Adhana FM
Adhana FM
7 May 2024, 8:13 pm
Mkuu wa Mkoa Kaskazini Unguja Rashid Hadidi Rashid amelishauri Baraza la biashara la mkoa huo kushirikiana na wafanyabiashara ili kukuza pato la taifa. Na Abdul-Sakaza na Juma Haji, Kaskazini Unguja Rashid ameyasema hayo leo ofisini kwake Mkokotoni wakati alipokutana na baraza…
9 January 2024, 6:54 pm
Na Najat Omar Kampuni ya CCECC inayojenga barabara za mjini na vijijini visiwani Zanzibar, imewapatia ajira wazanzibar wapatao 960 kwenye mradi huo. Akizungumza na waandishi wa habari katika ukumbi wa hoteli ya Serena Zanzibar, Mkurugenzi wa CCECC Afrika Mashariki Zhang…
20 December 2023, 8:09 pm
Na Najjat Omar-Zanzibar Waandishi wa habari wanawake waliopo kwenye taasis mbalimbali za binafsi na Serikali wamekutanishwa pamoja na Shirikia na Pen America kwenye kikao cha siku mbili kilichojadili masuala ya udhalilishaji wa kimtandao,kulinda ,kujitetea na kuzingatia afya ya akili kwa…
9 December 2023, 11:34 am
Na Najat Omar Mkutano Mkuu wa Umoja wa Wajane Afrika kufanyika Zanzibar 2024. Zanzibar : Kwa mara ya kwanza Zanzibar itapokea ugeni wa nchi 54 katika Mkutano mkuu wa Umoja wa wajane Afrika ambao unatarajiwa kufanyika Zanzibar mwezi June kuanzia…
26 November 2023, 12:16 pm
Na Mwandishi wetu – Zanzibar Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Othman Masoud Othaman ametoa wito wa kuandaliwa vijana ili wawe viongozi watakaolinda miiko, silka, haki, uadilifu na uwajibikaji katika utumishi wa umma kwa ajili ya maslahi ya taifa.…
27 September 2023, 9:15 pm
Na Ali Khamis – Zanzibar Rais wa Zanzibar Dkt Hussein Ali Mwinyi ametoa ujumbe wa kushikamana na kupendana alipojumuika na waumini wa kiislam katika hafla ya hawli ya kutimiza miaka 100 tokea kufariki Sheikh Sayd Oamr Qullatein, shughuli iliyoandaliwa na…
7 September 2023, 1:50 pm
Ni Baada ya Masafa yake Kuingiliana Masafa ya Anga Na Harith Subeit Zanzibar Kituo cha Radio Adhana Fm kilichopo mtaa wa Rahaleo Zanzibar kimesitisha matangazo yake kupitia masafa ya 104.09 FM kutokana na masafa hayo kuingiliana na masafa ya mawasiliano…
5 September 2023, 1:27 pm
Ni Baada ya Uteuzi wa Wajumbe wa Tume ya Uchaguzi Uliofanywa na Rais wa Zanzibar Na Harith Subeit, Zanzibar CHAMA cha Waandishi wa Habari Wanawake Tanzania (TAMWA Zanzibar), Baraza la Habari Tanzania (MCT), Jumuiya ya Waandishi wa Habari za Maendeleo…
4 September 2023, 10:53 am
VIJANA WASHINDWA KUCHUNGUZA AFYA ZAO Na Harith Subeit Zanzibar Kumekuwa na uhaba wa wa kifaa cha uchunguzi wa Virusi Vya UKIMWI ( HIV Kits) katika vituo vya afya vya serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar jambo ambalo limepelekea huduma ya upimaji…
20 August 2023, 6:16 pm
Na Juma Haji Juma Wakili mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar, Shekh Saleh Mubaraq amewataka mashekh na walimu wa madrasa za Qurani nchini, kufundisha riwaya mbalimbali za usomaji wa Quran tukufu ili kuongeza kiwango cha ujuzi, umahiri, ufaulu wa taaluma…
PROFILE OF RADIO ADHANA FM
In 2006 Adhana FM Radio (104.9 FM) became in operation in Zanzibar and the first community radio
station of its kind to operate in Zanzibar. It was established by East Africa Adhana Broadcasting Services
which has been registered in Dar es Salaam and given the certificate of compliance by Revolutionary
Government of Zanzibar and started its operation in Zanzibar. Firstly the offices and studio of Radio
Adhana was situated at Migombani opposite Mnara wa Mbao. Currently, our station is located at Rahaleo in Istiqama Building opposite to Jumuiya Mosque.
The Radio Adhana FM is Involves the provision of broadcasting by production equipments and
techniques by its practitioners in ethical, professional and gender-responsiveness as well as supporting
advocacy and knowledgeable dialogues programs. In Zanzibar the programme marks continued
transformation in the isles’ media landscape.
MISSION
The spring of knowledge ( Chem chem Ya Elimu )
VISSION
To be the first credible radio station in Zanzibar
LOCATION AND COVERAGE
Adhana FM Radio is located at Rahaleo in the building of Istiqama at Urban west region of Zanzibar. It
provides services through frequency of 104.9. The station was located in Zanzibar ostensibly to give the
voice to voiceless on how to bring ahead the development in Country. The radio was setting to serve
Zanzibar and Tanzania at large whereby it’s covering Unguja, Pemba Bagamoyo and Tanga.
PROGRESS AND SUCCESS
The concept of community radio has been accepted and thrives
The people utilizes the radio to advance their activities, function such as sending publicizing
information like death announcements, business announcement and special announcements.
Residents have come to realize that the radio is in fact a community based , not aligned to any
of the strong political parties in Zanzibar and people feel it is “theirs” (ownership)