Radio Tadio

Dini

24 October 2023, 15:54

Kanisa la Moravian Tanzania kupata maaskofu wawili 2023

Kanisa la Moravian kupitia taratibu zake linatarajia kupata maaskofu wawili ili kuendeleza huduma za kiroho katika dhehebu hilo. Na Deus Mellah Wakristo wa Kanisa la Moravian Tanzania Jimbo la Kusini Magharibi na jimbo la kaskazini wametakiwa kuendelea kumuomba Mungu ili…

9 October 2023, 8:36 pm

Viongozi watakiwa kuacha kutumia nguvu za giza

Wito huo umetolewa na Askofu wa Kanisa la Pentecoste Christian International Thomas Kiula wakati wa tukio la Uzinduzi wa kanisa jipya na kumsimika Uchungaji wa kanisa hilo linalopatikana mtaa Ndachi kata ya Mnadani Dodoma Mjini. Na Seleman Kodima. Viongozi wametakiwa…

2 October 2023, 18:22

Viongozi wa dini, wananchi watakiwa kuliombea taifa

Watanzania na waumini wa dini wametakiwa kuliombea taifa na kumwombea Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania katika kuhakikisha nchi inakuwa ya amani na utulivu. Na Samwel Mpogole Watanzania na waumini wa dini ya kikristo wametakiwa kuliombea taifa na Rais…

26 September 2023, 5:47 pm

Buswelu: waumini endeleeni kupinga matendo maovu kwenye jamii

Na Veronica Mabwile – KataviWaumini wa madhehebu mbalimbali Mkoani Katavi wameombwa kuendelea kupinga matendo maovu yanaojitokeza katika jamii ikiwemo kamchape na lambalamba ili kuendelea kulinda amani iliyopo . Wito huo umetolewa na mkuu wa wilaya ya Tanganyika Onesmo Buswelu kwa…

22 September 2023, 13:10

Viongozi wa dini wajitosa kuokoa ndoa

Unapoingia katika ndoa au mahusiano huwezi kufikiria hata kidogo kwamba asilimia kubwa ya ndoa au mahusiano hayo kufeli, ndoa au mahusiano yanaweza kufeli kwa sababu nyingi na iwapo ndoa yako ilianguka na kufeli sababu kubwa yaweza kuwa na tofauti nyingine.…