Adhana FM

Recent posts

8 August 2023, 8:54 am

Makala: Kilimo cha migomba nchini Tanzania

Radio Adhana FM inakukaribisha kusikiliza makala ya Elimika kuhusu kilimo cha Migomba, sikiliza sauti hapo juu ili kupata faida kuhusu ukulima wa migomba.

7 August 2023, 10:25 am

SMZ yapandisha bei ya karafuu Zanzibar

Karafuu ni zao kuu la biashara Zanzibar na sasa bei ya zao hilo imeongezwa ili kukuza kipato cha wakulima visiwani humo. Na Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepandisha bei ya karafuu kutoka shilingi 14,000 hadi…

17 October 2021, 4:22 pm

Wadau wa utalii Zanzibar wametakiwa kubuni mbinu mpya za kuwavutia watalii

Na Kassim Abd OMPR Makamo wa pili wa rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amewataka wadau wa utalii kubuni mbinu mpya zitakazoleta ushindani kwa kuibua vivutio vipya sambamba na kuviimarisha vivutio vyengine ili viwe na mazingira yatakayowashawishi watalii kurudi tena…

6 October 2021, 8:15 am

Walimu watakiwa kuchangamkia fursa zilizopo

Na mwandishi wetu Mkurugenzi mtendaji wa Mamlaka ya mafunzo ya  amali Zanzibar mhandisi Bakari Ali Silima amewataka  walimu kuzifahamu fursa zilizopo katika uchumi wa bluu ili kuwaelekeza vijana kufikia lengo la ukuaji wa uchumi nchini. Akizungumza katika siku ya maadhimisho…