Elimu
24 Oktoba 2023, 2:48 um
UWT yawataka wazazi kutoa malezi bora kwa watoto wenye mahitaji maalumu
Shule ya Msingi Sengerema kitengo maalumu ilianzishwa Rasmi mwaka 2003 ambapo mpaka sasa inauwezo wa kuhudumia watoto wenye mahitaji maalumu Zaidi ya 247, na bweni inaweza hudumia watoto 104 , Wazazi wanapaswa kuwapa nafasi watoto hao ya kupata haki yao…
24 Oktoba 2023, 4:08 mu
Dawati Katavi kusimama na wanafunzi
Dawati la jinsia na watoto Katavi laahidi Kuwalinda wanafunzi ili waweze kutimiza Ndoto Zao. KataviKitengo cha Dawati la jinsia na watoto Mkoani Katavi Kimewahakikishia Kuwalinda wanafunzi Dhidi ya mienendo Mibovu ili waweze kutimiza Ndoto Zao. Akizungumza na wanafunzi wa shule…
23 Oktoba 2023, 12:11 um
Ukimwozesha binti kabla ya matokeo ya kidato cha nne kukiona cha moto
Kumekuwa na tabia kwa baadhi ya wazazi kuwaozesha watoto wao baada tu ya kuhitimu masomo yao ya Sekondari bila kujari matokeo yatakuwa je, na wengine kuwapeleka mjini kufanya kazi za ndani jambo linalozorotesha ndoto za kielimu kwa mtoto wa kike.…
21 Oktoba 2023, 6:47 um
Wanahabari watakiwa kuripoti vitendo vya ukatili dhidi ya watoto
Wito umetolewa kwa waandishi habari kuripoti taarifa dhidi ya vitendo vya ukatili dhidi ya watoto na wanawake katika jamii. Na Fadhil Mramba Wito umetolewa kwa waandishi habari kuripoti taarifa dhidi ya vitendo vya ukatili dhidi ya watoto na wanawake katika…
20 Oktoba 2023, 10:36 um
Kambarage awapiga jeki sekondari ya Sizaki
Kiasi Cha shilingi milioni 2 zimetolewa na Eng Kambarage Wasira Kwa ajili ya ukamilishaji wa choo shule ya Sekondari Sizaki. Na Adelinus Banenwa Kiasi cha shilingi milioni 2 zimetolewa na Injinia Kambarage Wasira kwa ajili ya ukamilishaji wa choo shule…
19 Oktoba 2023, 9:17 um
Mabotto kuwasomesha wanafunzi watakaofaulu kwa daraja la kwanza
Mbunge Robert Maboto ameahidi kuwafadhili vifaa vya shule wakati wa kujiunga na kidato cha Tano wanafunzi wote shule ya Sekondari Wariku na Dr. Nchimbi watakaopata daraja la kwanza katika matokeo ya kidato cha nne kwenye mtihani wa taifa unaotarajiwa kifanyika…
19 Oktoba 2023, 8:42 um
Kulwa Kahabi : Nitatoa milioni 17 ujenzi jiko la kupikia
Zaidi ya shilingi milioni kumi na saba zimeahidiwa kutolewa na mdau wa maendeleo ambae pia ni mjumbe wa mkutano mkuu wa ccm taifa Kulwa Kahabi ili kusaidia ujenzi wa jiko la kupikia chakula cha wanafunzi katika shule ya sekondari Sazira…
19 Oktoba 2023, 18:39
Wazazi na walezi msiwaachie walimu watoto wenu
Hivi karibu kumekuwa masuala ya kikatili ambayo yamekuwa Yakifanywa kwa wanafunzi na walimu wao,kitendo hicho kimekuwa kikwazo na kuondoa iman ya kuwaamini baadhi ya walimu. Na Daniel Simelta Wazazi na Walezi mkoani Songwe, wametakiwa kuimarisha malezi kwa watoto wao na…
19 Oktoba 2023, 11:46 mu
TCRA: Ni kosa kutumia kitambulisho cha mtu mwingine
Bado kuna wimbi kubwa la wananchi ambao wanaendelea kutumia vitambulisho vya taifa vya watu wengine kusajili laini zao za simu jambo ambalo ni kinyume na sheria za nchi. Na Mrisho Sadick: Mamlaka ya Mawasiliano Tanzania TCRA imetoa onyo kwa watu…
18 Oktoba 2023, 12:18 um
Walimu Nyaburundu watajwa kujiingiza kwenye siasa shuleni
Imeelezwa kuwa baadhi ya walimu wa shule ya Msingi Nyaburundu iliyopo kata ya Ketare halmashauri ya wilaya ya Bunda mkoani Mara wamejiingiza katika siasa na kusahau wajibu wao shuleni. Na Thomas Masalu Imeelezwa kuwa baadhi ya walimu wa shule ya…