Elimu
7 Septemba 2023, 1:56 um
Madereva watakiwa kujaza mafuta gari ikiwa haina abiria
Je sheria hii imatambulika na imekuwa ikifuatwa na madereva wa vyombo vya moto hususani Magari ya abiria. Na Thadei Tesha. Madereva wa vyombo vya moto wametakiwa kutambua kuwa ni kosa kisheria kujaza Gari mafuta na abiria wakiwa ndani ya gari.…
4 Septemba 2023, 4:55 um
Wanahabari watakiwa kuongeza taaluma zaidi
Ikiwa wandishi wa habari watajenga tabia ya kujifunza zaidi kuhusu madhara ya upungufu wa damu hasa kwa wananwake na wasichana wataweza kuandaa vipindi vilivyo bora na ambavyo vitatoa masada mkubwa kwa jamii juu ya kukabiliana na tatizo hilo. Na Juma…
4 Septemba 2023, 1:02 um
Padre atoa msaada kwa watoto wenye uhitaji
Na Ospicia Didace Karagwe Mkurugenzi wa idara ya mashirika ya kipapa ya kimisionari ametoa msaada wa vyakula, nguo na vifaa vya kujifunzia vyenye thamani ya zaidi ya shilingi milioni tatu kwa wanafunzi wa shule msingi Mwoleka Mseto iliyoko Chabalisa katika…
4 Septemba 2023, 9:46 mu
Madiwani Tanganyika waomba mafunzo ya hewa ya Ukaa
TANGANYIKA Ili Kuitambua biashara ya hewa ya ukaa Madiwani wilaya ya Tanganyika wameitaka Halmashauri hiyo kuwapa madiwani Mafunzo ya biashara ya hewa ya ukaa. Wakizungumza katika kikao cha baraza la madiwani cha robo ya nne ya mwaka Wamesema katika vikao…
3 Septemba 2023, 5:42 um
Jitihada za wananchi kuwanusuru watoto wanaotembea km12 kufuata elimu ya msingi
Asilimia kubwa ya watoto katika vitongoji 3 vya kashasha,mjunju na Bweranyange katika kata ya Bweranyange wilayani Karagwe wanashindwa kuendelea na masomo yao kutokana shule kuwa mbali jambo lililowafanya wananchi wa vitongoji hivyo kuanza ujenzi wa shule shikizi ili kuwanusuru watoto…
30 Agosti 2023, 3:12 um
Elimu ya usalama barabarani yaendelea kutolewa kwa wananchi
Ili kupunguza vitendo vya ajali za Mara kwa mara madereva na watumiaji wa barabara kwa ujumla wameendelea kuaswa kuzingatia sheria za usalama barabarani . Na Thadei Tesha. Ili kupunguza ajali za barabarani zinazoweza kusabababishwa na uzembe pamoja na kutokutii sheria…
29 Agosti 2023, 11:08 mu
Shule ya kwanza yenye kidato cha tano Mbogwe yaanza kupokea wanafunzi
Wazazi na walezi wenye wanafunzi wa kidato cha tano waliopangiwa katika shule ya sekondari Mbogwe Mkoani Geita wawaruhusu kwenda shule kwani idadi ya wanafunzi walioripoti ni ndogo. Na Mrisho Sadick: Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa…
29 Agosti 2023, 10:12 mu
Mpanda Girls Wasisitizwa Kusoma
MPANDA Wanafunzi wa kidato cha tano na sita katika shule ya Sekondari ya Wasichana Mpanda wamesisitizwa kusoma kwa bidii ili kufikia ndoto zao. Msisitizo huo umetolewa na Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT) Dayosisi ziwa Tanganyika (Rukwa/Katavi)…
Agosti 26, 2023, 12:46 um
BAKITA yawanoa Waandishi wa Habari Njombe Matumizi Sahihi ya Kiswahili
Waandishi wa Habari Njombe wapigwa msasa Matumizi sahihi ya Kiswahili
25 Agosti 2023, 3:56 um
Tamwa Zanzibar yawanoa waandishi wa habari Pemba
Waandishi wa Habari Pemba wanatakiwa kufanya uchunguzi yakinifu kabla ya kurusha hewani habari za udhalilishaji. Na Is-haka Mohammed Pemba. Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa Zanzibar) kimewakumbusha waandishi wa habari juu ya umuhimu wa kuandika habari zenye tija na…