Elimu
31 Januari 2023, 12:06 um
Chuo kikuu cha Dar es salaam kutoa Shahada ya pili na ya tatu ya kilimo Ruangw…
Ujenzi wa chuo kikuu cha Dar es salaamu tawi la Ruangwa kitakachotoa Shahada ya pili na ya tatu katika ngazi ya kilimo unatarajia kuanza Juni 2023. Na Loveness Daniel. Ujenzi wa chuo kikuu cha kilimo kupitia chuo kikuu cha dar…
31 Januari 2023, 12:04 UM
Wanafunzi wapewa elimu ya usalama barabarani
Inspekta Magazi akiwa na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtapika wakati akiwapa elimu ya usalama barabarani kipengele cha waenda kwa miguu. Na Lawrence Kessy Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtapika, iliyopo Kata ya Mwenge Mtapika, Halmashauri ya Mji wa Masasi, …
31 Januari 2023, 8:33 mu
Wazazi wasiowapeleka watoto shule kukiona
Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Bwana Dunstan Kyobya amewaagiza maafisa Watendaji wa Vijiji na Kata kuwachukulia hatua za kisheria wazazi ambao watoto wao hawajaripoti shuleni. Bwana kyobya ametoa agizo hilo wakati akizungumza na watumishi wa umma,viongozi wa dini pamoja na…
30 Januari 2023, 12:31 UM
Shule ya Msingi Mkuti B yapata Viongozi wapya
Shule ya Msingi Mkuti “B” Wilayani Masasi, imefanya Mkutano wake Mkuu wa Kwanza wa Shule hiyo na kuwachaguwa viongozi mbalimbali wa shule pamoja na kujadili ajenda za mipango ya maendeleo ya shule. Mkutano huo ambao umefanyika Shuleni hapo mapema wiki…
30 Januari 2023, 9:28 mu
Wahariri wa Radio Jamii wapigwa msasa
Wahariri na waandishi wa vyombo vya habari vilivyopo chini ya Mtandao wa Redio Jamii Tanzania TADIO wameanza mafunzo ya namna ya kuandaa kuhariri na kuzituma habari kupitia tovuti ya mtandao huo. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo yaliyoanza Jan…
25 Januari 2023, 4:56 UM
CHANGAMOTO YA MIUNDO MBINU YA ELIMU KATIKA SHULE YA MSINGI NAMAJANI.
Hali ya miundombinu ya elimu katika shule ya msingi namajani imekuwa ni changamoto kubwa mpaka sasa shule ya msingi namajani inamadarasa manne tu, huku baadhi ya wanafunzi wakisoma chini ya mti. Hayo yabainishwa na diwani wa kata ya namajani Faraji…
25 Januari 2023, 4:25 UM
JAJI WA MAHAKAMA KUU KANDA YA MTWARA AIPONGEZA MAHAKAMA YA LISEKESE MASASI.
Katika kuadhimisha wiki ya sheria Jaji wa mahakama kuu kanda ya Mtwara jaji Eliamani isaya laltaika amefanya ziara katika maeneo mbalimbali ya wilaya ya masasi mkoani mtwara nakutumia ziara hiyo kwa ajili ya kutoa elimu kwa jamii na kusikiliza michango…
25 Januari 2023, 4:26 mu
Majukumu ya Nyumbani yarudisha nyuma maendeleo ya mtoto wa kike
Na; Mariam Matundu. Majukumu mengi ya kazi za nyumbani kwa watoto wa kike imetajwa kuwa ni moja ya sababu inayorudisha nyuma maendeleo ya elimu kwa wasichana . Hayo yameelezwa na baadhi ya wakazi wa mtaa wa Hombolo bwawani jana katika…
24 Januari 2023, 9:57 mu
Maafisa Elimu Ruangwa wajazishwa mikataba ya makubaliano kusimamia utendaji kaz…
Katika kuhakikisha ufaulu unaongezeka na kufikia asilimia 100% kama ilivyo malengo ya mkoa wa Lindi na Wilaya ya Ruangwa. Maafisa Elimu kata wilaya ya Ruangwa wamejazishwa mikataba ya Utendaji kazi katika kata zao ikiwa na malengo ya kupima utendaji ulioonyeshwa…
23 Januari 2023, 12:31 um
Mila na desturi zatajwa kuwa chanzo cha Mimba za utotoni
Na; Alfred Bulahya. Licha ya Halmashauri ya Wilaya ya Bahi mkoani Dodoma imefanikiwa kupunguza idadi ya mimba kutoka 39 mwaka 2020 hadi 17 kwa mwaka 2022. kwa Mujibu wa Afisa elimu sekondari wilaya ya Bahi bi Marry Chakupewa, inaelezwa katika…