Elimu
20 Oktoba 2023, 10:36 um
Kambarage awapiga jeki sekondari ya Sizaki
Kiasi Cha shilingi milioni 2 zimetolewa na Eng Kambarage Wasira Kwa ajili ya ukamilishaji wa choo shule ya Sekondari Sizaki. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi milioni 2 zimetolewa na Injinia Kambarage Wasira kwa ajili ya ukamilishaji wa choo shule…
19 Oktoba 2023, 9:17 um
Mabotto kuwasomesha wanafunzi watakaofaulu kwa daraja la kwanza
Mbunge Robert Maboto ameahidi kuwafadhili vifaa vya shule wakati wa kujiunga na kidato cha Tano wanafunzi wote shule ya Sekondari Wariku na Dr. Nchimbi watakaopata daraja la kwanza katika matokeo ya kidato cha nne kwenye mtihani wa taifa unaotarajiwa kifanyika…
19 Oktoba 2023, 8:42 um
Kulwa Kahabi : Nitatoa milioni 17 ujenzi jiko la kupikia
Zaidi ya shilingi milioni kumi na saba zimeahidiwa kutolewa na mdau wa maendeleo ambae pia ni mjumbe wa mkutano mkuu wa ccm taifa Kulwa Kahabi ili kusaidia ujenzi wa jiko la kupikia chakula cha wanafunzi katika shule ya sekondari Sazira…
19 Oktoba 2023, 18:39
Wazazi na walezi msiwaachie walimu watoto wenu
Hivi karibu kumekuwa masuala ya kikatili ambayo yamekuwa Yakifanywa kwa wanafunzi na walimu wao,kitendo hicho kimekuwa kikwazo na kuondoa iman ya kuwaamini baadhi ya walimu. Na Daniel Simelta Wazazi na Walezi mkoani Songwe, wametakiwa kuimarisha malezi kwa watoto wao na…
19 Oktoba 2023, 11:46 mu
TCRA: Ni kosa kutumia kitambulisho cha mtu mwingine
Bado kuna wimbi kubwa la wananchi ambao wanaendelea kutumia vitambulisho vya taifa vya watu wengine kusajili laini zao za simu jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi. Na Mrisho Sadick: Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imetoa onyo kwa watu…
18 Oktoba 2023, 12:18 um
Walimu Nyaburundu watajwa kujiingiza kwenye siasa shuleni
Imeelezwa kuwa baadhi ya walimu wa shule ya Msingi Nyaburundu iliyopo kata ya Ketare halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara wamejiingiza katika siasa na kusahau wajibu wao shuleni. Na Thomas Masalu Imeelezwa kuwa baadhi ya walimu wa shule ya…
Oktoba 18, 2023, 12:56 mu
Shule ya sekondari Lupila wilayani Makete yakabidhiwa vitabu
Katibu Mkuu Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi na mdau wa maendeleo wilaya ya Makete Ndg. Antony Sanga amekabidhi vitabu vya kiada vyenye thamani ya shilingi milioni saba laki tisa na elfu themanini shule ya sekondari Lupila wilayani…
Oktoba 18, 2023, 12:46 mu
Mchungaji wa kwanza Makete atunukiwa shahada ya juu ya heshima
Chuo Kikuu cha Iringa kimemtunuku Shahada ya Juu ya Heshima Hayati Mchungaji Dkt. Tupevilwe Lugano Sanga. Mchungaji Tupevilwe Lugavano Sanga aliyezaliwa 1898, ni Mchungaji wa mwanzoni kabisa katika jamii ya Wakinga aliyetoa maisha yake kumtumikia Mungu pamoja na kuhamasisha maendeleo…
17 Oktoba 2023, 15:48
Wazazi washauriwa kutengeneza mazingira mazuri kuondoa utoro kwa wanafunzi
Mazingira mazuri kwa wanafunzi kunatajwa kuwa chanzo cha mafaniko kwa wananfunzi wengi, wanafunzi wengi wameshindwa kufanya vizuri kwenye masomo yao kwa sababu ya kukutana na changamoto kwenye mazingira ya shule na nyumbani. Na Deus Mellah Wazazi na walimu kwa kushirikiana…
17 Oktoba 2023, 2:26 um
Wazazi washauriwa kuanzisha ujenzi wa hosteli
Shule ya sekondari Kijuka imeanzishwa mwaka 2012 kwa nguvu ya wananchi na serikali ambapo tangu kuanzishwa imekuwa ikifanya vibaya kitaaluma kutokana na wanafunzi kutembea umbali mrefu na kwa mwaka huu 2023 wamehitimu wanafunzi 42 kati ya wanafunzi 88 walioanza kidato…