Elimu
4 Septemba 2023, 9:46 mu
Madiwani Tanganyika waomba mafunzo ya hewa ya Ukaa
TANGANYIKA Ili Kuitambua biashara ya hewa ya ukaa Madiwani wilaya ya Tanganyika wameitaka Halmashauri hiyo kuwapa madiwani Mafunzo ya biashara ya hewa ya ukaa. Wakizungumza katika kikao cha baraza la madiwani cha robo ya nne ya mwaka Wamesema katika vikao…
3 Septemba 2023, 5:42 um
Jitihada za wananchi kuwanusuru watoto wanaotembea km12 kufuata elimu ya msingi
Asilimia kubwa ya watoto katika vitongoji 3 vya kashasha,mjunju na Bweranyange katika kata ya Bweranyange wilayani Karagwe wanashindwa kuendelea na masomo yao kutokana shule kuwa mbali jambo lililowafanya wananchi wa vitongoji hivyo kuanza ujenzi wa shule shikizi ili kuwanusuru watoto…
30 Agosti 2023, 3:12 um
Elimu ya usalama barabarani yaendelea kutolewa kwa wananchi
Ili kupunguza vitendo vya ajali za Mara kwa mara madereva na watumiaji wa barabara kwa ujumla wameendelea kuaswa kuzingatia sheria za usalama barabarani . Na Thadei Tesha. Ili kupunguza ajali za barabarani zinazoweza kusabababishwa na uzembe pamoja na kutokutii sheria…
29 Agosti 2023, 11:08 mu
Shule ya kwanza yenye kidato cha tano Mbogwe yaanza kupokea wanafunzi
Wazazi na walezi wenye wanafunzi wa kidato cha tano waliopangiwa katika shule ya sekondari Mbogwe Mkoani Geita wawaruhusu kwenda shule kwani idadi ya wanafunzi walioripoti ni ndogo. Na Mrisho Sadick: Kamati ya siasa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM) Mkoa wa…
29 Agosti 2023, 10:12 mu
Mpanda Girls Wasisitizwa Kusoma
MPANDA Wanafunzi wa kidato cha tano na sita katika shule ya Sekondari ya Wasichana Mpanda wamesisitizwa kusoma kwa bidii ili kufikia ndoto zao. Msisitizo huo umetolewa na Askofu wa Kanisa la Kiinjili la Kilutheli Tanzania (KKKT) Dayosisi ziwa Tanganyika (Rukwa/Katavi)…
Agosti 26, 2023, 12:46 um
BAKITA yawanoa Waandishi wa Habari Njombe Matumizi Sahihi ya Kiswahili
Waandishi wa Habari Njombe wapigwa msasa Matumizi sahihi ya Kiswahili
25 Agosti 2023, 3:56 um
Tamwa Zanzibar yawanoa waandishi wa habari Pemba
Waandishi wa Habari Pemba wanatakiwa kufanya uchunguzi yakinifu kabla ya kurusha hewani habari za udhalilishaji. Na Is-haka Mohammed Pemba. Chama cha Waandishi wa Habari Wanawake (Tamwa Zanzibar) kimewakumbusha waandishi wa habari juu ya umuhimu wa kuandika habari zenye tija na…
24 Agosti 2023, 15:37
Vyombo visivyokidhi vigezo kuondolewa ziwa Tanganyika
Shirika la Uwakala wa Meli Tanzania (TASAC) Mkoa wa Kigoma, Limezindua kampeni ya Operasheni Maboya katika ziwa Tanganyika, ili kubaini Boti zisizo na Vifaa vya Kusafiria Kwa Wavuvi na Abiria ili kuwachukulia hatua za kisheria. Na, Kadislaus Ezekiel Afisa mfawidhi…
21 Agosti 2023, 3:20 um
ZAFELA kuwarudhisha watoto wa kike shule
Jumuiya ya wanasheria wanawake Zanzibar yapania kuwarejesha skuli watoto wa kike waliokatisha skuli wakiwa bado hawajafikia umri wa kumaliza kwa kushirikiana na taasisi za serikali na NGOs. Na Fatma Hamad Asasi za kiraia zimetakiwa kushirikiana kwa pamoja katika kuwajengea uwezo…
20 Agosti 2023, 6:16 um
Waislamu wahimizwa kusom Quran tukufu, kuwa mahiri katika taaluma mbalimbali
Na Juma Haji Juma Wakili mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Shekh Saleh Mubaraq amewataka mashekh na walimu wa madrasa za Qurani nchini, kufundisha riwaya mbalimbali za usomaji wa Quran tukufu ili kuongeza kiwango cha ujuzi, umahiri, ufaulu wa taaluma…