Biashara
10 Febuari 2023, 12:29 um
Wafanyabiashara Wapongeza Ukaguzi wa Mizani
KATAVI Wafanyabiashara Manispaa ya Mpanda mkoani Katavi wamepongeza zoezi la ukaguzi wa mizani Wanazotumia katika biashara. Wakizungumza na Mpanda radio Fm wafanyabiashara hao Wakati wa zoezi la ukaguzi katika ofisi za kata ya Makanyagio likiendelea wamesema zoezi la ukaguzi wa…
8 Febuari 2023, 7:08 um
Huduma ya nishati ya Mafuta ya Petrol na Diesel yarejea
Ikiwa ni wiki la tatu tangu kituo cha Dodoma Fm kuripoti kuhusiana na adha ya kukosekana kwa huduma ya nishati ya Mafuta ya Petrol na Diesel kwa zaidi ya miezi mitatu katika kituo cha Princes Muro kituo pekee kinachotoa huduma…
7 Febuari 2023, 7:33 um
Fettilicious Kiboko ya Vitambi awataka vijana kutokata Tamaa ya kufanya biashara…
Ni vyema Mfanyabiashara wa biashara za Mtandaoni ukawa na lugha nzuri kwa wateja wako ili kuongeza wigo wa wateja wapya. Na Ansigary Kimendo Vijana na wanawake wajasiriamali Manispaa ya Iringa wametakiwa kutohofia kutangaza biashara zao kupitia Mitandao ya Kijamii kwani…
7 Febuari 2023, 12:39 um
Wafanyabiashara walalamikia hali ya soko Ihumwa
Wafanyabiashara katika soko la ihumwa jijini dodoma wameiomba serikali kutengeneza miundombinu ya soko hilo kutokana na eneo wanalotumia kwa sasa kutokutosheleza mahitaji. Na Thadei Tesha. Ni katika soko la ihumwa jijini dodoma ambapo baadhi ya wafanyabiashara katika soko hili wanasema…
6 Febuari 2023, 10:33 mu
Serikali kuimarisha sheria ya kodi
Tunaomba kuboreshwe kwa baadhi ya sheria za kodi hapa Nchini ambazo zinawabana wafanyabiashara. Na Joyce Buganda Serikali imeombwa kuendelea kuzingatia upya sheria za kodi ili kuimarisha uzalendo na ulipaji kodi wa hiari. Hayo yamezungumzwa na naibu katibu Mkuu wa Jumuiya…
3 Febuari 2023, 12:35 um
Vijana jijini Dodoma watakiwa kushiriki katika fursa
Vijana jijini dodoma wametakiwa kushiriki katika fursa mbalimbali zinazowazunguka na kuacha kuona aibu kufanya shughuli hizo ili waweze kupata kipato na kurahisisha shughuli za maisha. Na Thadei Tesha Hayo yamesemwa na baadhi ya Vijana ambao wanajishughulisha na shughuli ya kukaanga…
23 Januari 2023, 12:43 um
Makala ya Mazingira.
Na; Leonard Mwacha. Leonard mwacha leo amelitazama soko la samaki wabichi Bonanza.
11 Disemba 2022, 6:51 um
HOFU YA JANGA LA NJAA WAKULIMA WATAHADHARISHWA RUANGWA
Wakulima wabnaohudumiwa na chama kikuu cha Ushirika RUNALI kinachohudumu katika wilaya za Ruangwa,Nachingwea na Liwale mkoani Lindi, wametakiwa kutumia pesa zao za korosho kununua chakula na kuhifadhi kutokna na uwapo wa dalili ya janga la njaa lililosabishwa na ukame kwa…
24 Novemba 2022, 15:00 um
TRA Mtwara yavuka malengo makusanyo Julai-September 2022
Na Gregory Millanzi. MAMLAKA ya Mapato Nchini (TRA ) Mkoa wa Mtwara imevuka lengo la kukusanya Shilingi Bilioni 8.902 kati ya Julai na Septemba 2022 ikiwa sawa na asilimia 110 .67 ya lengo la kukusanya Shilingi Bilioni 8.043 kwa Kipindi…
16 Novemba 2022, 12:19 um
Ukubwa wa riba kikwazo kwa wakopaji mikopo
Na; Eva Enock. Imeelezwa kuwa ukubwa wa riba pamoja na elimu juu ya matumizi sahihi ya fedha za mikopo ni miongoni mwa sababu zinazopelekea baadhi ya watu kushindwa kurejesha mikopo. Hayo yameelezwa na baadhi ya wananchi jijini Dodoma wakati wakizungumza…