Elimu
4 Febuari 2023, 13:07
Wazazi na walezi Iringa wahimizwa kutoa michango ya chakula shuleni
Chakula kikiwepo shuleni kinasaidia kuondoa mazingira magumu kwa watoto na kupelekea wawe na utulivu wakati wa masomo na kukuza taaluma. Na Ashura Godwin Wazazi na Walezi mkoani iringa wametakiwa kuendelea kuchangia fedha kwa ajili ya chakula shuleni ili kuondoa mazingira…
03/02/2023, 19:10
Tutatumia sheria kwa wazazi wasiopeleka watoto shule
Na Loveness Daniely. Mkuu wa Wilaya ya Ruangwa Mkoani Lindi Hassan Ngoma amesema kuanzia February 6 2023 wataanza kufanya msako mtaa kwa mtaa, nyumba kwa nyumba kwa kutumia sharia na miongozo iliyopo kwa wazazi wasio wapeleka Watoto shuleni msako…
2 Febuari 2023, 16:07
Wilaya ya Bahi yapanga kuongeza kiwango cha ufaulu
Wilaya ya Bahi yapanga kuongeza kiwango cha ufaulu kutoka nafasi ya kumi hadi ya tano kitaifa kwa mwaka 2023/2024. Na Benard Magawa . Halmashauri ya wilaya ya Bahi imeanza mikakati ya kuhakikisha wanapandisha zaidi ufaulu kwa mwaka 2023 lengo likiwa…
2 Febuari 2023, 11:15
Waziri Adolfu Mkenda atoa sababu za Necta kutotangaza Shule Bora
Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Adolf Mkenda ametoa ufafanuzi na sababu NECTA Haitangazi Shule Bora na Zile Zilizofanya Vibaya. Na Seleman Kodima. Amesema kuwa takwimu zote ambazo zinahusu kutangaza shule ipi bora zinapatikana na wala sio siri bali…
31/01/2023, 12:16
Wazazi hakikisheni watoto wanapata elimu
Wazazi na walezi watakiwa kuhakikisha watoto wao wanapata elimu ambayo inatolewa bila malipo pamoja na kuwalea katika maadili mema kwa kuwarithisha mila na desturi njema ili kuwa taifa lenye sifa njema na maadili mema. By Asha Mado Katika kuhakikisha watoto…
31/01/2023, 12:06
Chuo kikuu cha Dar es salaam kutoa Shahada ya pili na ya tatu ya kilimo Ruangw…
Ujenzi wa chuo kikuu cha Dar es salaamu tawi la Ruangwa kitakachotoa Shahada ya pili na ya tatu katika ngazi ya kilimo unatarajia kuanza Juni 2023. Na Loveness Daniel. Ujenzi wa chuo kikuu cha kilimo kupitia chuo kikuu cha dar…
31/01/2023, 12:04
Wanafunzi wapewa elimu ya usalama barabarani
Inspekta Magazi akiwa na wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtapika wakati akiwapa elimu ya usalama barabarani kipengele cha waenda kwa miguu. Na Lawrence Kessy Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Mtapika, iliyopo Kata ya Mwenge Mtapika, Halmashauri ya Mji wa Masasi, …
31 Januari 2023, 08:33
Wazazi wasiowapeleka watoto shule kukiona
Mkuu wa Wilaya ya Kilombero Bwana Dunstan Kyobya amewaagiza maafisa Watendaji wa Vijiji na Kata kuwachukulia hatua za kisheria wazazi ambao watoto wao hawajaripoti shuleni. Bwana kyobya ametoa agizo hilo wakati akizungumza na watumishi wa umma,viongozi wa dini pamoja na…
30/01/2023, 12:31
Shule ya Msingi Mkuti B yapata Viongozi wapya
Shule ya Msingi Mkuti “B” Wilayani Masasi, imefanya Mkutano wake Mkuu wa Kwanza wa Shule hiyo na kuwachaguwa viongozi mbalimbali wa shule pamoja na kujadili ajenda za mipango ya maendeleo ya shule. Mkutano huo ambao umefanyika Shuleni hapo mapema wiki…
30 Januari 2023, 09:28
Wahariri wa Radio Jamii wapigwa msasa
Wahariri na waandishi wa vyombo vya habari vilivyopo chini ya Mtandao wa Redio Jamii Tanzania TADIO wameanza mafunzo ya namna ya kuandaa kuhariri na kuzituma habari kupitia tovuti ya mtandao huo. Akizungumza wakati wa ufunguzi wa mafunzo hayo yaliyoanza Jan…