Radio Tadio

Elimu

25 August 2025, 4:17 pm

Wananchi Chunga wataka suluhisho la haraka kwa tatizo la taka

Na Zulfa Shaibu Mkanjaluka. Mrundikano wa taka katika Shehia ya Chunga, Zanzibar, umeibuka kuwa changamoto kubwa kwa wakazi wa eneo hilo, wakihusisha hali hiyo na ongezeko la maradhi ya milipuko kama kipindupindu na mazingira machafu kwa ujumla.Katika mahojiano na Zenji…

27 June 2025, 9:50 am

Wazee wamchangia aliyekuwa diwani kuchukua fomu tena

“kikao hicho siyo kampeni badala yake ni kumshukuru kiongozi huyo kwa yale aliyoyafanya” Na Adelinus Banenwa Baraza la wazee wa chama cha mapinduzi kata ya Nyasura Halmashauri ya mji wa Bunda mkoani Mara wamemkabidhi fedha kiasi cha shilingi elfu hamsini…

29 May 2025, 12:19 pm

UVCCM Bariadi yarudisha furaha kwa wagonjwa

‘‘Ni kweli bado jamii yetu inakabiliwa na changamoto mbalimbali zipo familia zenye uwezo wa kiuchumi lakini hizi ambazo hazina uwezo wa kimaisha tunawezaje kuzisaidia ili nazo ziweze kupata furaha hili ni jambo tunaweza kulifanya tu endapo watu wenye uwezo mkubwa…

27 May 2025, 11:44 am

Jinsi nyuki wanavyolinda misitu wilayani Pangani

“Tumeanzisha ufugaji wa nyuki ili kulinda msitu wetu, nyuki ana kipato kuliko kukata mti na kuchana mbao au mkaa.” Na Cosmas Clement Kijiji cha Mtonga kilichopo wilayani Pangani ni miongoni mwa vijiji vilivyoathiriwa na shughuli za ukataji wa misitu kwa…

25 May 2025, 9:50 am

Madereva wa serikali Arusha wanolewa usalama barabarani

Na Nyangusi Ole Sang’ida Jeshi la Polisi Kikosi cha Usalama Barabarani Mkoa wa Arusha limetoa mafunzo maalumu kwa madereva wanaoendesha magari ya Serikali mkoani humo, ili kuwajengea uwezo wa matumizi sahihi ya barabara na mifumo mipya ya Jeshi hilo. Akizungumza…

29 March 2025, 1:35 pm

Wajasiriamali wahofia bei ya nyanya kupanda Manispaa ya Geita

Bei ya nyanya imepanda katika halamshauri ya manispaa ya Geita tofauti na ilivyokuwa mwezi uliopita hali ambayo inapelekea wasiwasi kwa watumiaji na wauzaji. Na: Kale Chongela – Geita Wajasiriamali  waliopo katika soko la asubuhi Nyankumbu katika halmashauri ya manispaa ya…