Afya
29/03/2023, 10:13
Jamii ya wafugaji Lukuledi wakosa chanjo ya UVIKO 19
Kutokana na mabadiliko ya tabia nchi inayosababisha jamii za wafugaji kuhamahama kutafuta malisho kumechangia kwa kiasi kikubwa kupelekea jamii kukosa kupata baadhi ya huduma za kijamii Hayo yamesema na baadhi ya Jamii ya wafugaji ambao wanafanya shughuli zao za ufugaji…
28/03/2023, 16:26
Kipindi: Wanawake wahamasishwa kupima saratani ya mlango wa kizazi
Na Mussa Mtepa na Mwanahamisi Chikambu Saratani ya mlango wa kizazi ni ugonjwa ukuaji usio wa kawaida wa chembechembe hai na mgawanyo wa chembechembe hai usio wa kawaida ambapo havionekani kwa macho ya kawaida. Ugonjwa huu husambazwa kwa njia ya…
27 Machi 2023, 5:28 um
Wananchi waomba elimu zaidi ya kifua kikuu
Mpanda Zikiwa zimepita siku chache tangu yafanyike maadhimisho ya siku ya kifua kikuu duniani Baadhi ya wakazi manispaa ya Mpanda Mkoani Katavi wamesema kuwa hawana uelewa juu ya ugonjwa huo na kuitaka serikali kuongeza jitihada za kutoa elimu. Wakizungumza na…
26 Machi 2023, 7:20 um
Maswa: Waziri mkuu Mhe.Kassim Majaliwa awataka watumishi wa serikali kutumia sik…
Na Alex.F.Sayi Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe,Kassim Majaliwa amewataka watumishi wa Serikali ngazi ya Mkoa na Wilaya kutumia siku nne za kazi kuwahudumia wananchi hasa wa Vijijini na sio kukaa maofisini wakisubiria ziara za viongozi wa…
24 Machi 2023, 7:49 um
SIMIYU:watu (71) hufariki kila siku kati ya vifo 25,800 kwa mwaka kwa ugonjwa w…
Na Alex.F.Sayi. Waziri Mkuu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.Kasimu Majaliwa Majaliwa amesema kuwa kwa siku wagonjwa (71)hufariki kwa Ugonjwa wa Kifua Kikuu kati ya vifo (25,800) vilivyogundulika kwa mjibu wa Takwimu za mwaka 2022. Hayo ameyasema kwenye Maadhimisho ya siku…
24/03/2023, 16:19
Wakazi wa Ndogowe walazimika kutembea umbali mrefu kufuata huduma ya afya
Kukosekana kwa baadhi ya huduma za afya katika zahanati ya kijiji cha Ndogowe imesababisha wananchi kutopata huduma ya afya hali inayowalazimu kutembea umbali mrefu kutafuta huduma hiyo. Na Victor Chigwada. Imeelezwa kuwa kukosekana kwa baadhi ya huduma za afya katika…
24 Machi 2023, 8:04 mu
Kati ya vifo (100) wilayani Maswa vifo (7) kati ya hivyo vinatokana na magonjw…
Na Alex .F.Sayi Imeelezwa kuwa kati ya vifo miamoja Wilayani Maswa Mkoani Simiyu ,vifo Saba kati ya hivyo vinatokana na Magonjwa yasiyokuwa ya kuambukiza ikiwa ni sawa na asilimia (6.7%) ya vifo vyote Wilayani hapa. Hayo yamesemwa na Afisa Lishe…
23/03/2023, 19:19
Elimu juu ya ugonjwa wa kifua kikuu(TB)
Wananchi mbekenyera na Namungo wilayani Ruangwa wapewa elimu na huduma ya kupima ugonjwa wa kifua kikuu (TB) bure kwa kuchukua sampuli za wenye dalili za kifua kikuu ikiwa ni muendelezo wa shughuli za wiki ya kifua kikuu wilaya ya rungwa…
23/03/2023, 19:05
Unywaji wa maziwa sio tiba ya kifua kikuu (tb) wala ya kusafisha koo kwa ajili y…
Na Loveness Daniely Unywaji wa maziwa watajwa kua sio tiba wala haiwezi kuzuia kifua kikuu TB au kusafisha vumbi kifuani bali unywaji wa maziwa huimarisha kinga ya mwili kwakua maziwa yana virutubisho vingi mwilini vyenye kuujenga mwili na kuimarisha mwili…
22/03/2023, 18:54
Wananchi watakiwa kuendelea kupata elimu ya utunzaji wa vyanzo vya maji<…
Tanzania ilishuhudia kipindi kirefu cha mlipuko wa Kipindupindu kuanzia mwaka 2015 hadi mwaka 2018 na Taarifa kutoka shirika la Afya Dunia inaeleza kuwa na mlipuko mkubwa wa Kipindupindu nchini Malawi ambapo hadi kufikia tarehe 15 Machi 2023 kulikuwa na jumla…