Radio Tadio

Elimu

4 Septemba 2023, 9:46 mu

Madiwani Tanganyika waomba mafunzo ya hewa ya Ukaa

TANGANYIKA Ili Kuitambua biashara ya hewa ya ukaa Madiwani wilaya ya Tanganyika wameitaka Halmashauri hiyo kuwapa madiwani Mafunzo ya biashara ya hewa ya ukaa. Wakizungumza katika kikao cha baraza la madiwani cha robo ya nne ya mwaka Wamesema katika vikao…

30 Agosti 2023, 3:12 um

Elimu ya usalama barabarani yaendelea kutolewa kwa wananchi

Ili kupunguza vitendo vya ajali za Mara kwa mara madereva na watumiaji wa barabara kwa ujumla wameendelea kuaswa kuzingatia sheria za usalama barabarani . Na Thadei Tesha. Ili kupunguza ajali za barabarani zinazoweza kusabababishwa na uzembe pamoja na kutokutii sheria…

29 Agosti 2023, 10:12 mu

Mpanda Girls Wasisitizwa Kusoma

MPANDA Wanafunzi wa kidato cha tano na sita katika shule ya Sekondari ya Wasichana Mpanda wamesisitizwa kusoma kwa bidii ili kufikia ndoto zao. Msisitizo huo umetolewa na Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT) Dayosisi ziwa Tanganyika (Rukwa/Katavi)…

25 Agosti 2023, 3:56 um

Tamwa Zanzibar yawanoa waandishi wa habari Pemba

Waandishi wa Habari Pemba wanatakiwa kufanya uchunguzi yakinifu kabla ya kurusha hewani habari za  udhalilishaji. Na Is-haka Mohammed Pemba. Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa Zanzibar) kimewakumbusha waandishi wa habari juu ya umuhimu wa kuandika habari zenye tija na…

24 Agosti 2023, 15:37

Vyombo visivyokidhi vigezo kuondolewa ziwa Tanganyika

Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Mkoa wa Kigoma, Limezindua kampeni ya Operasheni Maboya katika ziwa Tanganyika, ili kubaini Boti zisizo na Vifaa vya Kusafiria Kwa Wavuvi na Abiria ili kuwachukulia hatua za kisheria. Na, Kadislaus Ezekiel Afisa mfawidhi…

21 Agosti 2023, 3:20 um

ZAFELA kuwarudhisha watoto wa kike shule

Jumuiya ya wanasheria wanawake Zanzibar yapania kuwarejesha skuli  watoto wa kike waliokatisha  skuli wakiwa  bado hawajafikia umri wa kumaliza kwa kushirikiana na taasisi za serikali na NGOs. Na Fatma Hamad Asasi za kiraia zimetakiwa kushirikiana kwa pamoja katika kuwajengea uwezo…