Lindi ametoa siku 4 Kwa wazazi na walezi kata ya mandawa na chibula kupeleka watoto ambao hawajaenda shule la sivyo karandinga kuwapitia. Ngoma amezungumza hayo katika Ziara yake kata Kwa kata baada ya kupita…

21 Januari 2023, 8:34 um

Fahamu Matumizi Sahihi ya Alama za Zebra

MPANDAMadereva wa vyombo vya moto na watembea kwa miguu wametakiwa kuzingatia matumizi sahihi ya vivuko vya barabara ili kuepusha ajali ambazo zinatokea katika vivuko . Hayo yamesemwa na mkaguzi msaidizi wa jeshi la polisi Geofrey Braiton, kuwa ni sheria kwa…