Recent posts
9 August 2023, 6:25 am
Taarifa ya habari Adhana FM Agosti 9, 2023
8 August 2023, 10:52 am
ACT-Wazalendo wahitimisha mzunguuko wa kwanza wa mikutano ya hadhara mkoa Kaskaz…
ACT-Wazalendo wakamilisha mzunguunko wa kwanza wa mikutano ya hadhara kwa kusisitiza umoja, mshikamano na uzalendo kwa Wazanzibari. Na mwandishi wetu. MWENYEKITI wa Chama cha ACT-Wazalendo Taifa ndugu Juma Duni Haji, amesema kwamba ni muhimu wazanzibari kushikama na kuwawamoja ili kutengeneza…
8 August 2023, 8:54 am
Makala: Kilimo cha migomba nchini Tanzania
Radio Adhana FM inakukaribisha kusikiliza makala ya Elimika kuhusu kilimo cha Migomba, sikiliza sauti hapo juu ili kupata faida kuhusu ukulima wa migomba.
7 August 2023, 10:30 am
Baraza la Mji Kaskazini A kupunguza msongamano wa wafanyabiashara Soko la Kinya…
Ujenzi wa masoko unavyochangia kuondoa msongamano wa wafanyabiashara katika nchi yetu. Na Juma Haji Juma Baraza la mji Wilaya ya kaskazini A Unguja linakusudia kuondosha msongomano wa wafanyabiashara wa soko la kinyasini kwa kujenga masoko mawili makubwa yatakayotoa fursa kwa…
7 August 2023, 10:25 am
SMZ yapandisha bei ya karafuu Zanzibar
Karafuu ni zao kuu la biashara Zanzibar na sasa bei ya zao hilo imeongezwa ili kukuza kipato cha wakulima visiwani humo. Na Idara ya Habari Maelezo Zanzibar Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imepandisha bei ya karafuu kutoka shilingi 14,000 hadi…
10 February 2023, 4:31 am
Waandishi wa habari Zanzibar wametakiwa kufanya uchechemuzi ili kuchochea kureke…
Na Ali Khamis, Zanzibar Waandishi wa habari Zanzibar wametakiwa kupaza sauti zao kwa mamlaka zinazohusika kuondoa vifungu vya sheria kandamizi katika tasnia habari nchini ili kuimarisha uhuru wa kujieleza na ukuaji wa demokrasia kwa maendeleo nchini. Wito huo umetolewa katika…
17 October 2021, 4:22 pm
Wadau wa utalii Zanzibar wametakiwa kubuni mbinu mpya za kuwavutia watalii
Na Kassim Abd OMPR Makamo wa pili wa rais wa Zanzibar, Hemed Suleiman Abdulla amewataka wadau wa utalii kubuni mbinu mpya zitakazoleta ushindani kwa kuibua vivutio vipya sambamba na kuviimarisha vivutio vyengine ili viwe na mazingira yatakayowashawishi watalii kurudi tena…
6 October 2021, 8:15 am
Walimu watakiwa kuchangamkia fursa zilizopo
Na mwandishi wetu Mkurugenzi mtendaji wa Mamlaka ya mafunzo ya amali Zanzibar mhandisi Bakari Ali Silima amewataka walimu kuzifahamu fursa zilizopo katika uchumi wa bluu ili kuwaelekeza vijana kufikia lengo la ukuaji wa uchumi nchini. Akizungumza katika siku ya maadhimisho…
6 October 2021, 6:20 am
Upimaji wa UVIKO 19: Wasafiri watakiwa kutuma maombi mtandaoni ili kupunguza mso…
Radio Adhana WASAFIRI wanaondoka nchini wametakiwa kutuma maombi kwa njia ya mtandao ya kipimo cha uviko 19 ili kupunguza msongamano wakati wa kusafiri na kusababisha kuchelewa kwa wasafiri. Afisa dhamana huduma za afya uwanja wa ndege Nassor Hamad Said amesema…
2 October 2021, 9:48 am
Majadiliano baina na serikali na wadau ni suluhisho la changamoto za usafi wa ma…
Na Ali Khmais, Zanzibar Majadiliano baina ya wadau na jamii ni njia muafaka ya kutatua changamoto katika masuala ya usafi wa mazingira ili kuiepusha jamii kukumbwa na maradhi ya mripuko. . Katika majadiliano yaliyowaleta pamoja serikali na wadau, imebainishwa kuwa…