Elimu
28 Aprili 2023, 12:23
Afisa elimu Msingi Bahi atoa Motisha kwa walimu kata ya Bahi
Afisa Elimu katika kata hiyo ameahidi kuhakikisha ufaulu unapanda zaidi. Na Bernad Magawa. Afisa elimu Msingi wilaya ya Bahi Boniface Wilson ametoa motisha ya kilo 25 za sukari kwa kila shule kwenye kata ya Bahi yenye jumla ya shule tano…
26/04/2023, 19:31
Kilosa yaja na falsafa isemayo Uongozi wa pamoja kwa maendeleo ya haraka
Wahitimu 256 wa chuo cha ualimu Ilonga watakiwa kwenda kuleta maendeleo yenye tija kwenye sekta ya elimu kwa kutumia ujuzi na maarifa waliyopatiwa kipindi chote ambacho walikua chuoni hapo. “Serikali ya awamu ya sita inayoongozwa na Mhe Dkt Samia Suluhu…
26 Aprili 2023, 13:52
Serikali yapongeza ujenzi wa shule ya sekondari lenjulu kongwa
Amewataka wakazi wa Lenjulu kutunza miundombinu na mazingira ya shule hiyo na kuhakikisha watoto wao wanakwenda shule na kusoma kwa bidii. NA Bernadetha Mwakilabi. Naibu waziri wa nchi ofisi ya Rais TAMISEMI Mh. Deogratias Ndejembi amepongeza uongozi wa wilaya ya…
26 Aprili 2023, 11:16
Shule ya Sekondari Mtwivila yapewa Computer na Runinga na Kampuni ya Vodacom.
Na Joyce Buganda Kampuni ya simu za mkononi VODACOM TANZANIA kwa kushirikiana na mradi wa AFRICAN CHILD PROJECT wametoa komputa 6,router na luninga 1 katika shule ya Sekondari Mtwivila Manispaa ya Iringa huku wakisisitiza walimu kutumia zaidi teknolojia ili kuwa…
24 Aprili 2023, 14:56
Wananchi Bahi watarajia kuchangia Zaidi ya madawati 10,000
Pamoja na wilaya ya Bahi kuwa na mafanikio makubwa kitaaluma katika mkoa na taifa, tatizo la kukosekana kwa madawati lisipodhibitiwa linaweza kuwa chanzo cha kupotea kwa mafanikio hayo. Na. Bernad Magawa. Wananchi wilayani Bahi wanatarajia kuchangia zaidi ya Madawati elfu…
21 Aprili 2023, 07:20
Bunda: Wanafunzi watembea kilometa 16 hadi 20 kwa siku kufuata huduma ya elimu
Wakazi wa Kijiji Cha Nyaburundu katika Kata ya Ketare Halmashauri ya wilaya ya Bunda wameiomba serikali kuwakubalia kujenga shule ya secondary katika eneo walilolipendekeza kutokana na changamoto wanazokutana nazo watoto wao wanaokwenda kusoma shule ya Kijiji Jiran. Wakizungumza katika kikao…
20 Aprili 2023, 10:28
Millioni 30 kujenga uzio shule ya kigwe viziwi Bahi
Kukamilika kwa uzio huo kutawahakikishia usalama watoto shuleni hapo ambao wamekuwa wakiibiwa vitu mbalimbali zikiwemo nguo pamoja na vifaa vingine vya shule. Na Bernad Magawa. Katika kuendelea kutoa kipaumbele cha elimu kwa watoto wenye mahitaji maalumu hapa nchini, serikali imepeleka…
19 Aprili 2023, 14:20
BOOST kuboresha elimu kongwa
Mradi wa BOOST ulianzishwa na Serikali chini ya ufadhili wa benki ya dunia unaosimamiwa na ofisi ya Rais TAMISEMI utatumia zaidi ya bilioni 1 na milioni 352 kutekeleza ujenzi huo ambao ni moja ya afua zake. Na Bernadetha Mwakilabi. Mradi…
14 Aprili 2023, 13:31
Chamwino waishukuru serikali ujenzi wa vyuo vya VETA
Mamlaka ya Elimu na Mafunzo ya Ufundi Stadi (VETA) inatarajia kukamilisha ujenzi wa vyuo 25 vya Wilaya kwa kutumia nguvu kazi ya ndani yaani force account. Na Alfred Bulahya. Wananchi wilayani Chamwino Mkoani Dodoma, wameishukuru Serikali kwa kuanza ujenzi wa…
13 Aprili 2023, 17:43
Vijana wajivunia elimu ya ufundi kutoka VETA
Wapo vijana mbalimbali ambao wameweza kunufaika na uwepo wa elimu ya ufundi VETA ambapo imewasaidia kwa kiasi kikubwa katika kujiajiri. Na Thadey Tesha Baadhi ya vijana jijini Dodoma wamesema kuwa elimu ya ufundi stadi wanayoipata kutoka VETA imekuwa msaada kwao…