Radio Tadio

Afya

13 March 2023, 5:49 pm

Uhaba wa wachangia Figo waendelea kuwa kikwazo

Mpaka sasa Hospitali ya Benjamin Mkapa imefanikiwa kupandikiza Figo  wagonjwa 33 kati ya hao wagonjwa 22 walipandikizwa Figo na wataalamu wazawa. Na Mindi Joseph. Ukosefu wa wachangiaji  Figo  umetajwa kuendelea kuwa kikwazo kwani Wananchi wengi hawapo tayari kujitolea kuchangia Ndugu…

4 March 2023, 5:09 pm

Tayobeco yaendelea kuhamasisha chanjo ya Uviko-19

MPANDA. Shirika lisilo la kiserikali la Tayobeco Linalojihusisha na kuboresha afya ya vijana katika Nyanja mbalimbali Limezindua Mradi wa boresha habari katika manispaa ya mpanda Mkoani katavi lengo ni kuhamasisha vijana na wanawake kujitokeza katika kupata chanjo ya uviko 19.…