Elimu
25 August 2025, 4:17 pm
Wananchi Chunga wataka suluhisho la haraka kwa tatizo la taka
Na Zulfa Shaibu Mkanjaluka. Mrundikano wa taka katika Shehia ya Chunga, Zanzibar, umeibuka kuwa changamoto kubwa kwa wakazi wa eneo hilo, wakihusisha hali hiyo na ongezeko la maradhi ya milipuko kama kipindupindu na mazingira machafu kwa ujumla.Katika mahojiano na Zenji…
27 June 2025, 9:50 am
Wazee wamchangia aliyekuwa diwani kuchukua fomu tena
“kikao hicho siyo kampeni badala yake ni kumshukuru kiongozi huyo kwa yale aliyoyafanya” Na Adelinus Banenwa Baraza la wazee wa chama cha mapinduzi kata ya Nyasura Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wamemkabidhi fedha kiasi cha shilingi elfu hamsini…
1 June 2025, 11:37 am
Polisi Arusha waimarisha ukaguzi wa mabasi kukabiliana na ajali
Jeshi la Polisi Mkoa wa Arusha limefanya ukaguzi maalumu wa mabasi ya abiria ili kudhibiti ajali kutokana na ongezeko la wasafiri kipindi cha likizo za shule. Madereva wamehimizwa kuzingatia sheria za barabarani huku abiria wakitakiwa kununua tiketi kwenye ofisi rasmi…
29 May 2025, 12:19 pm
UVCCM Bariadi yarudisha furaha kwa wagonjwa
‘‘Ni kweli bado jamii yetu inakabiliwa na changamoto mbalimbali zipo familia zenye uwezo wa kiuchumi lakini hizi ambazo hazina uwezo wa kimaisha tunawezaje kuzisaidia ili nazo ziweze kupata furaha hili ni jambo tunaweza kulifanya tu endapo watu wenye uwezo mkubwa…
27 May 2025, 11:44 am
Jinsi nyuki wanavyolinda misitu wilayani Pangani
“Tumeanzisha ufugaji wa nyuki ili kulinda msitu wetu, nyuki ana kipato kuliko kukata mti na kuchana mbao au mkaa.” Na Cosmas Clement Kijiji cha Mtonga kilichopo wilayani Pangani ni miongoni mwa vijiji vilivyoathiriwa na shughuli za ukataji wa misitu kwa…
25 May 2025, 9:50 am
Madereva wa serikali Arusha wanolewa usalama barabarani
Na Nyangusi Ole Sang’ida Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha limetoa mafunzo maalumu kwa madereva wanaoendesha magari ya Serikali mkoani humo, ili kuwajengea uwezo wa matumizi sahihi ya barabara na mifumo mipya ya Jeshi hilo. Akizungumza…
22 May 2025, 3:27 pm
Sendiga aboresha taarifa zake katika daftari la kudumu la mpiga kura
Wananchi mkoani Manyara ambao hawajaboresha taarifa zao wametakiwa kufika kwenye vituo vilivyopangwa kwa ajili ya kuboreshe taarifa zao kwa muda uliobaki ili kupata fursa ya kushiriki Uchaguzi Mkuu unaotarajiwa kufanyika Oktoba 2025. Na Mzidalfa Zaid Mkuu wa Mkoa wa Manyara…
29 March 2025, 4:55 pm
CCM yatoa kongole kwa walimu mafanikio Salama sekondari 2024
Chama cha Mapinduzi Kata ya Salama kimefanya hafla ya kuwapongeza walimu wa Shule ya Sekondari ya Salama kwa mafanikio makubwa ya matokeo ya Kidato cha Nne 2024. Na Adelinus Banenwa Chama cha Mapinduzi Kata ya Salama kimefanya hafla ya kuwapongeza…
29 March 2025, 1:35 pm
Wajasiriamali wahofia bei ya nyanya kupanda Manispaa ya Geita
Bei ya nyanya imepanda katika halamshauri ya manispaa ya Geita tofauti na ilivyokuwa mwezi uliopita hali ambayo inapelekea wasiwasi kwa watumiaji na wauzaji. Na: Kale Chongela – Geita Wajasiriamali waliopo katika soko la asubuhi Nyankumbu katika halmashauri ya manispaa ya…
5 March 2025, 12:27 pm
COPRA yakabidhi zaidi ya tani 50 za mbegu za alizeti Geita
Hadi kufikia Desemba 2022 jumla ya wakulima 6,323 na eneo la ekari 11,896 lilikuwa limetengwa kwa ajili ya kilimo cha alizeti Geita, ikiwa ni sehemu ya juhudi za kuongeza uzalishaji na kujitosheleza kwa mafuta ya kula nchini. Na: Daniel Magwina…